Usidanganywe.. Furaha sio Ndoa!!

Usidanganywe.. Furaha sio Ndoa!!

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,100
mara Nyingi watu wamekuwa wakiumiza kichwa juu ya ndoa, Wanawaza ntaolewa lini? Ntaoa lini? Mbona wenzangu wameolewa na wanafuraha na waume zao? Mbona jamaa zangu wanaoa kila kukicha..

Naomba nisikukatishe tamaa kuoa au kuolewa, Ndoa ina baraka zake hasa unapokuwa na mtu sahihi.. Tumia sana akili kuingia humo badala ya Hisia...
Kuna uwezekano Ukawa na Lisaa limoja tu la furaha katika kila masaa 24 ya siku.. ni kwa sababu watu wanaingia huko kwa SABABU ZAO na sio Upendo na MALENGO.

(ana gari, ana kazi nzuri, ni mfanyabiashara mkubwa Acha anioe maisha yenyewe Magumu) Hizi ni shida sio upendo.. FURAHA HAIPATIKANI KWENYE NDOA.. FURAHA INATENGENEZWA NA KUJITOA, KUSAMEHE, KUSIKILIZA, na KUWA MKWELI...

Fikiria hasa kwa nini unataka Ndoa kabla hujaanza kutamani kucheepuka na kunywa sumu na kumwagiana Maji ya moto..

Bwana Yesu na Awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosea yote ila usikosee kuoa au kuolewa
 
Ni kweli usemacho lakini ndoa ni tam hasa upate mtu sahihi mkapendana na kuridhiana furaha na amani hutawala

Kikubwa ni kuomba Mungu awape wenza sahihi
 
mara Nyingi watu wamekuwa wakiumiza kichwa juu ya ndoa, Wanawaza ntaolewa lini? Ntaoa lini? Mbona wenzangu wameolewa na wanafuraha na waume zao? Mbona jamaa zangu wanaoa kila kukicha..

Naomba nisikukatishe tamaa kuoa au kuolewa, Ndoa ina baraka zake hasa unapokuwa na mtu sahihi.. Tumia sana akili kuingia humo badala ya Hisia...
Kuna uwezekano Ukawa na Lisaa limoja tu la furaha katika kila masaa 24 ya siku.. ni kwa sababu watu wanaingia huko kwa SABABU ZAO na sio Upendo na MALENGO.

(ana gari, ana kazi nzuri, ni mfanyabiashara mkubwa Acha anioe maisha yenyewe Magumu) Hizi ni shida sio upendo.. FURAHA HAIPATIKANI KWENYE NDOA.. FURAHA INATENGENEZWA NA KUJITOA, KUSAMEHE, KUSIKILIZA, na KUWA MKWELI...

Fikiria hasa kwa nini unataka Ndoa kabla hujaanza kutamani kucheepuka na kunywa sumu na kumwagiana Maji ya moto..

Bwana Yesu na Awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mara Nyingi watu wamekuwa wakiumiza kichwa juu ya ndoa, Wanawaza ntaolewa lini? Ntaoa lini? Mbona wenzangu wameolewa na wanafuraha na waume zao? Mbona jamaa zangu wanaoa kila kukicha..

Naomba nisikukatishe tamaa kuoa au kuolewa, Ndoa ina baraka zake hasa unapokuwa na mtu sahihi.. Tumia sana akili kuingia humo badala ya Hisia...
Kuna uwezekano Ukawa na Lisaa limoja tu la furaha katika kila masaa 24 ya siku.. ni kwa sababu watu wanaingia huko kwa SABABU ZAO na sio Upendo na MALENGO.

(ana gari, ana kazi nzuri, ni mfanyabiashara mkubwa Acha anioe maisha yenyewe Magumu) Hizi ni shida sio upendo.. FURAHA HAIPATIKANI KWENYE NDOA.. FURAHA INATENGENEZWA NA KUJITOA, KUSAMEHE, KUSIKILIZA, na KUWA MKWELI...

Fikiria hasa kwa nini unataka Ndoa kabla hujaanza kutamani kucheepuka na kunywa sumu na kumwagiana Maji ya moto..

Bwana Yesu na Awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
"All Singles see happy Couples, All Couples see happy Singles".
That's the controversy of Relationships.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom