Ushoga wa wanaume, Aisee unaisha vizuri.

Ushoga wa wanaume, Aisee unaisha vizuri.

kyanaKyoMuhaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,952
Reaction score
939
Aiseeh! Wanaume nimechoka!

John na Jeff walikuwa majirani na marafiki mpaka wake zao wakawa mtu na dada yake. John akaharibu akawa mpenzi wa mke wa Jeff jina lake ni Jessica. Mapenzi kikohozi Jeff akashtukia deal lakini akawa mtulivu na urafiki ukaendelea watu wakawa wanashangaa. Leo kulikuwa na ugomvi wa wanawake makelele hadi.

Kisa, kumbe Jeff alikopa kwa John milioni 5 akaongezea milioni 5 akanunua gari akaandikisha jina la mke wake. lakini gari anaendesha mwenyewe mke wake hajawahi kulipanda kwani wana gari jingine lenye jina lake ndio anaendesha mke wake.

sasa kivumbi kilianzia kwa John kudai hela yake maana aliona halipwi wala jamaa hajali. John amedai wee mwishowe akajibiwa nenda kamdai Jessica atakulipa nimeshamwambia. John akashtuka, akagwaya akarudi nyumbani dissappointed, akamsimulia mkewe alivyomkopesha Jeff na hataki kulipa na kuwa amesamehe deni. Siku akitaka kulipa alipe au aache. mke wa John kaona hasara kwa familia, kamfuata shosti dada mara nyingi amkumbushe shemeji alipe deni, Jessica hakuthubutu. Sasa leo mke wa John kamfuata Jeff ofisini na kumkumbusha ujumbe aliompa Jessica. Jeff akashtuka hajawahi pewa ujumbe wowote na Jessica. mke wa John hakuamini, ndio amerudi anampasha Jessica na umekuwa Ugomvi mkubwa. John Yuko kwake katulia na Jeff yuko sebuleni hana habari, wanawake wanatoana macho. Hivi wanaume wakoje. karibu kila mtu anajua picha isipokuwa mke wa John, Jeff keshachukua fidia yake ya ugoni. yaani usipime .

 
Labda mwanaume sharobaro ndo anaweza kubali mkewe aliwe uroda na urafiki uendelee,mwenye akili timamu urafiki ungefia hapo hapo na deni angelipa ili kuondoa mzizi wa fitina.
 
nimechanganyikiwa. narudia mara ya 5 sasa. sijui kama ntaielewa.
 
Jamaa kalidhia mke wake kuwa na mitala na mahali keshachukua m,10
 
kyanaKyoMuhaya ni kabila gani hilo wanaloruhusu mtu kuliwa Manzi wako halafu unarudishiwa mke aliyelimwa kisawasawa
Mimi jkwanza tungeshaachana na huyo malaya
 
Last edited by a moderator:
ni kama sijaelewa hiv!
au hizi ndyofu alizonitumia Erickb52 kwa telepathy?mwe!
uandishi kazi jamani!
 
Last edited by a moderator:
Ushoga ukowapi hapo? kiswahili kama kichina.kuelewa shule yahitajika. wanaume ni marafiki, ushoga kwa mwanaume ni usenge yaani kugeuzwa nashidwa niandikeje. kwaufupi kufirwa samahani kwa maneno makali imenilazim
 
Labda mwanaume sharobaro ndo anaweza kubali mkewe aliwe uroda na urafiki uendelee,mwenye akili timamu urafiki ungefia hapo hapo na deni angelipa ili kuondoa mzizi wa fitina.

Au mwenye HIV ili jamaa naye ajipakaze.
 
Is this a joke? Nyie wanawake hamjui uchungu wa kumegewa! Yani hata ulipwe milioni 100 bado utakua unaskilizia maumivu tu, haya mambo ya kuvumilia mnayaweza wanawake manake hata mkifumania mpo tu tena hamlipwi hata senti!!
 
ni kama sijaelewa hiv!
au hizi ndyofu alizonitumia Erickb52 kwa telepathy?mwe!
uandishi kazi jamani!
Hahahahahaa snowhite mi nimeelewa ila kwa kurudia mara tatu tena nikiwa nimekunywa maji sio ndofu.
Heheheheee yan kama umegonga ndofu humu huambulii kitu labda hii story iwekwe kwenye movie....ila ni nzuri sana nimeipenda.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom