Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Habari za asubuhi Mhe Tundu Lissu a.k.a mbunge mmoja sawa na wabunge 50. Baada ya salamu napenda nikupe pole kwa machovu ya kukaa muda mrefu kwenye viti vyekundu kwa ajili ya maslahi ya wananchi.
Mheshimiwa ninatatizo.................. umekua ukiomba ufafanuzi kutoka kwenye kiti cha spika wa vifungu fulani fulani na wakati mwingine ukiomba ufafanuzi kwa kuuliza maswali ya nyongeza hili jambo ni zuri sana kwani linasaidia watu wanaelimika hapo sina tatizo kabisaaaa.......... Tatizo linakuja pale unapouliza swali mfano lile la kuhusu uranium bila kuwa na elimu ya kutosha na kukifahamu kile unachokizungumza hapo ndio tatizo au pale unaposema kuwa kifungu kinasema PM ataulizwa maswali yanayohusu sera za serikali au maswala yenye maslahi ya taifa na kuongezea kuwa kuuliza swali lini wananchi watasambaziwa nakala za katiba na kutembelea jimbo la vunjo ni upotezaji wa muda! hili ni tatizo na tatizo hili la kuuliza na kuomba miongozo ambayo mwisho wa siku inakuwa inakufanya kama umepwaya kwenye uweledi wako unasababisha watu waone kuwa "una kuonekana"
Ushauri wangu ni kuwa unapouliza piga swali lenye tani 100! kama vile ulivyanza enzi zileeee!
Nakupa tano tutaonana baada ya bunge maana nina safari ya kwenda nyumbani Nduguti.
Mheshimiwa ninatatizo.................. umekua ukiomba ufafanuzi kutoka kwenye kiti cha spika wa vifungu fulani fulani na wakati mwingine ukiomba ufafanuzi kwa kuuliza maswali ya nyongeza hili jambo ni zuri sana kwani linasaidia watu wanaelimika hapo sina tatizo kabisaaaa.......... Tatizo linakuja pale unapouliza swali mfano lile la kuhusu uranium bila kuwa na elimu ya kutosha na kukifahamu kile unachokizungumza hapo ndio tatizo au pale unaposema kuwa kifungu kinasema PM ataulizwa maswali yanayohusu sera za serikali au maswala yenye maslahi ya taifa na kuongezea kuwa kuuliza swali lini wananchi watasambaziwa nakala za katiba na kutembelea jimbo la vunjo ni upotezaji wa muda! hili ni tatizo na tatizo hili la kuuliza na kuomba miongozo ambayo mwisho wa siku inakuwa inakufanya kama umepwaya kwenye uweledi wako unasababisha watu waone kuwa "una kuonekana"
Ushauri wangu ni kuwa unapouliza piga swali lenye tani 100! kama vile ulivyanza enzi zileeee!
Nakupa tano tutaonana baada ya bunge maana nina safari ya kwenda nyumbani Nduguti.