Kwani mtaani tumeona wangapi wameoa kinadada wenye watoto na hakuna tatizo,utafiti wako nina mashaka nao,chunguza usijekuwa ndani ya ndoa afu unalea watoto wa mwanaume mwingine hahahahhh!!!
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
1.ana mtoto na mtu mwingine
2. amekaa single muda mrefu
3. ameishawahi kua barmaid
4. ni white au ngozi nyeupe
5. ni mzuri kupitia kiasi
6. ni model
7.nk
Mmh! Mi sijaona cha ajabu hata moja apo! Ila mbona mnawaandama wanawake? Na nyie wanaume mnapenda kutaja madhambi ya w/wake afu mnajiona ninyi ni watakatifu/ wasafi!, hebu nipishe nipite!
Jamani tafsida mbona tumeiacha uchochoroni... bado wakija vijana na vi thread vyao tunawatolea macho na kejeli za kila aina....
......hivi huwa unajiuliza unandugu zako wangapi wa damu wanaosoma haya maandishi yako au ndio ile hutaki kusumbua ubongo lililo karibu vidoleni ndilo unaloliandika?....kisa unablanket la ID fake!..? slim5 nae bila aibu anagonga like!