Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Juzi Nipo k.koo, nimebeba loba langu la mzigo wa kwenye kaofisi kangu, nikiwa napeleka sehemu flani hivi kwa ajili ya kufungasha nirudi, nikiwa napita maeneo ya Uhuru road kama unatokea china plaza, maeneo yale wanajaza ma fridge nje.
Ghafla Bin Vuu mbele kulee naona Pisi Flani nilikua nayo Chuo, mpaka mwaka na nusu baada ya kumaliza mawasiliano yaliendelea, imewaka balaaaa, Hakukua na njia nyingne zaidi ya Kuula wa Mbuzi...
Sikutikisikaa, Nikahisi hatanifahamu Ukizingatia watembeaji ni wengi, Lakini nikiamini nimebadilika, Sio ile smartness aliyokua akiniona nayo Chuo, Udevu umeota Haswa, pia nimeinama kdg sababu ya mzigo begani, Lakini waaapi, Kumcheki Ashaanza kama kunipa attention, mara anapunguza mwendo, Na ishara zote za kutaka kuni alert kwa kutambuana,
Sikuzubaa wala kuleta utofati hata kdg, Nikaunga, ile namkaribia nasikia "Heyyy" namkuta nasikia "Heloo", kuna jamaa akanishtua "Oya Pisi inakuita hio Mwana", nikamwambia sio mimi, Mwingne Akasema "Oya kageuka, daahhh.... we jamaa.....!!" ??
Kiufupi nilikua nimechafuka sana, Jasho kuanzia Asubuhi ni (kutafta mzigo, kununua, kubeba x 9)
Pili ule muda nimeshachoka mno, kusimama dk mbili na ule mzigo ni keroooo..
Tatu Nilitanguliza Teja na Guta wako resi Mnajua wale ukiacha Gap la mita 4 tuu ni manyoya..
Nne, sehemu niliyokua nafungashia walisha ni alert kua wanafunga hivyo ni wahi,
Kwahio ninge simama, achilia mbali tuu na nilivyokua, ila ningekua na haraka mno kitu ambacho nikahisi angeona ni kutojiamini, nimtoke kumbe nina mengine....
Baada ya kama lijisaa na nusu, napakia mzigo naona msg namba mpya "Heloo ......"
Nikajua ni mteja flani hivi, kucheki kwenye history naona ni namba ishawahi nicheki mda kdg mara 2 ila sikuwahi kuijibu, Hivyo nikajua sio huyo mteja..
Nikamjibu......, tukachati kdg hata sikuuliza nani...., aka mute, jioni akanitext tena mimi ........
Nikajisemea Eheeeeeeeeeeee...... Jini limekula mganga...
Nikajishangaza pale kinafiki, Sijamaliza kutuma ya Pili, akaenda hewani...
Upo wapi....?
Kwa ufupi nilimchomolea kama sio mimi...
Basi, nikamwambia Nikija Town weekend kama utakua huru nitakucheki..., Akasema "Anytime"
Maisha yanabadilika Sanaa, mda mwingine Life linakufanya ujiweke pembeni mwenyewe, hata kabla hujawekwa...., Ujitafute, halafu Urudi kwenye Square.
Ghafla Bin Vuu mbele kulee naona Pisi Flani nilikua nayo Chuo, mpaka mwaka na nusu baada ya kumaliza mawasiliano yaliendelea, imewaka balaaaa, Hakukua na njia nyingne zaidi ya Kuula wa Mbuzi...
Sikutikisikaa, Nikahisi hatanifahamu Ukizingatia watembeaji ni wengi, Lakini nikiamini nimebadilika, Sio ile smartness aliyokua akiniona nayo Chuo, Udevu umeota Haswa, pia nimeinama kdg sababu ya mzigo begani, Lakini waaapi, Kumcheki Ashaanza kama kunipa attention, mara anapunguza mwendo, Na ishara zote za kutaka kuni alert kwa kutambuana,
Sikuzubaa wala kuleta utofati hata kdg, Nikaunga, ile namkaribia nasikia "Heyyy" namkuta nasikia "Heloo", kuna jamaa akanishtua "Oya Pisi inakuita hio Mwana", nikamwambia sio mimi, Mwingne Akasema "Oya kageuka, daahhh.... we jamaa.....!!" ??
Kiufupi nilikua nimechafuka sana, Jasho kuanzia Asubuhi ni (kutafta mzigo, kununua, kubeba x 9)
Pili ule muda nimeshachoka mno, kusimama dk mbili na ule mzigo ni keroooo..
Tatu Nilitanguliza Teja na Guta wako resi Mnajua wale ukiacha Gap la mita 4 tuu ni manyoya..
Nne, sehemu niliyokua nafungashia walisha ni alert kua wanafunga hivyo ni wahi,
Kwahio ninge simama, achilia mbali tuu na nilivyokua, ila ningekua na haraka mno kitu ambacho nikahisi angeona ni kutojiamini, nimtoke kumbe nina mengine....
Baada ya kama lijisaa na nusu, napakia mzigo naona msg namba mpya "Heloo ......"
Nikajua ni mteja flani hivi, kucheki kwenye history naona ni namba ishawahi nicheki mda kdg mara 2 ila sikuwahi kuijibu, Hivyo nikajua sio huyo mteja..
Nikamjibu......, tukachati kdg hata sikuuliza nani...., aka mute, jioni akanitext tena mimi ........
Nikajisemea Eheeeeeeeeeeee...... Jini limekula mganga...
Nikajishangaza pale kinafiki, Sijamaliza kutuma ya Pili, akaenda hewani...
Upo wapi....?
Kwa ufupi nilimchomolea kama sio mimi...
Basi, nikamwambia Nikija Town weekend kama utakua huru nitakucheki..., Akasema "Anytime"
Maisha yanabadilika Sanaa, mda mwingine Life linakufanya ujiweke pembeni mwenyewe, hata kabla hujawekwa...., Ujitafute, halafu Urudi kwenye Square.