King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 63,269
- 96,208
si rizki yule
Kadinda=hadindi
Kwani uongo? Fid kasema kilichopo. Jamaa mshumaa
kuna mstari kwenye wimbo wa fidq na Juma Nature unaitwa Siri ya mchezo anasema "Usishangae kumuona Martin Kadinda" hilo neno lenye red halileti maana nzuri kusikika kwa hewa ingawa ni Surname ya Martin kwa kitaa ambao wengi hawamjui Martin inawajengea picha mbaya basata tunaomba muwaandikie barua vituo vya redio wa-omit ilo neno liwe "Usishangae ukimuona Martin" bhaaassiii Ni Hayo Tu.
Malizia sentence hiyo..."ulishawahi kumuona Martin kadinda kwenye gari za almasi" ahahhaha kumbe gari za wema zote ni za diamond? Ahahha
kuna mstari kwenye wimbo wa fidq na Juma Nature unaitwa Siri ya mchezo anasema "Usishangae kumuona Martin Kadinda" hilo neno lenye red halileti maana nzuri kusikika kwa hewa ingawa ni Surname ya Martin kwa kitaa ambao wengi hawamjui Martin inawajengea picha mbaya basata tunaomba muwaandikie barua vituo vya redio wa-omit ilo neno liwe "Usishangae ukimuona Martin" bhaaassiii Ni Hayo Tu.
kuna mstari kwenye wimbo wa fidq na Juma Nature unaitwa Siri ya mchezo anasema "Usishangae kumuona Martin Kadinda" hilo neno lenye red halileti maana nzuri kusikika kwa hewa ingawa ni Surname ya Martin kwa kitaa ambao wengi hawamjui Martin inawajengea picha mbaya basata tunaomba muwaandikie barua vituo vya redio wa-omit ilo neno liwe "Usishangae ukimuona Martin" bhaaassiii Ni Hayo Tu.
Fid Q ni mkali sana wa kuandika kwa kweli, huwa napenda sana maandiko yake kwa kuwa yananichangamsha kichwa kwa kunipa changamoto ya kuutafakari kila mstari anaorap una maana gani.
kifupi mshkaji ni kama anamiliki darasa au shule kichwani mwake, Fid q ni mkali sana aisee,
Big up mkali Fid Q. "Hatujuani kwa sababu tunatengana, tunatengana kwa sababu tunaogopana, mlango hauwi mlango mpaka ufungwe au uachwe wazi"
Inataka tafakuri sana kuielewa hii mistari!
Malizia sentence hiyo..."ulishawahi kumuona Martin kadinda kwenye gari za almasi" ahahhaha kumbe gari za wema zote ni za diamond? Ahahha
Mbona nilisikia BBC wakisema "walimu Kenya waidindia serikali"!
si rizki yule
Mbona nilisikia BBC wakisema "walimu Kenya waidindia serikali"!