contask
JF-Expert Member
- Jan 3, 2021
- 923
- 1,901
Habari wakuu
Baada ya uzi wangu wa utafiti ambao ulifutwa sasa nimekuja na uzi mpya
Katika pitapita zangu za Amazon nikakutana na uwezo wa kucreate seller acount ambayo unaweza ukachukua plan ya individual account ambayo itakua inalipiwa 0.9USD kwa kila mauzo unayoyafanya
NIkapitia price ya simu kama samsung galaxy,iphone na zingine ziad nikagundua ni price kubwa sana mfano samsung galaxy note 10 plus ni usd300+ nayo ni used sio mpya lakini bongo ni bei ya chini sana ambayo unaweza ukaipata kwa 380000
Kuhusu inshu ya box za simu ziko pale aggrey kwa 10000 pia unaweza kupiga hadi lamination
๐ฅHapa naongelea experience sio story za jaba wakuu mfano
๐Google pixel 6 plain ni 420000
๐Pixel 6a ni 450000
๐6 pro ni 540000
๐samsung note 10 plus ni 380000
๐note 20 utra ni 460000 nazingine nyingi sana
Sawali langu.
Je unaweza ukafungua seller account ukauzia simu zako nje ya nchi na ndani ya nchi kupitia amazon?
Na je unaweza kufanya expertation nje ya nchi?
Na je gharama zake zipohe kwenye kusafirisha electronics hasa mobile phones?
Wajuzi wa mambo karibuni ๐
#work smart
Baada ya uzi wangu wa utafiti ambao ulifutwa sasa nimekuja na uzi mpya
Katika pitapita zangu za Amazon nikakutana na uwezo wa kucreate seller acount ambayo unaweza ukachukua plan ya individual account ambayo itakua inalipiwa 0.9USD kwa kila mauzo unayoyafanya
NIkapitia price ya simu kama samsung galaxy,iphone na zingine ziad nikagundua ni price kubwa sana mfano samsung galaxy note 10 plus ni usd300+ nayo ni used sio mpya lakini bongo ni bei ya chini sana ambayo unaweza ukaipata kwa 380000
Kuhusu inshu ya box za simu ziko pale aggrey kwa 10000 pia unaweza kupiga hadi lamination
๐ฅHapa naongelea experience sio story za jaba wakuu mfano
๐Google pixel 6 plain ni 420000
๐Pixel 6a ni 450000
๐6 pro ni 540000
๐samsung note 10 plus ni 380000
๐note 20 utra ni 460000 nazingine nyingi sana
Sawali langu.
Je unaweza ukafungua seller account ukauzia simu zako nje ya nchi na ndani ya nchi kupitia amazon?
Na je unaweza kufanya expertation nje ya nchi?
Na je gharama zake zipohe kwenye kusafirisha electronics hasa mobile phones?
Wajuzi wa mambo karibuni ๐
#work smart