ushauri

ushauri

habari zenu,nilikuw na boyfriend ambaye nilimpend sana lakin sikujua kam yey ananipenda kwasababu alikuwa ananikataa san mpak mwishowe nikachok nikaamua kuw na mwanaum mwingine ambay tumedum mwak mmoja,yey anaishi nje na niliamin ananipenda na kwasasa na mimba yake yenye miezi mitatu,hivi karibuni nimegundua ana mke na wanawatoto wa tano na nilipomuuliz aliniambia ni kwel na hatawez kunioa ila atanilea mim na mtoto.,.mpenzi wa zaman karud kwa kasi anaomb msamaha turudiane,nimemweleza ukwel na akanion mim mbay san na ananishaur nimwache baba mtoto niwe naye yey atamlea mtoto na tutaoana,nifanyaj?

BABA MTOTO
Huyu haitakiwi umchukulie serious sana kwa kuwa sio mkweli na huenda amekubali kumlea mtoto kutokana na hofu ya mkewe kujua.Hapa kuna haja ya kujitazama wewe mwenyewe kama una haja ya kuwa nae serious sana
Kuna wakati sifa ya mtu inaonekana mwanzo tu wa mahusiano yenu kama utakuwa makini na kuziacha hisia na kutumia akili,huyo inaonekana alitaka tu akubanjue na alijua akikuambia ana mke utamkimbia

MPENZI WA ZAMANI
Huyu unatakiwa ujiulize ni kwanini alikuwa hakutaki mwanzo na nikwanini amekuja sasa kwa nguvu kubwa kiasi hicho,huenda huyu ametendwa huko na kinachomsukuma kuja kwako ni machungu ya kutendwa
Kama ni machungu ya kutendwa kaa nae mbalo kwani hizo hisia ni za muda tu,ikifikai zikaisha atakumwaga na kama mtakuwa mmeoana ndoa itakuwa ngumu sana kwako,kigezo cha ndoa sio sababu ya kukubali tu bila kufikiri

Pia hapo kuna kitendo cha kustua sana,ni kwanini anataka kulea mwana?je huyo jamaa anajua gharama za kulea?
Anajua ni nini maana ya kulea?
Je baba wa mtoto atakubali mtoto wake alelewe na mtu mwingine?Jiulize hili kwani kaka baba mzazi wa mwana atakataa atakuwa na haki hiyo kwakuwa ni mtoto wake
Huyu mpenzi wako wa zamani ni kitu kimemfanya awe mwema sana kwako?

Tumia akili badala ya hisia!
 
Sorry ila wakati mwingine wadada huwa mnajitoa ufahamu...halafu mnanikeraaaa...kuwa mwanamke sio kuonewa onewa tu na wanaume.

Kwa hiyo mwanaume akitoa tu ahadi ya ndoa ndio umchanulie miguu aweke mimba huko...

Hebu kemea hili douta wala usimung'unye maneno, wanaume wakware wataendelea kuwaliza hadi lini???

Wakati mwingine huwa nafikiri wanakuwa wanataka wenyewe!
 
habari zenu,nilikuw na boyfriend ambaye nilimpend sana lakin sikujua kam yey ananipenda kwasababu alikuwa ananikataa san mpak mwishowe nikachok nikaamua kuw na mwanaum mwingine ambay tumedum mwak mmoja,yey anaishi nje na niliamin ananipenda na kwasasa na mimba yake yenye miezi mitatu,hivi karibuni nimegundua ana mke na wanawatoto wa tano na nilipomuuliz aliniambia ni kwel na hatawez kunioa ila atanilea mim na mtoto.,.mpenzi wa zaman karud kwa kasi anaomb msamaha turudiane,nimemweleza ukwel na akanion mim mbay san na ananishaur nimwache baba mtoto niwe naye yey atamlea mtoto na tutaoana,nifanyaj?

Hiyo ni zawadi ya wadada wanaopenda gest na gheto! Ss umebaki na maumivu! Kwa kifupi hamshauriki! Ukijifungua mtoto akiwa mkub wa
 
Pole mie naona hapo hakuna unafuu bali utazidi kujiumiza. Kaa tafakari chukua hatua for your own future.
 
Hivi binti, wakati unapata hiyo mimba na mwanaume ambaye hata hamjaoana kuna mtu yoyote hapa JF aliyekushauri umvulie chupi huyo bwana?

Waungwana siku zote husema "Mchuma janga hula na wa kwao", sidhani kama hiyo mimba uliipata tu kwa bahati mbaya...

western union zinawaponza?Pengine hata mimba alitegesha ili ziongezeke?
 
Hapo ndo anaponishangaza. Kuwa mwanzoni hakumuona wa maana kwa kuwa hakuwa anamhonga so kwake akatafsiri, 'hakuonesha kunipenda' wanawake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! utawaweza basi...

wanawake inabidi wajitazame upya kuhusu kuwaza na kutenda kwao
 
habari zenu,nilikuw na boyfriend ambaye nilimpend sana lakin sikujua kam yey ananipenda kwasababu alikuwa ananikataa san mpak mwishowe nikachok nikaamua kuw na mwanaum mwingine ambay tumedum mwak mmoja,yey anaishi nje na niliamin ananipenda na kwasasa na mimba yake yenye miezi mitatu,hivi karibuni nimegundua ana mke na wanawatoto wa tano na nilipomuuliz aliniambia ni kwel na hatawez kunioa ila atanilea mim na mtoto.,.mpenzi wa zaman karud kwa kasi anaomb msamaha turudiane,nimemweleza ukwel na akanion mim mbay san na ananishaur nimwache baba mtoto niwe naye yey atamlea mtoto na tutaoana,nifanyaj?

kwanza kubali ulishabugi....pili funga mapaja yako hayo na lea huyo mtoto. wote wataishia kukugegeda tuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom