ushauri

ushauri

kistobe

Member
Joined
Sep 7, 2013
Posts
20
Reaction score
3
habari zenu,nilikuw na boyfriend ambaye nilimpend sana lakin sikujua kam yey ananipenda kwasababu alikuwa ananikataa san mpak mwishowe nikachok nikaamua kuw na mwanaum mwingine ambay tumedum mwak mmoja,yey anaishi nje na niliamin ananipenda na kwasasa na mimba yake yenye miezi mitatu,hivi karibuni nimegundua ana mke na wanawatoto wa tano na nilipomuuliz aliniambia ni kwel na hatawez kunioa ila atanilea mim na mtoto.,.mpenzi wa zaman karud kwa kasi anaomb msamaha turudiane,nimemweleza ukwel na akanion mim mbay san na ananishaur nimwache baba mtoto niwe naye yey atamlea mtoto na tutaoana,nifanyaj?
 
fikiria mara mbili mbili kabla ya kuamuliwa kuolewa na boyfriend wako wa zamani wakati mimba ni ya mwanaume mwingine
 
Achana nao wote hamna kitu hapo watakualibu tu hakuna mwanaume anayependa kulea mtoto si wake hata sku moja,kwanza we ni mjinga umeshabugi maisha hapo cha msingi ishi wewe kama wewe baada ya miaka 2 ndo ufikiri juu ya uhusiano usipo kuwa makini utachezewa na kila mtu hapo
 
Zingatia saaana kwa umakini ushauri apo juu wa bwana tarimo
Pleeaseee!! Its like karma
 
Mmh! Hapo ndo mabinti mnapochemka!! Na pengne ulikuwa wajua kabisa huyo muzee ana familia yake,ila kwa tamaa zako za mupesa ndo zinakutesa sasa! Wewe subiri ujifungue ulee mtoto wako kwanza!! But kuwa makini na huyo x wako kama kajisacrifice mwenyew nawewe still in love with him mmmh then go ahead!!
 
haya mambo so ya kukurupuka! hebu tazama mbali kama unaona njia au la!
hujatuambia pindi alipokuambia atakulea ww na mtoto ulimjibu nini...!!?
hapo ndo tutajua tuachame na lipi usije sababisha mengine tena!!!
 
Now this is interesting...women!:A S-confused1::A S 39::frusty:
 
Offside money was @work kaa single kwa muda ujipange upya vinginevyo yatakukuta makubwa zaidi ya hayo.
 
nikaamua kuw na mwanaum mwingine ambay tumedum mwak mmoja,yey anaishi nje na niliamin ananipenda na kwasasa na mimba yake yenye miezi mitatu

Hivi binti, wakati unapata hiyo mimba na mwanaume ambaye hata hamjaoana kuna mtu yoyote hapa JF aliyekushauri umvulie chupi huyo bwana?

Waungwana siku zote husema "Mchuma janga hula na wa kwao", sidhani kama hiyo mimba uliipata tu kwa bahati mbaya...
 
Just give yourself a break, achana nao wote, focus jinsi ya kumlea mtoto wako. Akili ikishatulia utajua la kufanya
 
hahaha Mentor usiwahukumu wote. There are some cool, lovely and sweet woman. Huyu yeye mwanzo alikataliwa akatafta pa kupumzka akadondokea pua, sahv anamtaka aliemkataa mwanzo, sjui ni kipi kipya amekuwa nacho. Labda kawa wa dhahabu!!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kistobe, ila sasa maji yameshamwagika hayazoleki!!! Huyo uliye na mimba yake ndiye mbaya kabisa maana hakuwa wazi katika mahusiano!!! Huyo wa pili huna hakika ile sababu aliyokuwa anaitumia kukukataa kama ameiweka pembeni!! Si ajabu huko aliko ametemwa sasa anatafuta pa kupashia joto na akishampata mwingine anakubaga!!! Wanaume wana staili nyingi sana za udanganyifu kwa kuwe wengi walishajua wanawake wanadanganyika kwa maneno!!!! Pendeni kwa akili na si moyo!!
 
watu8;7523414 Waungwana siku zote husema "Mchuma janga hula na wa kwao" said:
its very true mimba kabla ya ndoa halali ni mbaya sana japo kwa sasa yanatokea katika familia zetu ila its best we take care
men are not people to trust 100%take time mume wa mtu ni hatari
 
pole kwa yaliyokukuta,swali wakati unapata huo ujauzito mlikuwa na makubaliano ya kuoana na we mwenyewe ulikuwa tayar kwa hilo?
 
hahaha Mentor usiwahukumu wote. There are some cool, lovely and sweet woman. Huyu yeye mwanzo alikataliwa akatafta pa kupumzka akadondokea pua, sahv anamtaka aliemkataa mwanzo, sjui ni kipi kipya amekuwa nacho. Labda kawa wa dhahabu!!

Hapo ndo anaponishangaza. Kuwa mwanzoni hakumuona wa maana kwa kuwa hakuwa anamhonga so kwake akatafsiri, 'hakuonesha kunipenda' wanawake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! utawaweza basi...
 
Hivi binti, wakati unapata hiyo mimba na mwanaume ambaye hata hamjaoana kuna mtu yoyote hapa JF aliyekushauri umvulie chupi huyo bwana?

Waungwana siku zote husema "Mchuma janga hula na wa kwao", sidhani kama hiyo mimba uliipata tu kwa bahati mbaya...

Daddy... hebu punguza ukali wa maneno please!!!!
 
Daddy... hebu punguza ukali wa maneno please!!!!

Sorry ila wakati mwingine wadada huwa mnajitoa ufahamu...halafu mnanikeraaaa...kuwa mwanamke sio kuonewa onewa tu na wanaume.

Kwa hiyo mwanaume akitoa tu ahadi ya ndoa ndio umchanulie miguu aweke mimba huko...

Hebu kemea hili douta wala usimung'unye maneno, wanaume wakware wataendelea kuwaliza hadi lini???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom