Usihonge tena wanawake, ni chukizo mbele za Bwana

Apr 23, 2016
67
195
Watu wa MUNGU hamjambo?

Nina ujumbe kwenu asubuhi ya leo

Nimeoneshwa kuwa mapenzi yanawasumbua sana, na wengi mnaomboleza kwa ajili ya mapenzi na mnahitaji tiba ya kudumu

Mpango wa MUNGU unafahamika kwa wote, mapenzi na ngono vimekatazwa kabla ya ndoa, MUNGU anataka kila mmoja aingie kwenye ndoa akiwa bikra, watu wanaingia kwenye ndoa tayari mikononi wamekua na relationships hadi kumi ktk kipindi chote cha maisha ya mhusika, siku akiolewa anampima mumewe na hao watu wote kumi, sasa mume utasalimika hapo? Utaweza kuwapita watu wote hao kumi? Ndipo usaliti unapokuja
Kila mmoja asubiri ndoa ili kusiwepo na kupima kwingine

Watu wa jukwaa hili, ni mara ngapi umehonga laki moja na zaidi lakini siku ya ibada unapeleka sh Mia tano kwa mungu tena baada ya kuichenji kutoka elfu moja!!
Kuhonga imekua ni pepo baya, ukiacha zinaa Kuhonga hakutakuwepo tena, leteni sadaka kazi ya Bwana isonge mbele

Enyi akina dada naomba muache mara moja kuchukua fedha zinazopaswa kuwa za MUNGU kwa njia ya kuhongwa, panga kuacha zinaa toka dakika hii, mwambie huyo unaezini nae kuwa umemrudia MUNGU na kama anataka mfunge ndoa
Wake kwa waume acheni mambo ya mapenzi hayana tija na ni ubatili

Sasa naomba niwaweke mikononi mwa MUNGU

"BABA nawaweka mikononi mwako wale wote wenye nia ya kuachana na wapenzi wao ili wawe safi rohoni na waiache zinaa, pia nakemea pepo la Kuhonga katika jina YESU, liondoke kabisa katika maisha yao na badala yake fedha hizo wazilete kwako BABA kama zaka na sadaka
Kazi yako isonge mbele, pia navunja vunja roho zote mbaya, pepo la kuvaa mawigi, kujikirimu ngozi, vimini sketi,pepo la kupiga mizinga wanaume hatimae kushindwa kupeleka zaka na sadaka, utumiaji wa viroba, pepo la kutongoza wanawake hovyo hovyo, pepo la usaliti kwenye ndoa, yote hayo nakemea kwa jina la YESU, mapepo yote hayo yawatoke nyote mara moja, katika jina la YESU
Wooote tuseme Amen
 
Asubuhi yote hii mchungaji mzima unawaza na kuombea mapenzi??? Mida ya pesa hii tuombee kheri na baraka pamoja na mafanikio
Kama una hitaji ombi binafsi kuhusu kazi yako au biashara niandikie majina yako mawili ya kweli in box, nitaomba kwa ajili ya majina hayo na utafunguliwa njia mara moja
 
Kama una hitaji ombi binafsi kuhusu kazi yako au biashara niandikie majina yako mawili ya kweli in box, nitaomba kwa ajili ya majina hayo na utafunguliwa njia mara moja


Mchungaji mimi naomba uniombee Nina kipaji cha kuimba na sauti nataka nianze kuimba kanisani
 
Mtumishi mimi ningependa nikuombee kuhusu mwenendo wako mzima, Nimeoneshwa Kuna shida katika uhusiano wako na MUNGU, patana na MUNGU kwanza halaf utaimba baadae

Mmmmh! Mbona nimefanya toba juzi mkuu au mpaka nikaombewe kanisani?
 
Watu wa MUNGU hamjambo?

Nina ujumbe kwenu asubuhi ya leo

Nimeoneshwa kuwa mapenzi yanawasumbua sana, na wengi mnaomboleza kwa ajili ya mapenzi na mnahitaji tiba ya kudumu

Mpango wa MUNGU unafahamika kwa wote, mapenzi na ngono vimekatazwa kabla ya ndoa, MUNGU anataka kila mmoja aingie kwenye ndoa akiwa bikra, watu wanaingia kwenye ndoa tayari mikononi wamekua na relationships hadi kumi ktk kipindi chote cha maisha ya mhusika, siku akiolewa anampima mumewe na hao watu wote kumi, sasa mume utasalimika hapo? Utaweza kuwapita watu wote hao kumi? Ndipo usaliti unapokuja
Kila mmoja asubiri ndoa ili kusiwepo na kupima kwingine

Watu wa jukwaa hili, ni mara ngapi umehonga laki moja na zaidi lakini siku ya ibada unapeleka sh Mia tano kwa mungu tena baada ya kuichenji kutoka elfu moja!!
Kuhonga imekua ni pepo baya, ukiacha zinaa Kuhonga hakutakuwepo tena, leteni sadaka kazi ya Bwana isonge mbele

Enyi akina dada naomba muache mara moja kuchukua fedha zinazopaswa kuwa za MUNGU kwa njia ya kuhongwa, panga kuacha zinaa toka dakika hii, mwambie huyo unaezini nae kuwa umemrudia MUNGU na kama anataka mfunge ndoa
Wake kwa waume acheni mambo ya mapenzi hayana tija na ni ubatili

Sasa naomba niwaweke mikononi mwa MUNGU

"BABA nawaweka mikononi mwako wale wote wenye nia ya kuachana na wapenzi wao ili wawe safi rohoni na waiache zinaa, pia nakemea pepo la Kuhonga katika jina YESU, liondoke kabisa katika maisha yao na badala yake fedha hizo wazilete kwako BABA kama zaka na sadaka
Kazi yako isonge mbele, pia navunja vunja roho zote mbaya, pepo la kuvaa mawigi, kujikirimu ngozi, vimini sketi,pepo la kupiga mizinga wanaume hatimae kushindwa kupeleka zaka na sadaka, utumiaji wa viroba, pepo la kutongoza wanawake hovyo hovyo, pepo la usaliti kwenye ndoa, yote hayo nakemea kwa jina la YESU, mapepo yote hayo yawatoke nyote mara moja, katika jina la YESU
Wooote tuseme Amen
SWALI, KWA HIYO NA MAMA YAKO NI CHUKIZO MBELE YA bWANA?
 
Mbona umeongelea upande mmoja tu? Hawapo wanaume wanaoa wakiwa tayari wamepitia mahusiano ya wanawake 20? Hawapo wanaume wanaohongwa?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Watu wa MUNGU hamjambo?

Nina ujumbe kwenu asubuhi ya leo

Nimeoneshwa kuwa mapenzi yanawasumbua sana, na wengi mnaomboleza kwa ajili ya mapenzi na mnahitaji tiba ya kudumu

Mpango wa MUNGU unafahamika kwa wote, mapenzi na ngono vimekatazwa kabla ya ndoa, MUNGU anataka kila mmoja aingie kwenye ndoa akiwa bikra, watu wanaingia kwenye ndoa tayari mikononi wamekua na relationships hadi kumi ktk kipindi chote cha maisha ya mhusika, siku akiolewa anampima mumewe na hao watu wote kumi, sasa mume utasalimika hapo? Utaweza kuwapita watu wote hao kumi? Ndipo usaliti unapokuja
Kila mmoja asubiri ndoa ili kusiwepo na kupima kwingine

Watu wa jukwaa hili, ni mara ngapi umehonga laki moja na zaidi lakini siku ya ibada unapeleka sh Mia tano kwa mungu tena baada ya kuichenji kutoka elfu moja!!
Kuhonga imekua ni pepo baya, ukiacha zinaa Kuhonga hakutakuwepo tena, leteni sadaka kazi ya Bwana isonge mbele

Enyi akina dada naomba muache mara moja kuchukua fedha zinazopaswa kuwa za MUNGU kwa njia ya kuhongwa, panga kuacha zinaa toka dakika hii, mwambie huyo unaezini nae kuwa umemrudia MUNGU na kama anataka mfunge ndoa
Wake kwa waume acheni mambo ya mapenzi hayana tija na ni ubatili

Sasa naomba niwaweke mikononi mwa MUNGU

"BABA nawaweka mikononi mwako wale wote wenye nia ya kuachana na wapenzi wao ili wawe safi rohoni na waiache zinaa, pia nakemea pepo la Kuhonga katika jina YESU, liondoke kabisa katika maisha yao na badala yake fedha hizo wazilete kwako BABA kama zaka na sadaka
Kazi yako isonge mbele, pia navunja vunja roho zote mbaya, pepo la kuvaa mawigi, kujikirimu ngozi, vimini sketi,pepo la kupiga mizinga wanaume hatimae kushindwa kupeleka zaka na sadaka, utumiaji wa viroba, pepo la kutongoza wanawake hovyo hovyo, pepo la usaliti kwenye ndoa, yote hayo nakemea kwa jina la YESU, mapepo yote hayo yawatoke nyote mara moja, katika jina la YESU
Wooote tuseme Amen
Mungu does not exist ni stories tu!
 
Hahaha Pastor umetisha. We umeonyeshwa, si tunayasoma JF kila mara. Unasema tusihonge, tuwaletee sadaka. Sadaka zenyewe wengi wenu mnatumia kusambaratisha ndoa za wahumini.
Mtu wa MUNGU, mashaka yako yana mashiko, na Kuna majibu ya mashaka hayo

Zaka na sadaka zinasaidia kuendesha kazi ya MUNGU, ili injili iwafikie watu wengi zaidi, hata hivyo kwa kuwa tunaishi katika siku za mwisho matukio ya wachungaji kufanya vitu kinyume na matakwa ya MUNGU hayawezi kukosekana,
Pia si wachungaji wote wanaharibu ndoa za waumini, na kama imetokea ni isolated case and the church should not be held responsible for that

Dumu katika imani hadi mwisho Bila kujali matendo ya wachungaji wachache
 
Mungu does not exist ni stories tu!
Imani haihitaji critical thinking, once you decide to be critical about faith, hapo ndipo unanswered questions emerge na ndipo imani inaanza kupotea.

Most people who've been critical about faith, ended up denying the existence of Almighty God!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom