Ushawahi date na mpemba?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Hell

Hali ilikuwaje ulipo date na mpemba mimi kwangu naona ni ngumu hawa wadada wa kipemba et anagoma kunipa mpaka nimuoe na tuna mwezi tangu tufahamiane mimi uamuz wangu ni akiniomba pesa na mpanga mpaka anaelewa ila kama yeye anavyo nizungusha kunipa na kudai ni bikra

Wewe kwako ipoje nipeni uzoefu naona nataka nimkatae mapema
 
Alinipenda sana nikamuuliza kwenu watu wa dini sana, mimi siamini Mungu, tukienda wakinipa kitabu (Quran) nisome itakuwaje?

Akasema nitawapanga vizuri tu, nitawaambia huyu Komredi wataelewa tu.
 
Pambana umuoe huyo mpemba muwe mnashindana mapishi.....

Siku nyingine mnaamua hamuendi kazini mkaaa ndani mnapikaaa kisha mnanialika mi rafiki yenu nije kula

Penzi lenu litadumu sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…