Siku za ajabu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 1,369
- 987
kama kuna binti au kijana ana shida yoyote haelewi pa kuanzianamshauri aje kanisani sabasaba viwanja vya ngorongoro kwa pastor katunzi kila siku saa kumi nimeona kwa machomabinti ambao waligoma.kwenda shule kumbe wametupiwa mapepo wasisome na sasa wamefunguliwa kumbuka maombi ni bure hapa kwa mchungaji katunzi.ni hapa dar viwanja vya sabasaba maonyesho.