mzee wa funny
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 296
- 65
Ni yanga tu haina upinzani ni kuchakaza tu timu zingine isipokua azam zinahatari ya kushuka daraja wasipopiga msuli mmmmmh mambo mengine
Kwa maneno yenu haya wanajangwan basi mjiandae kupanda ndege kwa mara ya mwisho safari imewadia
Gwajima amekuwa mbishi kuwasilisha tu hati za mali zake mwenyewe, ambazo nategemea zipo ndani ya sanduku lake nyumbani, sababu haijulikani. Naona hata wewe nimejaribu kukuulizia head-to-head results za mechi mbili za Dar derby, bila shaka matokeo unayo lakini unakuwa kama Gwajima. Labda atatokea mdau mwingine anisaidie kuyaweka hapaKwa kuwa Yanga imeongoza kwa kila kigezo kilichowekwa na FIFA hakuna haja ya kuweka matokeo ya head-to-head, tungelingana katika vigezo hivyo ningeyaweka Mkuu.
Gwajima amekuwa mbishi kuwasilisha tu hati za mali zake mwenyewe, ambazo nategemea zipo ndani ya sanduku lake nyumbani, sababu haijulikani. Naona hata wewe nimejaribu kukuulizia head-to-head results za mechi mbili za Dar derby, bila shaka matokeo unayo lakini unakuwa kama Gwajima. Labda atatokea mdau mwingine anisaidie kuyaweka hapa
Mkono una vidole vingapi?Kama ile ambavyo huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono ...
Aaaaarg usifanye hivyo bwana mito!
Ila kama hujiwezi vumilia hivyo hivyo na endelea na mbinu yako hiyo nisije kukulazimisha tukakupoteza bure!
Hahahaaa,haya bwana.yaa hii mbinu yangu inanisaidiaga kuhendo presha ndg yangu, si unakumbuka kilichotokea kwa mashabiki wa Brazil walivyopigwa 7 za fasta fasta na Ujerumani!!! hali ilikuwa tete kwa baadhi yao
Hahahaaa,haya bwana.
Nakumbuka vizuri tu,na nilikua naishabikia ujerumani kwenye lile kombe.Nilifurahi kwelikweli.
Hahahaaa,pole sana kiukweli! (Najua hutokaa usahau hili).Ni kweli wajerumani walitumia ubinadamu tu baada ya kulipa kisasi chao nasikia waliwahi kufungwa na Brazil goli 5 sijui,lakini wangefanya kweli wangetoka na dozen kabisa bila ubishi.aaaha mi nilikuwa nashabikia Brazil ndg yangu, niliishiwa nguvu nikaenda kulala ikiwa 5 bila, asubuhi ndo naambiwa ilifikia mahali hadi wajerumani wanaona huruma kuendelea kufunga, daaah aibu ya karne!!
Hahahaah,,,,,,mkuu mwaka huo kuna kitu kilinizingua katika simba nikawa siipendi timu yangu. Hiyo komenti nadhani ningeitoa leo.Mkuu Katavi haya maneno uliyatoa siku nyingi sana (Novemba 4 mwaka 2009 saa 1319 hrs), je bado yana maana yoyote katika ligi ya mwaka huu?
Kong'oli hapa: http://www.jamiiforums.com/sports/826295-yanga-afrika-special-thread%99.html#post642387
CC. mito, Bantu lady, mkolaj, yahooo, nifah, cnjona, etc.
Mnapenda kujifariji kweli. Haya hongereni kwa ubingwa, ila nawaonea huruma kipigo mtakachokipata toka kwa waarabu.
Mnapenda kujifariji kweli. Haya hongereni kwa ubingwa, ila nawaonea huruma kipigo mtakachokipata toka kwa waarabu.
Hahahaaah nipo kaka.Upo njomba?
Ha ha ha haaah naangalia upepo huenda nikawa mzalendo siku hiyo.Mkuu vipi tena? Serikali imeagiza mashabiki tuwe kitu kimoja linapokuja suala la mechi za kimataifa, Tanzania kwanza, vilabu baadaye, au mnataka itungwe sheria ya kuwatia hatiani Watanzania wanaoshabikia na/au kushangilia timu za nje zinapokuja Tanzania?