Uchumi hauruhusu mkuuTujitahidi tuwezavyo kuagiza gari jipya kabisa kutoka kiwandani na sio yaliyo tumika.
Kama tumeshindwa kuagiza yasiyozidi miaka 10 kurudi nyuma hayo mapya kabisa tutaweza?
Uchumi hauruhusu mkuuTujitahidi tuwezavyo kuagiza gari jipya kabisa kutoka kiwandani na sio yaliyo tumika.
Uchumi hauruhusu mkuu
Kama tumeshindwa kuagiza yasiyozidi miaka 10 kurudi nyuma hayo mapya kabisa tutaweza?
🤣🤣🤣🤣😉Umtisha sana chief😁😁
Kakiri wazi gari itokee japanBiashara za Tanzania ni magumashi matupu kwa kila aina ya bidhaa.
Wana account ya tsh bfoward ya bongoUlitumia njia gani kulipia maana sasa hivi upatikanaji wa dola ni mtihan. Benk zetu zaidikupata zaidi ya dola mia ni mtihan. Inabidi kutumia njia ambazo si salama na unaipata kwa zaid ya tshs 2800
Yaani mkuu gari niliambiwa ingia kwenye website usiku gari huwa zinaahuka bei anzia jumatatu usikuHongera sana na asante kwa mrejesho
Japo ulikua na risk hiyo ya kutokupata inspection sheet mshukuru Mungu alikuchagulia gari nzuri
Gari ukifanya uchaguzi mzuri wakati wa manunuzi hususani hizo gari za japan unapata gari ikiwa na ubora mzuri Befoward na wajapani wanatoa taarifa sahihi za gari
Vitu vya ziada kuzingatia wakati wa kuchagua gari ni pamoja na
1. Umiliki wa gari, kama ilishamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja
2. Taarifa ya ajali kama gari ilishawahi kupata ajali kabla
3. Location ya gari -nchi gari ilipo wakati wa ununuzi na kama ni Japan ni mji gari
4. Uchakavu wowote kama upo
Japan sio?Hongera zako ...
Hizo kampuni za wenzetu wapo smart Sana kwenye biashara zao Kwa mfano ukiingia kwenye website ya be forward utapigiwa picha za gari husika kila sehemu zenye shida kama kuna mikwaruzo,SITI zilizoharibika,rangi iliyochubuka n.k
Wenzetu wanajua kufanya biashara na ni waaminifu pia serikali zao Wana Sheria Kali Sana juu ya kufanya udanganyifu
NimeolewaToto la kimasai linatembelea matako.
Ninaamini Ni jasho lako binafsi sio hela ya vibabu vyenye vitambi na kupaka rangi nyeusi kwa nywele.
Tunatamani ila ni ngumu, ni kwa wachache sana kwa nchi hii.Tujitahidi tuwezavyo kuagiza gari jipya kabisa kutoka kiwandani na sio yaliyo tumika.
Hakuna linaloshindikana chini ya mbingu HALIPOOTujitahidi tuwezavyo kuagiza gari jipya kabisa kutoka kiwandani na sio yaliyo tumika.
Nikupe mawasiliano yao?Naweza kuagiza toroli?
Toto la kimasai linatembelea matako.
Ninaamini Ni jasho lako binafsi sio hela ya vibabu vyenye vitambi na kupaka rangi nyeusi kwa nywele.
Thanks myyHongera sana masai dada 🥰
Asante sana my friendWanasema usiusemee moyo wa mtu ila Kwa hili, naomba nimtetee masai dada , anapambana sana.
Asante sana my friend
CRDB unalipia kwa tshs?Wana account ya tsh bfoward ya bongo
Na ya yen ya japan
Ila kuna maelekezo kma utalipia direct japan
Mimi nililipia befoward kwa account ya crdb wanayo
Naona unatumia iPhone mkuu.Nisipoongea nitakua sitendi haki maana niliahidi likifika langu katika hali yoyote. Nitakuja kutoa ushuhuda
Siku mbili tu tangu nilipie gari yangu nilikutana na ule uzi wa aliyeagiza alphard mpaka sasa ni milioni 24 na gari haitembei maana ilikuja mbovuu haifai. Mpaka matengenezo gari imekula ela za kutosha.
Katika koment watu wakasema hakikisha unapoagiza gari unapata inspection sheet.
Basi nikamuendea yule dada wa bfoward tuliyefanya nae mchakato wa kuliagiza. Nikamwambia naomba fomu ya ukaguzi akasema huwezi pata kwa sasa.
Nikapata tumbo joto sana
Nikamuuliza je gari ikija haieleweki itakuaje. Majibu yake hayo hapo chini. Ni kwamba kkiri gari za japani ni nzuri sana ila SINGAPORE KUNA SHIDA, gari yangu imefika iko manga’nyu sana.
Ipo vizuri mno na ilitokea japan
Ukaguzi wa awali na wa baada gari ina asilimia 98 ya ubora.
Bado hatujaifanyia service ndogo
RAI yangu kama unaagiza gari na bfoward usijaribu gari za singapore
Maana kama mfanyakazi wao kakiri zinachangamoto wewe ni nani ujichanganye?
View attachment 2987628
Ni Gari gani Tajiri Umeagiza?😎Asante sana my friend