Ushindi wa Rais Magufuli 2020

Magufuli atapata Asilimia ngapi?

  • 50%

  • 60%

  • 70%

  • 80%

  • 91.5%

  • 100%

  • 41.788%


Results are only viewable after voting.
Wizi wa kura wa nduli wa Ikulu. Usifananishe huyu mwizi dikteta fisadi muuaji na UZALENDO.


 
Hiyo 2020 atatangazwa mshindi bila kujali box la kura litasema vipi kwani haheshimu box la kura. Huwezi kusema Magufuli anapendwa kwani hayuko tayari kuruhusu vipimo vya kupima upendo vitamalaki. Sehemu kubwa anaoongoza kwa kujenga hofu na iwapo utaonyesha kutompenda utajikuta kwenye hujuma za wazi.

Ila ukweli ninao ufahamu, wapiga kura watakuwa ni wacheche kupata kutokea. Idadi itakayoacha kupiga kura itakuwa ni jibu tosha ya jinsi gani anakubalika. Huenda unaamini kwamba anapendwa kwa sababu hakuna habari tofauti na za kwake, na hayuko tayari kuona wenzake wakiungwa mkono. Hivyo ushindi wake wa 2020 utakuwepo lakini sio kwa ridhaa ya walio wengi.
 
Asilimia kubwa wanampenda sana kwako wewe unayepiga porojo huku na wenzako mnaweza kujiona mpo wengi sana kumbuka kuna wapiga kura halisi ambao hawajui mtandao nini na wapo wengi sana wenye upendo kwake
 
Asilimia kubwa wanampenda sana kwako wewe unayepiga porojo huku na wenzako mnaweza kujiona mpo wengi sana kumbuka kuna wapiga kura halisi ambao hawajui mtandao nini na wapo wengi sana wenye upendo kwake

Unadhani tunaongea haya tukiwa nje ya nchi? Uhalisia tunaujua, ukitaka kujua mtu anapendwa utaona anaheshimu box la kura na watu watakuwa na hamasa ya kushiriki uchaguzi. Hayo yote hayapo, hivyo wengi watakaojitokeza kupiga kura ni wale wanaomkubali. Kwahiyo atapata asilimia kubwa ya kura lakini wapiga kura wachache. Kujengea watu hofu na kuwatawala kwa mabavu hakukupi nafasi ya kupendwa, bali watu kuigiza wanakupenda.

Ni kama umfuate mwanamke kibabe huku ukimpa mahitaji yake kadhaa, ataigiza kukupenda kwakuwa anakuogopa, lakini kiuhalisia hakupendi na akitokea yule anampenda ataenda bila kuhitaji chochote kwake.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…