Ushauri wenu ni muhimu apa tafadhari

Ushauri wenu ni muhimu apa tafadhari

Zembeni

New Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1
Reaction score
2
Wakuu bila kupoteza muda naomba nijikite kwenye mada husika.

Mimi ni mfupi wa futi 5, na nimekua nikipenda dating na girls warefu.Mpaka sasa nimeshakua kwenye love relationship na wanawake warefu 7.

TATIZO LINALONISUMBUA

Niwe mkweli wakuu,mimi ni mfupi kote kote kwanzia kimo cha mwili mpaka uume.Wanawake wote ambao huwa na kuwa nao huwa hawaridhishwi na urefu wa uume wangu.
Hichi kitu huwa kinanifanya nipambane kuwa na girls warefu hili kujenga confidence,napenda wanawake warefu hili wanizalie watoto warefu pia.Sitaki watoto wangu waje wanyanyasike kama baba yao navyo pata tabu kwenye relation.
Niwe mkweli,silaha kubwa ninayotumia kuwapata hawa wanawake warefu ni pesa.Nina uhakika 100% wanawake wote hao walinipendea pesa sababu mimi ni mfupi sana na napenda wanawake warefu sana na weupe.

Nilikua natafuta future wife,lakini tatizo girls wengi walikua wanapenda secret love,walikua wanaona noma kinitambulisha kwa watu,yani hata kwenye hafla mbali mbali hawataki tuongozane sababu ya ufupi tukitembea hatuendani.

Kuna kipindi nilikua napumzika mapenzi nakomaa na kumake money,huku nikiamini pesa itakuja kunipa mke wa ndoto yangu.

MPENZI WA SASA

Mwaka jana nilimpata mpenzi mpya ambae alikua na sifa zote ninazozitaka mrefu sana na mweupe.Niwe mkweli huyu girl nilitumia nguvu kubwa ya pesa kumpata.Huyu amekua tofauti na wale wa mwanzo sababu anajiamini na mimi,hamuogopi mtu,sehemu yeyote naenda nae na amenitambulisha kwa watu wake wa karibu karibia wote.

Ni msomi,ana malengo na anajielewa sana.Mara ya kwanza nilikua sikubaliki kwao lakini nilitumia ushawishi mkubwa wa kifedha mpaka sasa ndugu zake wote wananipenda sana.Kitu kikubwa nilichomuwin ni kumfanya aamini bila Mimi hawezi kuishi happy life.Tumepanga kufunga ndoa mwezi ujao.

TATIZO

Toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi bila kinga,hii ilisababishwa na kumuuguza baba yangu mzazi ambae alikua na HIV.Nilipata tabu sana,baba alinifia mikononi mwangu kwa mateso makubwa sana na nilikua mdogo sana.Toka kipindi hicho niliapa sijikufa kwa ukimwi,yani nauogopa ukimwi kuliko kufilisika.

Hata huyu mpenzi wangu amelazimisha ndoa haraka sababu anasema amezichoka condom zangu.Nilimuahidi peku peku mpaka ndoa.

KIMBEMBE

Simu yake huwa anaweka password muda wote,na mimi sijawahi kuishika.wiki iliyopitia alilewa na kijisahau akafungua pin mbele yangu,tulivyolala niliamka na kuanza kuichungiza.

Kwa kweli niliyoyakuta yalinichanganya sana.Nimekuta txt na rafiki zake akiwambia kuwa ananipenda sana na kuniheshimu hila hawezi kulidhika na ukubwa wa uume wangu lazima atakua anacheat mara moja moja kutafuta uume mkubwa wa kumridhisha na akawataja ma x wake kama watatu hivi ambao atakua anajiburudisha.

MSIMAMO WANGU

Mimi nimeshajikubali kwamba hakuna girl wa kuridhika na udogo wa uume wangu,kwahiyo swala la kusalitiwa sio ishu sana kwangu.Na hata nikimfumania live siwezi kumuacha,mapenzi yamesha nitesa sana.

Tatizo nauogopa ukimwi wakuu,nafikiria ni njia gani itanifanya niishi na huyu mwanamke bila kuniletea magonjwa.

Je tuendelee kutumia condom mpaka ndani ya ndoa.

Au kuna vipimo vipo active sana ambavyo tunaweza kuwa tunijipima kila wiki.

Msaada wenu wakuu naogopa sana UKIMWI.
 
Wakuu bila kupoteza muda naomba nijikite kwenye mada husika.

Mimi ni mfupi wa futi 5, na nimekua nikipenda dating na girls warefu.Mpaka sasa nimeshakua kwenye love relationship na wanawake warefu 7.

TATIZO LINALONISUMBUA

Niwe mkweli wakuu,mimi ni mfupi kote kote kwanzia kimo cha mwili mpaka uume.Wanawake wote ambao huwa na kuwa nao huwa hawaridhishwi na urefu wa uume wangu.
Hichi kitu huwa kinanifanya nipambane kuwa na girls warefu hili kujenga confidence,napenda wanawake warefu hili wanizalie watoto warefu pia.Sitaki watoto wangu waje wanyanyasike kama baba yao navyo pata tabu kwenye relation.
Niwe mkweli,silaha kubwa ninayotumia kuwapata hawa wanawake warefu ni pesa.Nina uhakika 100% wanawake wote hao walinipendea pesa sababu mimi ni mfupi sana na napenda wanawake warefu sana na weupe.

Nilikua natafuta future wife,lakini tatizo girls wengi walikua wanapenda secret love,walikua wanaona noma kinitambulisha kwa watu,yani hata kwenye hafla mbali mbali hawataki tuongozane sababu ya ufupi tukitembea hatuendani.

Kuna kipindi nilikua napumzika mapenzi nakomaa na kumake money,huku nikiamini pesa itakuja kunipa mke wa ndoto yangu.

MPENZI WA SASA

Mwaka jana nilimpata mpenzi mpya ambae alikua na sifa zote ninazozitaka mrefu sana na mweupe.Niwe mkweli huyu girl nilitumia nguvu kubwa ya pesa kumpata.Huyu amekua tofauti na wale wa mwanzo sababu anajiamini na mimi,hamuogopi mtu,sehemu yeyote naenda nae na amenitambulisha kwa watu wake wa karibu karibia wote.

Ni msomi,ana malengo na anajielewa sana.Mara ya kwanza nilikua sikubaliki kwao lakini nilitumia ushawishi mkubwa wa kifedha mpaka sasa ndugu zake wote wananipenda sana.Kitu kikubwa nilichomuwin ni kumfanya aamini bila Mimi hawezi kuishi happy life.Tumepanga kufunga ndoa mwezi ujao.

TATIZO

Toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi bila kinga,hii ilisababishwa na kumuuguza baba yangu mzazi ambae alikua na HIV.Nilipata tabu sana,baba alinifia mikononi mwangu kwa mateso makubwa sana na nilikua mdogo sana.Toka kipindi hicho niliapa sijikufa kwa ukimwi,yani nauogopa ukimwi kuliko kufilisika.

Hata huyu mpenzi wangu amelazimisha ndoa haraka sababu anasema amezichoka condom zangu.Nilimuahidi peku peku mpaka ndoa.

KIMBEMBE

Simu yake huwa anaweka password muda wote,na mimi sijawahi kuishika.wiki iliyopitia alilewa na kijisahau akafungua pin mbele yangu,tulivyolala niliamka na kuanza kuichungiza.

Kwa kweli niliyoyakuta yalinichanganya sana.Nimekuta txt na rafiki zake akiwambia kuwa ananipenda sana na kuniheshimu hila hawezi kulidhika na ukubwa wa uume wangu lazima atakua anacheat mara moja moja kutafuta uume mkubwa wa kumridhisha na akawataja ma x wake kama watatu hivi ambao atakua anajiburudisha.

MSIMAMO WANGU

Mimi nimeshajikubali kwamba hakuna girl wa kuridhika na udogo wa uume wangu,kwahiyo swala la kusalitiwa sio ishu sana kwangu.Na hata nikimfumania live siwezi kumuacha,mapenzi yamesha nitesa sana.

Tatizo nauogopa ukimwi wakuu,nafikiria ni njia gani itanifanya niishi na huyu mwanamke bila kuniletea magonjwa.

Je tuendelee kutumia condom mpaka ndani ya ndoa.

Au kuna vipimo vipo active sana ambavyo tunaweza kuwa tunijipima kila wiki.

Msaada wenu wakuu naogopa sana UKIMWI.
Je hauna mpango wa kuzaa??? Au mmetoa vizazi
 
Mkuu kama una katabia ka kuchungulichungulia privacy za watu, pleaaaaaase nakushauri usioe.

Tumechoka.
 
Mwambie akiwa na mechi za nje avae jezi...na kikubwa acha kukagua simu yake ukae kwa amani pole kwa hayo mengine, pia mtie mimba chap usirembe.
 
Pole..lakini nasikia kuna dawa ya mvunge inaongeza ukubwa wa uume
 
Hapa nadhani unataka kupata namna utakavyo punguza uwezekano wa kupata maambukizo right? Nitakupa mambo kadhaa kutokana na tafiti zilizopita:
1. Hakikisha umetahiriwa - tohara inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya VVU by 60% kwa mwanamume
2. Mshawishi mpime maambukizi ya magonjwa mawili: HSV2 na VVU. HSV2 is a proxy for HIV, mwanamke anaweza asiwe na VVU lakini akiwa na HSV2 inamaanisha ana tabia hatarishi za kingono. Hii itakusaidiaje wewe? Ktk upimaji wa magonjwa haya unaambatana na ushauri nasaha ambao unamjengea dhamira ya kujilinda pia
3. Kuwa mbunifu ktk mapenzi: I feel that sex is more than penetration - wanawake watakuja kukuelezea zaidi hapa au Mzee Mwanakijiji maana ndo watu wazima humu ndani.....hahhaa
 
Yani inavyoonekana unataka matatizo ya moyo wewe acha maramoja kushika simu yake acha kumchunguza chunguza
 
Daahh pole sana " watu mnamajanga makubwa sana yanayo wazunguka aisee"... duh duh !!!,

kwakweli nitamke wazi tu mfano mimi nungekuwa ndiye wewe halafu napitia hizo challenge za kuzihakiwa maumbile serious nisingeoa" kwa style hiyo Jiandae kusingiziwa mtoto na baadae mahusiano yenu yakiyumba ndani ya nyumba jiandae kukashifiwa na mkeo. kuhusu hicho kibamia '..

ushauri tu Epuka kumuweka mkeo na marafiki zako warefu kwa maana watamfyekelea mbali "...
 
Balaa hiloo kujua unamegewaa na Ukatulia kimyaa sio mchezo aiseee yatakaa moyoo sanaa! Hata Kama Una mapungufuuu...
 
Mkuu kwanza kabla hujaenda mbali huyo sio mke wa kuoa au la utaenda kuteseka sana ndani ya ndoa yako.
Kuhusu size ya uume mimi naona n mbinu tu pale paradiso.Je umeshawahi kwenda hospitali kumuona dr na kueleza kuwa uume wako ni mfupi mno.na je inch ngap unavouona.
Mara nyingine usitumie pesa kukamilisha furaha katika mahusiano.Jaribu kutafuta mtu bila papara wala kutumia cash na wala si lazima uoe mrefu ndio guarantee ya kupata mtoto mrefu.
Nakupa pole ila swala la ndoa litafakari upya lisije kuwa mwiba mbeleni hapo.
 
Hapa nadhani unataka kupata namna utakavyo punguza uwezekano wa kupata maambukizo right? Nitakupa mambo kadhaa kutokana na tafiti zilizopita:
1. Hakikisha umetahiriwa - tohara inapunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya VVU by 60% kwa mwanamume
2. Mshawishi mpime maambukizi ya magonjwa mawili: HSV2 na VVU. HSV2 is a proxy for HIV, mwanamke anaweza asiwe na VVU lakini akiwa na HSV2 inamaanisha ana tabia hatarishi za kingono. Hii itakusaidiaje wewe? Ktk upimaji wa magonjwa haya unaambatana na ushauri nasaha ambao unamjengea dhamira ya kujilinda pia
3. Kuwa mbunifu ktk mapenzi: I feel that sex is more than penetration - wanawake watakuja kukuelezea zaidi hapa au Mzee Mwanakijiji maana ndo watu wazima humu ndani.....hahhaa
mwalimu mpaka huku upo?

Vipi zile past papers ulipata?
 
Wakuu bila kupoteza muda naomba nijikite kwenye mada husika.

Mimi ni mfupi wa futi 5, na nimekua nikipenda dating na girls warefu.Mpaka sasa nimeshakua kwenye love relationship na wanawake warefu 7.

TATIZO LINALONISUMBUA

Niwe mkweli wakuu,mimi ni mfupi kote kote kwanzia kimo cha mwili mpaka uume.Wanawake wote ambao huwa na kuwa nao huwa hawaridhishwi na urefu wa uume wangu.
Hichi kitu huwa kinanifanya nipambane kuwa na girls warefu hili kujenga confidence,napenda wanawake warefu hili wanizalie watoto warefu pia.Sitaki watoto wangu waje wanyanyasike kama baba yao navyo pata tabu kwenye relation.
Niwe mkweli,silaha kubwa ninayotumia kuwapata hawa wanawake warefu ni pesa.Nina uhakika 100% wanawake wote hao walinipendea pesa sababu mimi ni mfupi sana na napenda wanawake warefu sana na weupe.

Nilikua natafuta future wife,lakini tatizo girls wengi walikua wanapenda secret love,walikua wanaona noma kinitambulisha kwa watu,yani hata kwenye hafla mbali mbali hawataki tuongozane sababu ya ufupi tukitembea hatuendani.

Kuna kipindi nilikua napumzika mapenzi nakomaa na kumake money,huku nikiamini pesa itakuja kunipa mke wa ndoto yangu.

MPENZI WA SASA

Mwaka jana nilimpata mpenzi mpya ambae alikua na sifa zote ninazozitaka mrefu sana na mweupe.Niwe mkweli huyu girl nilitumia nguvu kubwa ya pesa kumpata.Huyu amekua tofauti na wale wa mwanzo sababu anajiamini na mimi,hamuogopi mtu,sehemu yeyote naenda nae na amenitambulisha kwa watu wake wa karibu karibia wote.

Ni msomi,ana malengo na anajielewa sana.Mara ya kwanza nilikua sikubaliki kwao lakini nilitumia ushawishi mkubwa wa kifedha mpaka sasa ndugu zake wote wananipenda sana.Kitu kikubwa nilichomuwin ni kumfanya aamini bila Mimi hawezi kuishi happy life.Tumepanga kufunga ndoa mwezi ujao.

TATIZO

Toka nizaliwe sijawahi kufanya mapenzi bila kinga,hii ilisababishwa na kumuuguza baba yangu mzazi ambae alikua na HIV.Nilipata tabu sana,baba alinifia mikononi mwangu kwa mateso makubwa sana na nilikua mdogo sana.Toka kipindi hicho niliapa sijikufa kwa ukimwi,yani nauogopa ukimwi kuliko kufilisika.

Hata huyu mpenzi wangu amelazimisha ndoa haraka sababu anasema amezichoka condom zangu.Nilimuahidi peku peku mpaka ndoa.

KIMBEMBE

Simu yake huwa anaweka password muda wote,na mimi sijawahi kuishika.wiki iliyopitia alilewa na kijisahau akafungua pin mbele yangu,tulivyolala niliamka na kuanza kuichungiza.

Kwa kweli niliyoyakuta yalinichanganya sana.Nimekuta txt na rafiki zake akiwambia kuwa ananipenda sana na kuniheshimu hila hawezi kulidhika na ukubwa wa uume wangu lazima atakua anacheat mara moja moja kutafuta uume mkubwa wa kumridhisha na akawataja ma x wake kama watatu hivi ambao atakua anajiburudisha.

MSIMAMO WANGU

Mimi nimeshajikubali kwamba hakuna girl wa kuridhika na udogo wa uume wangu,kwahiyo swala la kusalitiwa sio ishu sana kwangu.Na hata nikimfumania live siwezi kumuacha,mapenzi yamesha nitesa sana.

Tatizo nauogopa ukimwi wakuu,nafikiria ni njia gani itanifanya niishi na huyu mwanamke bila kuniletea magonjwa.

Je tuendelee kutumia condom mpaka ndani ya ndoa.

Au kuna vipimo vipo active sana ambavyo tunaweza kuwa tunijipima kila wiki.

Msaada wenu wakuu naogopa sana UKIMWI.
Labda mm nikushauri kitu kimoja fanya jitiada zozote urefushe uume wako iwe kwa njia yoyote ila ambayo haitakuja kuleta madhara badaye wanawake wa kizazi iki walio ndani ya ndoa wanapenda ngono kuliko pesa mwanzoni utachukulia kawaida na kujiisi utavumilia sabbu ni mzuri ila badaye unaweza kuja kufanya jambo baya sana ambalo utakuja kujutia maishan mwako kote na Mali zako ukaziacha kijingaa tafuta suluhu ya tatizo ndyo uingie ndani ya ndoa maana ya ndoa ni pamoja na kumpa mwezio kitombo...... cha haja ili asitokea nje
 
Dah.. kuna baadhi ya mada hata km ni za kweli waweza hisi za kutunga asee mm nina matatzo ila kuna watu wana matatzo makubwa pole sana!
 
Back
Top Bottom