Ushawahi kuwa na msichana mwenye sehemu za siri fupi?

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,920
14,819
Tukiwa njiani tunatoka kazini na masela wangu, wakaanza kumtania mmoja WA masela wanamwuliza mbona umepoa Sana? Katika kumdadisi dadisi akafunguka kuwa alimpata demu mkali kwenye msiba, lakini hakumfurahia. Baada ya kumhoji kwanini, Msela akafunguka

Msela: Yani nyie acheni Tu, kuna demu nimempata kwenye msiba, baada ya msiba nikachukua namba yake tukaanza kuwasiliana, mara kuonana mara kumkaribisha kwangu na movement za hapa na pale💃

Sasa jana ndio tumetoka ku-du bwana, eh katika kum-du nagundua kwamba demu ana sehemu za Siri fupi na Mimi Nina machine ndefu inch 9, yeye demu ana inch 4 urefu WA uke. Nilijitahidi kila njia anasema anaumia, nikaamua kumwacha na hapa ameniachia maupwiru Tu nimechoka😂😂😂

Eti mdau unaesoma huu Uzi, ushawahi kuwa na demu mwenye sehemu za Siri fupi?! Maana msela anasema kuwa demu hakuwa Bikra
 
Yes niliwahi kutana na demu wa namna hyo yaani ukiingiza uume haufiki mwisho nma analia kwa maumivu sio kile kilio cha utamu! Huwa wanaboa sana ukiwa na ugwadu inatakiwa wao wawe sehemu ya kupoozea tu shughuli inafanyika kwingine
 
Yes niliwahi kutana na demu wa namna hyo yaani ukiingiza uume haufiki mwisho nma analia kwa maumivu sio kile kilio cha utamu! Huwa wanaboa sana ukiwa na ugwadu inatakiwa wao wawe sehemu ya kupoozea tu shughuli inafanyika kwingine
Kwahiyo uliachiwa ugwadu ukafanyaje??
 
Hapo ndipo unafeli Money Penny usiseme pole kwa msiba sema hongera kwa mapokezi mema yasiyokuwa na bughuza za askari,
N:B Waache wafu wazike wafu wao
Na wazima wapokee wazima wao...
🚶🚶🚶🚶🚶
Turudi kwenye mada basi, yashakukuta??
 
Back
Top Bottom