Inategemea na mkoa unaoishi.Njombe,Mbeya,Katavi,Kigoma,Morogoro,pwanisongea.Mvua in nyingi sana.Kama upo Dodoma,shinyanga mwanza Utalia.kuna mikoa maji ya kumwagilia yanakusaidia kulima kiangazi yani misimu miwili.
Kwa huko Shyinyanga,Dom,nk sijui utatoa wapi maji ya kumwagilia.Maeneo yenye mito ming ndio yenye mvua nyingi,Mungu bwana