Machmadem
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 758
- 933
Habar za weekend zangu JF
Kwa jinsi maisha yanavyokwenda kasi zaid ya ile ya mwanga haya ni baadhi ya mambo ambayo hutakiwi kupitia na kama umepitia basi hakikisha hurudii.
1. Matumizi mabaya ya pesa
2. Kusoma ndio maisha
3. Kukata tamaa bila kujaribu
4. Kukubali kila unachosikia/ambiwa
5. Kuwekeza bila utafiti
6. Kutaka/kufanya Mambo mengi kwa wkt mmoja
7.Kutokuchagua mtu sahihi ktk mahusiano yako.
Karibuni kuchangia pamoja tupeane madini kuna watu walisha experience ayo mambo unaweza kuongezea nyama.
Kwa jinsi maisha yanavyokwenda kasi zaid ya ile ya mwanga haya ni baadhi ya mambo ambayo hutakiwi kupitia na kama umepitia basi hakikisha hurudii.
1. Matumizi mabaya ya pesa
2. Kusoma ndio maisha
3. Kukata tamaa bila kujaribu
4. Kukubali kila unachosikia/ambiwa
5. Kuwekeza bila utafiti
6. Kutaka/kufanya Mambo mengi kwa wkt mmoja
7.Kutokuchagua mtu sahihi ktk mahusiano yako.
Karibuni kuchangia pamoja tupeane madini kuna watu walisha experience ayo mambo unaweza kuongezea nyama.