Truths
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,494
- 1,504
Mbali na kasoro zilizozoeleka. Kulingana na maoni ya Zito wa ACT wazalendo. Na taathmini ya chama chake.
Kinachoonekana kwenye uwanja wa siasa ni ushindani usio na uwiano sawia
CCM amekua akishindana na vyama vingine katika uwiano usio na usawa kwa kiwango cha kukatisha tamaa.
CCM imetumia miaka miwili kuhubiri siasa na kujitangaza majukwaani huku ikipiga marufuku vyama vingine kujitangaza.
Na pale wapinzani walipojaribu waliishia kuswekwa ndani na wengine hata kupotezwa.
Haya ni kinyume na matarajio ya wengi kua upinzani umekua kufuatia matokeo ya mwaka 2015.
Hoja kua Serikali imetekeleza ahadi zake. Imejaa hadaa na usanii mwingi sana.
CCM imekua ikitoa kauli za kukatisha tamaa kwenye mikutano yao kua kuchagua upinzani hakutawasaidia kwakua wao ndio wenye Dola, ma director ni watu wao nk.
CCM imekua ikitumia vyombo vya serikali kuwaaminisha watu kua Hakuna msaada watakao upata kwa kuchagua Upinzani.
Leo hii wanajisifu kwa kurudisha maeneo ambayo Wapinzani walikua wameyateka.
Pamoja na mbinu hii ya kuzuia wapinzani kujitangaza. Wameahidi ushindi wanaouita wa Tsunami katika uchaguzi wa 2020
Wapinzani walishadhohofishwa kuanzia kwenye Media zote kama TV, Radio zote nchini na vitisho. Ambapo hawakutakiwa kusikika.
Utawala huu umeonesha wazi kua wapinzani ndio maadui wasiopaswa kuwepo.
Wanasiasa wa CCM watabaki kua watu wanafiki na ambao Ni Mungu tu anajua atawafanya nini..
Kinachoonekana kwenye uwanja wa siasa ni ushindani usio na uwiano sawia
CCM amekua akishindana na vyama vingine katika uwiano usio na usawa kwa kiwango cha kukatisha tamaa.
CCM imetumia miaka miwili kuhubiri siasa na kujitangaza majukwaani huku ikipiga marufuku vyama vingine kujitangaza.
Na pale wapinzani walipojaribu waliishia kuswekwa ndani na wengine hata kupotezwa.
Haya ni kinyume na matarajio ya wengi kua upinzani umekua kufuatia matokeo ya mwaka 2015.
Hoja kua Serikali imetekeleza ahadi zake. Imejaa hadaa na usanii mwingi sana.
CCM imekua ikitoa kauli za kukatisha tamaa kwenye mikutano yao kua kuchagua upinzani hakutawasaidia kwakua wao ndio wenye Dola, ma director ni watu wao nk.
CCM imekua ikitumia vyombo vya serikali kuwaaminisha watu kua Hakuna msaada watakao upata kwa kuchagua Upinzani.
Leo hii wanajisifu kwa kurudisha maeneo ambayo Wapinzani walikua wameyateka.
Pamoja na mbinu hii ya kuzuia wapinzani kujitangaza. Wameahidi ushindi wanaouita wa Tsunami katika uchaguzi wa 2020
Wapinzani walishadhohofishwa kuanzia kwenye Media zote kama TV, Radio zote nchini na vitisho. Ambapo hawakutakiwa kusikika.
Utawala huu umeonesha wazi kua wapinzani ndio maadui wasiopaswa kuwepo.
Wanasiasa wa CCM watabaki kua watu wanafiki na ambao Ni Mungu tu anajua atawafanya nini..