Elections 2010 USHINDI MKUBWA WA LOWASSA na MRAMBA unatuambia nini?

Bongolander

JF-Expert Member
Jul 10, 2007
5,067
2,197
Wakuu, matokeo ya kura za maoni yanaonesha kuwa Mh Edward Lowassa has won big, na Mh Basil Mramba has won big. Swali linakuja, ni kwanini haa jamaa wamepata ushindi mkubwa? NI kwamba wanafaa zaidi kuliko wagombea walioshindana nao? NI kwamba constituents hawajaui wagombea hao wamelifanyia nini taifa au wanasemwa vipi? Constituents huwa wananchagua mgombea kwa kigezo gani? au anayechaguliwa ni yule anayepenyeza Rupia zaidi?

Kuna uwezekano kuwa shutuma wanazopewa si kweli ndio maana wananchi wao wanawaunga mkono sana? Kushindwa kwa Seleli kuna connection yoyote na hili?

Tukiweka kwenye picha kubwa ya 31 Oct 2010, what conclusion can we draw from this?
 
Watanzania wanaanza kukumbatia siasa za Kenya (i.e. Ubinafsi; as long as mwizi anafanya mazuri jimboni kwake then makosa ya wagombea kwa taifa hayawahusi Wanajimbo!) too bad on our cohesion as a nation! Naomba NEC iangalie hilo kwa umakini!
 
Watanzania wanaanza kukumbatia siasa za Kenya (i.e. Ubinafsi; as long as mwizi anafanya mazuri jimboni kwake then makosa ya wagombea kwa taifa hayawahusi Wanajimbo!) too bad on our cohesion as a nation! Naomba NEC iangalie hilo kwa umakini!


Mmmh maskini sijui kama watanzania hawa wanajua nini kinaendelea anyway....its very sad...that they might not be able to know what is happening and what is NOT happening in the country
mix with yours
 
Mchango hapo juu umetoa jibu sahihi. EL, MRAMBA, CHENGE, wanajua muajiri wao ni wananchi wa jimbo na co mchango kwa taifa. Komba aliwahi kuwaambia NEC tutakaporudi majimboni wananchi hawatahoji EPA au Richmond bali watauliza zahanati, barabara, maji, umeme..... Karamagi hakulijua hilo akabaki na imani kama ya Kagasheki; Pesa ndo kila kitu! Kabwagwa vibaya sana.
 
hapo iko namna.
ni kweli wanajimbo kwa asilimia kuuubwaaaaaa hawana access ya kupata taarifa ya nini kinatokea katika dunia hii hususani nchini mwao.ukijiuliza ni wangapi walipata fursa ya kusoma habari za EPA nk.ni asilimia chache sana waliweza kuzipata habari hizo.
La msingi wanaloliangalia ni je,wamepata maji,bara bara japo ya vumbi lakini inapitika,kiji zahanati ,....
hapoinakuwa ndo mwiho wa mbwembwe zote.
 
majimbo yao wamenufaika na hawa wabunge, kwa mfano kama umechoka kuishi nenda monduli kamtukane lowasa mitaani uone raia wasio na hatia watavyokushuhulikia! wanasaidia sana wananchi majimboni mwao, sidhan kama kuna mwananchi anajali pesa anayopewa ni ya kifisadi au, hakuna pesa haramu!
 
hapo iko namna.
ni kweli wanajimbo kwa asilimia kuuubwaaaaaa hawana access ya kupata taarifa ya nini kinatokea katika dunia hii hususani nchini mwao.ukijiuliza ni wangapi walipata fursa ya kusoma habari za EPA nk.ni asilimia chache sana waliweza kuzipata habari hizo.
La msingi wanaloliangalia ni je,wamepata maji,bara bara japo ya vumbi lakini inapitika,kiji zahanati ,....
hapoinakuwa ndo mwiho wa mbwembwe zote.
na maybe hata hawakuelewa ni nini kilichokuwa kinaongelewa kuhusu EPA.
 
majimbo yao wamenufaika na hawa wabunge, kwa mfano kama umechoka kuishi nenda monduli kamtukane lowasa mitaani uone raia wasio na hatia watavyokushuhulikia! wanasaidia sana wananchi majimboni mwao, sidhan kama kuna mwananchi anajali pesa anayopewa ni ya kifisadi au, hakuna pesa haramu!

Mkuu the question is, Je watu wa Monduli have seen the improvement of their lives under leadership of EL, je watu wa Monduli hawajaeleimika kabisa na hawajui nini EL anafanya, au hawajui kuwa EL ni polarising figure kwenye siasa za Tanzania, au amewadanganya nini mpaka wao tu ndio wamuone wa maana sana kuliko sehemu nyingine za TAnzania. Au ni sisi hatujui kuwa EL is so good that anaweza kumpita mpinzania wake kwa kura zaidi ya 40,000?
 
Hao jamaa wote wanaoonekena kushinda...sababu ni moja tu!!!!!!!!

Taifa limepoteza mwelekeo halina mwenyewe...halina uelekeo wowote... Ni uozo wa jamiii umefikia kiwango cha juu!!

Hakuna kiongozi mweneye mapenzi ya kweli na nchi...

In that case kipofu yeyote anaweza kuitwaa jamii yeyote na kuchukua uongozi na kila kitu kikonekana its ok
 
nasikitika sana watu wengi bado mnafikiria kishule shule, Tanzania haiko hivyo. Kuna picha tofauti sana na ile ya ki-academia kuhusu siasa na maisha ya watanzania ya kila siku. Wapiga kura [walio wengi] wana factors zao za kumchagua mtu kwenye uongozi...kubwa kuliko zote ni pesa, kwamba amewapa ngapi kabla wao hawajampa fursa ya kwenda kufaidika huko mjengoni? Hivyo its lyk some kind of business where kila mmoja anataka kufaidika kivyake...wewe ukienda na misifa na mikakati yako endelevu, wao hawakuelewi kabisa, labda kama uwe na pesa za kuwapa pia! Na tutaendelea sana kupiga kelele kuhusu rushwa na ubadhilifu na upotevu wa uzalendo, mikataba ya ovyo n.k. lkn ukweli uko wazi - kama wapiga kura ili wakupe uongozi basi ni lazima walambe kwanza, wewe ukiingia huko utakuwa mzalendo kweli?

Kura ziko directly proportion na pesa unazotoa...

halafu hizi lugha za EPA, RICHMOND, RADA sijui madudu gani, kule kwenye grassroots ambako wapiga kura wapo wanajua mlidhulumiana tu ndo maana leo mnashindana, wao wanaamini kuwa kila mwanasiasa anafaidika sana na cheo alichonacho na ndo maana amekuja kuomba tena uongozi...hivyo nao wanakaa mkao wa kula tayari tayari!
 
hao jamaa wote wanaoonekena kushinda...sababu ni moja tu!!!!!!!!

Taifa limepoteza mwelekeo halina mwenyewe...halina uelekeo wowote... Ni uozo wa jamiii umefikia kiwango cha juu!!

Hakuna kiongozi mweneye mapenzi ya kweli na nchi...

In that case kipofu yeyote anaweza kuitwaa jamii yeyote na kuchukua uongozi na kila kitu kikonekana its ok
message nzuri zaidi ni kuwa ufisadi,wizi,rushwa na kuwagawia kitu kidogo wapambe wako inalipa.
 
:nod:Ni kwamba..,tusifikiri wananchi wa majimbo ya watu hao ni malaika... Mimi nawafahamu Wa.... wa kule rombo kwa mramba.. Wanapenda shekeli kuliko hata uhai wao!! Huwaambii ki2 mbele ya rupia meku!!!:disapointed:

Kule Monduli pia nimeishi sana, pale mnadani siku ya j2 mheshimiwa huwa anabwaga ng'ombe hata 10 (ile jamii mbele ya nyama haimkumbuki hata muumba!!) Ukipandishia ile pombe ya kirong'oti ndo kura unalamba kwa kwenda mbele yeroo!! Unasahangaa?? Hehe, umechelewa.:bored:

KIFUPI NI KUWA; GIVE 'EM FOOLS WHAT THEY WANT, U WILL KILL THEIR REASONING!! Tehe, tehe, tehe.... :love:
 
Mchango hapo juu umetoa jibu sahihi. EL, MRAMBA, CHENGE, wanajua muajiri wao ni wananchi wa jimbo na co mchango kwa taifa. Komba aliwahi kuwaambia NEC tutakaporudi majimboni wananchi hawatahoji EPA au Richmond bali watauliza zahanati, barabara, maji, umeme..... Karamagi hakulijua hilo akabaki na imani kama ya Kagasheki; Pesa ndo kila kitu! Kabwagwa vibaya sana.

Oooh pole yake,inawezekana wananchi walikerwa kwa Karamagi kutozungumza kihaya kwao!!!
 
watu wengi wanakuwa mavuvuzela tu . hamjui lowassa amefanya maendeleo gani jimboni monduli kwenye sekta zote . iwe ni maji , umeme , barabara ,elimu na afya . mi sijui mnaongea nini . Monduli ilikuwa nyuma kwenye maendeleo ya kila kitu. lowassa . lowassa ni mwanaume .
 
nasikitika sana watu wengi bado mnafikiria kishule shule, Tanzania haiko hivyo. Kuna picha tofauti sana na ile ya ki-academia kuhusu siasa na maisha ya watanzania ya kila siku. Wapiga kura [walio wengi] wana factors zao za kumchagua mtu kwenye uongozi...kubwa kuliko zote ni pesa, kwamba amewapa ngapi kabla wao hawajampa fursa ya kwenda kufaidika huko mjengoni? Hivyo its lyk some kind of business where kila mmoja anataka kufaidika kivyake...wewe ukienda na misifa na mikakati yako endelevu, wao hawakuelewi kabisa, labda kama uwe na pesa za kuwapa pia! Na tutaendelea sana kupiga kelele kuhusu rushwa na ubadhilifu na upotevu wa uzalendo, mikataba ya ovyo n.k. lkn ukweli uko wazi - kama wapiga kura ili wakupe uongozi basi ni lazima walambe kwanza, wewe ukiingia huko utakuwa mzalendo kweli?

Kura ziko directly proportion na pesa unazotoa...

halafu hizi lugha za EPA, RICHMOND, RADA sijui madudu gani, kule kwenye grassroots ambako wapiga kura wapo wanajua mlidhulumiana tu ndo maana leo mnashindana, wao wanaamini kuwa kila mwanasiasa anafaidika sana na cheo alichonacho na ndo maana amekuja kuomba tena uongozi...hivyo nao wanakaa mkao wa kula tayari tayari!

Dr. umeweka ukweli vizuri zaidi.... hakuna kingine si kwamba wananchi wanawapenda, bali wamenunua kura kwa bei nzuri.....It's sad lakini ndio reality ya tulipofikia...kazi tunayo , aluta continua!!!!
 
watu wengi wanakuwa mavuvuzela tu . hamjui lowassa amefanya maendeleo gani jimboni monduli kwenye sekta zote . iwe ni maji , umeme , barabara ,elimu na afya . mi sijui mnaongea nini . Monduli ilikuwa nyuma kwenye maendeleo ya kila kitu. lowassa . lowassa ni mwanaume .

Mkuu hii ya lowassa ni mwanaume ina utata kidogo. Ni sawa na kauli aliyotoa kiongozi mmoja mwanamke? au ina maana nyingine? Unajua kuwa watu wanaiba sana na wanatumia pesa walizoiba kujaribu kumhonga Mungu hata watu waliwaibia?
 
Back
Top Bottom