stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,750
Ndiyo huo ukweli Watu hawataki kuuona. Wanafikiri Ushoga upo USA na UK na unasubiri turuhusu ndiyo uje.
Hata Uganda na Zimbabwe upo sana tu na sanasana utakwenda chini ya uvungu na huko ndiyo kubaya.
Nina uhakika wataingiza Wabunge kibao ili wabadili sheria na hata kumuondoa Museven.
Sound gud km unaukubali vile?