tunaweza kuanza wa wenyekiti wa vijiji/mtaa na watendaji wanaoidhinidha uuzwaji wa maeneo amabayo hayajapimwa
,wahakikishe kila kiwanja wanachoidhinisha kina barabara ya kufika kwa gari
kunakua na mitaa inayofikika na sio kuidhinisha sehem ambazo hazifikiki