Habarini za saiz wakuu! Hope mko vizuri!!!! .
Naomba kushauliwa Tafadhali, ni Kama wiki Moja imepita toka nifanye mapenzi na mke wa mtu, ktka kufanya nae mapenzi hatukutumia mpiraa 😱.
Leo mdada kanipigia simu ananitaarifu kuwa anamimba kwani anajisikia dalili zote Kuwa nayo😳.
Nikamuuliza ko tunafanyaje?????
Akaniambia ananisikiliza mm nifanye maamz 😱😱 .
Nikajaribu kumwambia kwakuwa kaolewa na mmeo una mda hamjagegedana haina budi kuitoa, mdada akagoma akasema hawezi kutoa mimba.
Nikamuulizaa ko ww unaona tufanyejee ili isiwe shida??? Anajibu yupo tial kutoka kwa mmewe endapo Atafukuzwa. Nikamuuliza ko utaenda wap na unajua wazi kuwa jamaaa tunafahamiana na ww ndiye uliyegoma kutumia mpira?
Alikata simu mpk sasa sijuiii nifanyeee nini wadau 😳😳.naombeni ushauri juu ya hiliii wapendawa nimekamatika hatarii.
Naomba kushauliwa Tafadhali, ni Kama wiki Moja imepita toka nifanye mapenzi na mke wa mtu, ktka kufanya nae mapenzi hatukutumia mpiraa 😱.
Leo mdada kanipigia simu ananitaarifu kuwa anamimba kwani anajisikia dalili zote Kuwa nayo😳.
Nikamuuliza ko tunafanyaje?????
Akaniambia ananisikiliza mm nifanye maamz 😱😱 .
Nikajaribu kumwambia kwakuwa kaolewa na mmeo una mda hamjagegedana haina budi kuitoa, mdada akagoma akasema hawezi kutoa mimba.
Nikamuulizaa ko ww unaona tufanyejee ili isiwe shida??? Anajibu yupo tial kutoka kwa mmewe endapo Atafukuzwa. Nikamuuliza ko utaenda wap na unajua wazi kuwa jamaaa tunafahamiana na ww ndiye uliyegoma kutumia mpira?
Alikata simu mpk sasa sijuiii nifanyeee nini wadau 😳😳.naombeni ushauri juu ya hiliii wapendawa nimekamatika hatarii.
