habari zenu,nilikuw na boyfriend ambaye nilimpend sana lakin sikujua kam yey ananipenda kwasababu alikuwa ananikataa san mpak mwishowe nikachok nikaamua kuw na mwanaum mwingine ambay tumedum mwak mmoja,yey anaishi nje na niliamin ananipenda na kwasasa na mimba yake yenye miezi mitatu,hivi karibuni nimegundua ana mke na wanawatoto wa tano na nilipomuuliz aliniambia ni kwel na hatawez kunioa ila atanilea mim na mtoto.,.mpenzi wa zaman karud kwa kasi anaomb msamaha turudiane,nimemweleza ukwel na akanion mim mbay san na ananishaur nimwache baba mtoto niwe naye yey atamlea mtoto na tutaoana,nifanyaj?