Ushuhuda, kuagiza gari na befoward

masai dada

JF-Expert Member
Dec 29, 2013
15,737
12,622
Nisipoongea nitakua sitendi haki maana niliahidi likifika langu katika hali yoyote. Nitakuja kutoa ushuhuda

Siku mbili tu tangu nilipie gari yangu nilikutana na ule uzi wa aliyeagiza alphard mpaka sasa ni milioni 24 na gari haitembei maana ilikuja mbovuu haifai. Mpaka matengenezo gari imekula ela za kutosha.
Katika koment watu wakasema hakikisha unapoagiza gari unapata inspection sheet.

Basi nikamuendea yule dada wa bfoward tuliyefanya nae mchakato wa kuliagiza. Nikamwambia naomba fomu ya ukaguzi akasema huwezi pata kwa sasa.

Nikapata tumbo joto sana
Nikamuuliza je gari ikija haieleweki itakuaje. Majibu yake hayo hapo chini. Ni kwamba kkiri gari za japani ni nzuri sana ila SINGAPORE KUNA SHIDA, gari yangu imefika iko manga’nyu sana.

Ipo vizuri mno na ilitokea japan
Ukaguzi wa awali na wa baada gari ina asilimia 98 ya ubora.

Bado hatujaifanyia service ndogo
RAI yangu kama unaagiza gari na bfoward usijaribu gari za singapore
Maana kama mfanyakazi wao kakiri zinachangamoto wewe ni nani ujichanganye?
AB71A877-DCF6-4AC1-950F-A4024578CFAA.png
 
Nisipoongea nitakua sitendi haki maana niliahidi likifika langu katika hali yoyote. Nitakuja kutoa ushuhuda

Siku mbili tu tangu nilipie gari yangu nilikutana na ule uzi wa aliyeagiza alphard mpaka sasa ni milioni 24 na gari haitembei maana ilikuja mbovuu haifai. Mpaka matengenezo gari imekula ela za kutosha.
Katika koment watu wakasema hakikisha unapoagiza gari unapata inspection sheet.

Basi nikamuendea yule dada wa bfoward tuliyefanya nae mchakato wa kuliagiza. Nikamwambia naomba fomu ya ukaguzi akasema huwezi pata kwa sasa.

Nikapata tumbo joto sana
Nikamuuliza je gari ikija haieleweki itakuaje. Majibu yake hayo hapo chini. Ni kwamba kkiri gari za japani ni nzuri sana ila SINGAPORE KUNA SHIDA, gari yangu imefika iko manga’nyu sana.

Ipo vizuri mno na ilitokea japan
Ukaguzi wa awali na wa baada gari ina asilimia 98 ya ubora.

Bado hatujaifanyia service ndogo
RAI yangu kama unaagiza gari na bfoward usijaribu gari za singapore
Maana kama mfanyakazi wao kakiri zinachangamoto wewe ni nani ujichanganye?
View attachment 2987628
Hongera sana na asante kwa mrejesho
Japo ulikua na risk hiyo ya kutokupata inspection sheet mshukuru Mungu alikuchagulia gari nzuri

Gari ukifanya uchaguzi mzuri wakati wa manunuzi hususani hizo gari za japan unapata gari ikiwa na ubora mzuri Befoward na wajapani wanatoa taarifa sahihi za gari

Vitu vya ziada kuzingatia wakati wa kuchagua gari ni pamoja na

1. Umiliki wa gari, kama ilishamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja
2. Taarifa ya ajali kama gari ilishawahi kupata ajali kabla
3. Location ya gari -nchi gari ilipo wakati wa ununuzi na kama ni Japan ni mji gari
4. Uchakavu wowote kama upo
 
Hongera sana na asante kwa mrejesho
Japo ulikua na risk hiyo ya kutokupata inspection sheet mshukuru Mungu alikuchagulia gari nzuri

Gari ukifanya uchaguzi mzuri wakati wa manunuzi hususani hizo gari za japan unapata gari ikiwa na ubora mzuri Befoward na wajapani wanatoa taarifa sahihi za gari

Vitu vya ziada kuzingatia wakati wa kuchagua gari ni pamoja na

1. Umiliki wa gari, kama ilishamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja
2. Taarifa ya ajali kama gari ilishawahi kupata ajali kabla
3. Location ya gari -nchi gari ilipo wakati wa ununuzi na kama ni Japan ni mji gari
4. Uchakavu wowote kama upo
Nitakuomba unipe support ninapoagiza yangu mkuu
 
Nisipoongea nitakua sitendi haki maana niliahidi likifika langu katika hali yoyote. Nitakuja kutoa ushuhuda

Siku mbili tu tangu nilipie gari yangu nilikutana na ule uzi wa aliyeagiza alphard mpaka sasa ni milioni 24 na gari haitembei maana ilikuja mbovuu haifai. Mpaka matengenezo gari imekula ela za kutosha.
Katika koment watu wakasema hakikisha unapoagiza gari unapata inspection sheet.

Basi nikamuendea yule dada wa bfoward tuliyefanya nae mchakato wa kuliagiza. Nikamwambia naomba fomu ya ukaguzi akasema huwezi pata kwa sasa.

Nikapata tumbo joto sana
Nikamuuliza je gari ikija haieleweki itakuaje. Majibu yake hayo hapo chini. Ni kwamba kkiri gari za japani ni nzuri sana ila SINGAPORE KUNA SHIDA, gari yangu imefika iko manga’nyu sana.

Ipo vizuri mno na ilitokea japan
Ukaguzi wa awali na wa baada gari ina asilimia 98 ya ubora.

Bado hatujaifanyia service ndogo
RAI yangu kama unaagiza gari na bfoward usijaribu gari za singapore
Maana kama mfanyakazi wao kakiri zinachangamoto wewe ni nani ujichanganye?
View attachment 2987628
Naweza kuagiza toroli?
 
Hongera zako ...
Hizo kampuni za wenzetu wapo smart Sana kwenye biashara zao Kwa mfano ukiingia kwenye website ya be forward utapigiwa picha za gari husika kila sehemu zenye shida kama kuna mikwaruzo,SITI zilizoharibika,rangi iliyochubuka n.k

Wenzetu wanajua kufanya biashara na ni waaminifu pia serikali zao Wana Sheria Kali Sana juu ya kufanya udanganyifu
 
Hongera sana na asante kwa mrejesho
Japo ulikua na risk hiyo ya kutokupata inspection sheet mshukuru Mungu alikuchagulia gari nzuri

Gari ukifanya uchaguzi mzuri wakati wa manunuzi hususani hizo gari za japan unapata gari ikiwa na ubora mzuri Befoward na wajapani wanatoa taarifa sahihi za gari

Vitu vya ziada kuzingatia wakati wa kuchagua gari ni pamoja na

1. Umiliki wa gari, kama ilishamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja
2. Taarifa ya ajali kama gari ilishawahi kupata ajali kabla
3. Location ya gari -nchi gari ilipo wakati wa ununuzi na kama ni Japan ni mji gari
4. Uchakavu wowote kama upo
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom