msimamo wangu ni huu....SIPENDI USHOGA LAKINI MTU AKIAMUA KUWA SHOGA NI YEYE SIWEZI KUMPANGIA AISHI VIPI......kuhusu mwanangu kuwa shoga nitajitahidi kumlea asiwe shoga lakini akitokea kuwa shoga siwezi kumuua au kumkataa kwani hao wenye watoto mashoga walipenda kuwa na watoto wa aina hio?
inashangaza sana.Aisee! Kwani si wafi..ane wenyewe huko! Au lazima nasi tu..irane? Ebbos si watuletee hiyo mi..undu yao tuigonge!!!!!!!
...
Sasa kunamausiano gani kati ya mikopo na kuf..rana?
...
Aisee! Hii sera ikipitishwa Tz, lazima tuwadoee wote waliosign!
wewe utamfanya nini?
mkuu vipi watu wanagonga ngozi nini.......
Mimi siyo mgeni TZ labda mgeni wa mjini,Mkuu unavyoiongelea AFRICA wewe ni mgeni kwenye BARA hili,,! Wenyewe wanaoenea vijicho kiongozi Mwenzao akipendwa na Wazungu ss wasema leo waungane kupinga! Ndg una MOYO mgumu sana!
Mkuu kwahiyo Uganda pia wamekosea kupitisha ile sheria?kweli kila mtu aishi atakavyo lakini hawa wenzetu wanapotulazimisha tuutambue huo ushoga mbona naona wanakiuka haki zetu vile vile. kwanini wasiache mambo yawe kama zamani. wasilazimishe watu bana. wanakera sana.
Wewe ni SHOGA??
kweli kila mtu aishi atakavyo lakini hawa wenzetu wanapotulazimisha tuutambue huo ushoga mbona naona wanakiuka haki zetu vile vile. kwanini wasiache mambo yawe kama zamani. wasilazimishe watu bana. wanakera sana.
Mkuu kwahiyo Uganda pia wamekosea kupitisha ile sheria?
wasitambuliwe kisheria na wala wasibanwe kisheria. kila mtu ajiju mwenyewe na life style lake.
Then its my personal attitude,
I hate ushoga daah! Ungesema amua,
hata hakuna muda wa kupeleka mahakamani,
hukumu intungwa moja kwa moja.....................
Sisi waafrika ndio wapuuzi kwa kuendekeza ufisadi na nchi zetu kuendelea kuwa maskini na kupelekea kuwa ombaomba kwao. Ukisha kuwa ombaomba tegemea utakuwa mtumwa daima
kwa wanaochukia wanachukia na wanaopenda wanapenda. personal attitude kama ulivyosema. wakati wewe unasema kwanini watambuliwe kisheria wakati sio maadili na ipo kinyume na imani zetu, wao mashoga wanasema kwanini msitutambue wakati haya ni maisha yetu binafsi. binafsi nachukia sana hiyo tabia lakini kutokuwa biased ni bora kutowatambua kisheria na kutowabana kisheria vile vile.
hiyo mifano uliyoisema yote inaathiri upande mwingine. mtu akibaka ina maana aliyebakwa kaathiriwa. ila hao wanaofanyana ushoga ni wao wenyewe na maisha yao waliyojichagulia. hebu nitoke humu, staki kutetea wala staki kushabikia hizo dhambi. mungu tunusuruBangi na madawa ya kulevya watu wanavipenda, hivyo wanavitumia,
Kuendesha chombo cha moto ukiwa umelewa; watu wanaokunywa wanapenda hivyo wanafanya,
Kuiba kitu kisicho chako; watu wanafanya, mabinti wadogo kubakwa, watoto kulawitiwa na vingine vingi. Hatuwezi kusema kila mtu afanye anachotaka kwa sababu ni maisha yake hata kama kiko kinyume na maadili yetu au hakifai kwetu.
Nafahamu hata sheria zinavunjwa hata huko mahakamani sababu ya maadili mabaya, lakini bora tujue moja umevunja sheria hivyo uhukumiwe; mimi nadhani iwepo sheria ya kutotambu huu ujinga.
Vinginevyo nakubali kutokubaliana.
Sabato njema muke ya muyahudi
Wajanja tulisha liona hili mapema sana, No free lunch dunia hii, na nia ya wazungu ni kwamba sharia ikipitishwa maana yake wao ndio waje kutugegeda wao yaani watakuwa wanamwambia Raisi nakupa msaada halafu wewe nipe mashoga kadhaa,, Wabongo tufanye kazi kwa bidii ili tuache utegemezi.
Mim huwa najiuliza why rais wangu ana marafiki sharki ya kati???????