Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
[h=6]Muhindi mmoja alikamatwa na polisi akikojoa barabarani na kutozwa faini 50,000.Yule muhindi akatoa bila ubishi...polisi kucheki vizuri akakuta niaje niaje pandre bhai katoa 55,000 badala ya fifty,then akamuuliza muhindi....''niaje...nivp...mbona umetoa zaidi?''...yule mshua wa kihindi akamjibu....''Wakati kojoa,iko jamba kidogo bhai..''[/h]