Ushauri : Yanga izuiwe kusajili , haina hela za kulipa mishahara

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,650
218,108
_white_check_mark_ Deal Done . Tariq Seif Kiakala ( 640 X 640 ).jpg


Kwa huruma kubwa sana naiomba TFF kuizuia timu ya Yanga kusajili wachezaji wapya ili kuipunguzia mzigo wa madeni , iendelee na wachezaji ilionao ili iweze kupunguza madeni.

Nawaasa wachezaji wa ndani na nje ya nchi waepuke kuhadaika na Yanga , hii timu haina hela wala haina mipango yoyote ya kujikwamua
 
hii timu inatengeneza madeni ya kujitakia yaani badala ya kulipa madeni wanaendelea kusajili kwa mkopo ngoja Zahera awafikishe fifa halafu fifa wapitie rekodi zao kama hawajashushwa daraja
 
Wee mbona ni Mjinga kupitiliza, INA maana ukiwa huna hela Leo ndiyo unaacha kufanya jitihada za kupata fedha kesho? Hebu punguza ujinga wako au jaribu kuuficha maana mwishowe hutakuwa mpumbavu.
Ukisoma vizuri uzi wangu kuna mahali nimeandika hivi , nanukuu " WALA HAINA MIPANGO YOYOTE YA KUJIKWAMUA " mwisho wa kunukuu
 
Ukisoma vizuri uzi wangu kuna mahali nimeandika hivi , nanukuu " WALA HAINA MIPANGO YOYOTE YA KUJIKWAMUA " mwisho wa kunukuu
Kujikwamua ni pamoja na kusajili wachezaji wengine. Kumbuka club haiwezi kuwepo bila wachezaji. Sasa jaribu kutafakari kwa making ulichokianzisha hapa jukwaani. Alafu kumbuka katika maisha kuna kupanda na kushuka pia.
 
View attachment 1291553

Kwa huruma kubwa sana naiomba TFF kuizuia timu ya Yanga kusajili wachezaji wapya ili kuipunguzia mzigo wa madeni , iendelee na wachezaji ilionao ili iweze kupunguza madeni.

Nawaasa wachezaji wa ndani na nje ya nchi waepuke kuhadaika na Yanga , hii timu haina hela wala haina mipango yoyote ya kujikwamua
Cdm utawajua tuu.
.,.... Zimebaki zakuvukia barabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom