USIHANGAIKE NA MATOKEO

uvugizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,351
Reaction score
1,099
Dunia hii tunaishi katika effect yaani vyote tunavyoviona ni matokeo .

Ukiwa mjinga utaanza kudeal na Matokeo badala ya kuangalia sababu .

Mtu yeyote aliyezaliwa , amezaliwa kwa sababu , kuzaliwa kwako kunakuwa Marked na Matokeo.

Wengi wetu tunajua tumekuja duniani Tufurahie dunia na Mungu anapenda hilo na ndiyo maana anasema anatuwazia mema ( yeremia 29;11).

Synthetic happiness ndicho tunachotafuta yaani furaha ya matokeo mfano umepata gari , umefaulu mtihani , umeokota hela, umejenga nyumba, nk . lakini siku ukijua kusudi la kuishi kwako duniani unaweza ukawa umepata vyote na kuwa na furaha maisha yako yote .

Daima kumbuka unachohangaikia kitakuhangaisha, palipo na Baraka , ujue Baraka huyo ndiyo ana control mtiririko siyo juhudi zako.

Be inspired
 
Neno zuri huwa tunavikosa vitu adimu kama hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…