Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa mkuuUshaur mzuri
Kwasasaivi moyo ushaghairi mzee, mwanzoni nilikuwa na hili lengoHapa kwa simulizi hii ndo nimeamini kwamba wasichana hawajui wanachokitaka
Ila nakushauri mpe nafasi na umchunguze kwa muda mrefu mienendo yake kama inakuridhisha
zaidi na zaidi moyo wako ndo unajua
usimkatae kwa kuwa mwanzo hakukubalia ila jipime kama unampenda kweli
[HASHTAG]#HappyAnniversaryToMeInJF[/HASHTAG]
Kutafuta nini kwamganga?umeandika mambo mengi ambayo sio ya Msingi...
sasa kama umeshamwambia humuoi sisi tushauri nn sasa??
kwanza hiyo 10% yann..?? ww mwambie kabisa humuoi na hakuna uwezekano wa kumuoa.. akikuganda nenda kwa mganga
ahahaaa yaani nimeshangaaDaa... Wanaume hisia zenu huwa ni kama mabasi ya mwendokasi ... Wakaka na ninyi mkitongoza mkakubaliwa mapema mnasema malaya wa kugegeda, mdada akikuzungusha hisia zinabadilika mweee! Wadada na sisi kujifanya sitaki nataka mpaka hisia za wakaka zinabadilika
miaka mi3 bado anakusubiria wewe kwa lipi? mbona watakua wameshapita wenzio wakutosha na amesha move on with her life.....Kumuoa tena kwamimi ndo haiwezekani mzee
unatafuta point hii ni ligi.....Mbona kama vile point yako haina msaada kiushauri