Usichokijua kuhusu mabehewa

Kwanini alimzuia Prof.Assad asikague ununuzi wa ndege?
 
Anzisha Uzi wa magufuli kama umemmisi kuliko kusingizia Mambo ya mabehewa

Hayo mabehewa wakati wanaweka mikataba na kuisaini magufuli akikua kisha oza miezi kibao.

Ila kama una hamu nae anzisha Uzi wakati akiwa hai.
 
Mbuzi ni mbuzi tu hawezi acha asili yake ya kula majani.
 
Kwanini alimzuia Prof.Assad asikague ununuzi wa ndege?
Asadi analima mboga huko kwake na kazi ilishaisha na hukumu imetoka, ila kama huliziki nenda Kakate rufaa ili huyo magufuli afungwe miaka ili ulizike.
 
Shirika la Reli Tanzania - TRC limetoa ufafanuzi juu ya ununuzi wa injini na behewa za abiria na mizigo kwa matumizi ya reli ya kisasa - SGR kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano TRC jijini Dar es Salaam Juni 15, 2022.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano TRC Bi. Jamila Mbarouk ameeleza kuwa TRC inafanya manunuzi ya behewa za mizigo, behewa za abiria, seti za treni za kisasa pamoja na vichwa vya treni ya umeme kwa mgawanyo wa awamu mbili.
 
Aidha, Bi. Jamila alieleza kuwa katika kuhakikisha uendeshaji wa awali unaanza mara baada ya majaribio, TRC ilisaini mkataba wa muda mfupi wa ununuzi wa vichwa vya treni ya umeme viwili na behewa 30 za abiria vitakavyofanyiwa ukarabati kutoka kampuni ya Eurowagon ya nchini Uturuki.

Hata hivyo Bi. Jamila aliongeza kuwa kampuni ya Eurowagon imeshindwa kutimiza matakwa ya mkataba huo ambao ulitakiwa kukamilika mnamo mwezi Novemba, 2021.v
 
Kwani aliyesema yanakuja mabehewa used ni mahufuli au samia
 
zungukeni tu lazima mtatema ndoano tu
 
This is nonsense, mkataba wa mwanzo si ulifutwa na kina Samia wakaingia mkataba mwingine?ndo huu sasa
 
Haa uzushi.
haya mabehewa yamenunuliwa na serikali ya mama Samia.mabehewa haya wamesema ni kwaajili ya safari ndefu au aukuwasikia?.
mpaka sasa reli imekamilika mpaka Morogoro.ili wapige hela wakaleta kwanza mabehewa ya masafa marefu wakaacha kuleta mabehewa ya masafa mafupi ya reli ilipofikia sasa hapo Morogoro.
 
Acha bangi ndege zimenunuliwa kiwandsni na bei za kila ndege zimeandikwa kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…