babacareeni
Member
- Jan 2, 2013
- 48
- 6
Usije kuwaamini wanasiasa mara zote kwa maneno matamu na ya hamasa wanaposhambuliana jukwaani,Utaaibika kama mbea anaechonganisha wapenzi.
Siasa ni sanaa wanasiasa wote ni wasanii waigizaji nambari moja lakini hakuna tuzo zao..... pia ni ajira inayolipa sana