Ushirikiano kuendesha saloon ya kike

Ushirikiano kuendesha saloon ya kike

rutakana

Senior Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
119
Reaction score
72
Helo wanajf,kulingana na title natafuta mwanamke au bint aliye tayari tushirikiane kuendesha saloon ya kike,kiukweli imenishinda kuendesha kwasababu mm ni mwanaume.

AU

Aliye tayari nmukodishe vifaa vya saloon ya kike aendeshe mwenyewe( vifaa vyote vya saloon vipo,kama dryer,stimer,rolerz yan vyote vingne cvijui vinaitwaje)

AU

Aliyetayari nmuuzie vifaa vyote vya saloon ya kike npo tayar bei maelewano baada ya kuviona,saloon yenyewe nmeifunga kwasasa lkn ipo mbezi-kimara sehemu inaitwa kibanda cha mkaa,mwanamke au binti aliyetayar aniPM
 
Pole sana, salon ni biashara nzuri sana kwakuwa haina hasara ila faida huwa inapungua tu, ila ni mbaya sana ukiwa umeacha watu halafu wewe haupo na haujui kufanya chochote
 
Siwez kusema kwa sh ngap,inategemea na ww utakavyokuwa unafanya biashara bt kama upo tayar nichek PM,tupeane contact,ili tushauriane bas@Rubo
 
Pole sana, salon ni biashara nzuri sana kwakuwa haina hasara ila faida huwa inapungua tu, ila ni mbaya sana ukiwa umeacha watu halafu wewe haupo na haujui kufanya chochote
Kwa kweli saloon ni biashara nzuri, japo moja kati ya changamoto ni kumpata mtu ambaye ataweza kuisimamia vizuri kwa kuwa wadada wengi wa saloon ni pasua kichwa. Kama yupo serious ajaribu kutafuta wakaka wa kikongo hawa naona ndio wanapendwa na wateja.
 
haaa haaa pole mkuuu maana mm ishanipasua kichwa sitaman chochote zaid ya kuiuzaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom