Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Wakuu, matokeo ya kura za maoni yanaonesha kuwa Mh Edward Lowassa has won big, na Mh Basil Mramba has won big. Swali linakuja, ni kwanini haa jamaa wamepata ushindi mkubwa? NI kwamba wanafaa zaidi kuliko wagombea walioshindana nao? NI kwamba constituents hawajaui wagombea hao wamelifanyia nini taifa au wanasemwa vipi? Constituents huwa wananchagua mgombea kwa kigezo gani? au anayechaguliwa ni yule anayepenyeza Rupia zaidi?
Kuna uwezekano kuwa shutuma wanazopewa si kweli ndio maana wananchi wao wanawaunga mkono sana? Kushindwa kwa Seleli kuna connection yoyote na hili?
Tukiweka kwenye picha kubwa ya 31 Oct 2010, what conclusion can we draw from this?
Kuna uwezekano kuwa shutuma wanazopewa si kweli ndio maana wananchi wao wanawaunga mkono sana? Kushindwa kwa Seleli kuna connection yoyote na hili?
Tukiweka kwenye picha kubwa ya 31 Oct 2010, what conclusion can we draw from this?