Usije nyumbani bila mke

Usije nyumbani bila mke

Tuishi

Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
41
Reaction score
26
Jamani nina mawazo, wazazi wangu wametuma ujumbe kupitia mdogo wangu kwamba nisirudi nyumbani bila mke. Sio kwamba sitaki kuoa,uwezo upo na nia ipo,tatizo tangu nimetendwa sina maandalizi wala hamu ya kuanza mahusiano mapya.Ushauri wakondugu
 
dah....
Waambie wakutafutie huko kijijini
 
Vijana wa siku hizi wanakabiriwa wa na tatizo moja tu, sio kuoa au kuolewa, bali nani wa kumuoa/kuolewa?
 
Wazaz wako wamezeeka sana kwan?? Waulize kwa nn usiende bila mke . Ukienda peke yako kuna hatar gan????
 
Wazaz wako wamezeeka sana kwan?? Waulize kwa nn usiende bila mke . Ukiende peke yako kuna hatar gan????

Sio sana ila wanafanya ivi ili nioe kwan tayari rika langu wote wameoa na hata wadogo zangu wana watoto
 
Swali la kwanza uko wapi??,la pili una muda gani hujarudi nyumbani kwa wazazi wako/hujaonana nao
swali la tatu:kwa nini hutaki kuanzisha mahusiano mapya??
 
Hao wazazi kwanini wanakuforce uoe?

Huwezi kujua historia ya familia yao huenda amepeleka wachumba kadhaa kuwatambulisha nyumbani kisha kuwatema ndio maana wazazi wamemkalia kooni aoe
 
Hii mada inanihusu hata mimi....tehe teheeee. inaudhi sana.
 
Swali la kwanza uko wapi??,la pili una muda gani hujarudi nyumbani kwa wazazi wako/hujaonana nao
swali la tatu:kwa nini hutaki kuanzisha mahusiano mapya??

nipo tabora, nina miezi mitano sijarudi nyumbani maana nipo kazini, sitaki kuanzisha mahusiano mapya kwa sababu nilitendwa vibaya hata wao wanajua vizuri
 
Jamani nina mawazo, wazazi wangu wametuma ujumbe kupitia mdogo wangu kwamba nisirudi nyumbani bila mke. Sio kwamba sitaki kuoa,uwezo upo na nia ipo,tatizo tangu nimetendwa sina maandalizi wala hamu ya kuanza mahusiano mapya.Ushauri wakondugu

Tatizo lako inaelekea huwa huwatumii Hela, ndio maana wanazunguka zunguka na kuja vijisababu basi tu ili mradi!
Ebu tanguliza kwanza mkwanja wa nguvu halafu waambie unakuja kuwatembelea baada ya wiki moja!

 
nipo tabora, nina miezi mitano sijarudi nyumbani maana nipo kazini, sitaki kuanzisha mahusiano mapya kwa sababu nilitendwa vibaya hata wao wanajua vizuri

hakuna mtu ambae hajawahi kutendwa,hiyo ni part ya mahusiaono na kikubwa zaidi inakujenga kiakili kuweza kukabiliana na changamoto za hisia ambazo ndio mbaya zaidi,coz wengine hupelekea mpk kujiua so as long as ushapata experience mi naamini ukiingia kwenye mahusiano utakuwa muangalifu thats it,wewe kutendwa haiwezi ikawa sababu ukatae kuingia kwenye mahusiano so utaoaje???


Watu wanatendwa kwenye ndoa na wanavumilia??? Wewe umetendwa hata kwenye ndoa hujafika unashindwa kuvumilia???
 
Back
Top Bottom