Hongera sana. Mimi kwa mbio za hapa mjini nilisha confirm kuwa 100% sitakaa ninenepe na sijawah. Ila nikirudi mama na mzee mkoa huko kwa mapumziko aisee week 1 parefu najenga mwili hatari kabisaa. Lakini nikurud town sijawahi kuvita kilo 68 mpaka leo at 30's .Yeah Ndio chief wengine wanaenda mpka miaka 5,9,7 kidonge awaijui mimi nafanya mazoez kwa sababu mwil wangu Una nature ya unene.. Nikijisahau6 kidogo tu nanenepa hatali.. Kitambi kama chote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie Mungu azid kukupa uzima sio wewe tu ni pamoja na generation yako.
Kwa uliyoongea mengi kama kweli unafuatilia, ni sawa kuugua ni issue kwako.
Una damu group gan pia.
Najiona skuzi nikinenepa zaidi, na kakitambi kameanza kuja kwa mbaaaali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu, mimi nakumbuka mara ya mwisho kuumwa ilikuwa 1999, niliumwa malaria, na hii ilikuwa periodic karibu kila mwaka kuanzia 1997,1998 na hiyo 1999.Nilikuwa nakaa hata mwezi na nusu bila ya kwenda shule.
Ukubwani pia wakati niko Secondary zile seasons za malaria zoote just after "kipindi cha masika na vuli" sijapataga kuumwa pia.
Kilichonishangaza zaidi, kuna mwaka wakati niko secondary advance level,wenzangu bwenini chamber wakapataga tetekwanga, nikauliza kwa mama yangu kama nilishawahi kuumwaga huko utotoni ila akaniambia hapana, so nikawa nasubiri turn yangu ya tetekwanga maana ilikuwa watu wanapasiana bwenini ila sikuipata , yaani mpaka leo sijaelewa.
Namshukuru mwenyezi mungu kwa kweli, naendelea kumuomba pia haya mengine atupitishie mbali.
Alexander The Great
Kwamba huo nao ni ugonjwa? 😅😅
Mmh basi tuko tofauti sana binadamu..mimi binafsi mara ya mwisho kuugua ilikuwa 2009 mwanzoni mpaka leo sijui kitu kinaitwa vidonge sijui panado, mseto yani navisikilizia kwa wenzangu tu. Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa afya njema anipayo kila siku. Na pia ni muumini sana wa mazoezi mepesi mepesi: push up,kamba kuruka na viungo kidogo ambapo huwa nafanyia nyumbani vyote hivyo.
Kama anamiaka 70 kakaa miaka mitatu bila kuumwa hapo sawa unatakiwa ajisifu..ila kama ni kijana mdogo daaaah atakua na tatizoUna raha na hongera!...kwenye mazoezi ni wito jamani dah! Tena na micorona hii tutabust wengine!😥😥😥
Miaka mitatu unapiga kelele hapa
Mimi toka 2003 sijui ugonjwa ni nini hata ukiniambia ukienda hospital unaanzia wapi kupatiwa tiba sijui...
Zishukuriwe sana pombe nyeupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Una raha na hongera!...kwenye mazoezi ni wito jamani dah! Tena na micorona hii tutabust wengine![emoji26][emoji26][emoji26]
Ndio maana hujaona nikianzisha uzi wala kujisifu..miaka 17 ni michache sana,lengo nifikishe miaka 30 bila kuuona mlango wa hospital yoyote nikiwa kama mgonjwa
Hahahah chief mazoez iwe ni daily routine kama ilivyo auwez kupitisha Siku bila ya kupiga mswak
Sent using Jamii Forums mobile app