Ushauri: Wanaume wenye wake 2 na kuendelea

Ushauri: Wanaume wenye wake 2 na kuendelea

TZX2012

Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
95
Reaction score
17
Ndugu zangu naomba niwasalimu na niwaulize.

Mimi nilimpenda mdada baada ya kuwa na ndoa na nikazaa nae. Mke wangu ambae tulikuwa na watoto 2 akakasirika sana,akaokoka.
Jambo la ajabu anaona wale walokole kama ndio ndugu kuliko hata watoto wake.

Mimi sina raha nyumbani,hatuongei mema,mapenzi nk.sisi maongezi yetu ni office type.Mtoto amelala,jibu ndio,basi. Kwa ukweli kwa mke wa pili hajui suala hili ambalo limedumu zaidi ya miaka 3. Nilifanya kosa nalikubali,lakini adhabu yake imenishinda!Na nimepata kijinafasi cha kuishi nje ya nchi(naweza niende au ni siende). Je, nimtoroke huyu mama watoto au kuna njia?

Kwa wachungaji,ndugu,wajumbe kote imeshindikana.

Natanguliza shukurani.
 
Ndg zangu naomba niwasalimu na niwaulize.
Mimi nilimpenda mdada baada ya kuwa na ndoa na nikazaa nae.
Mke wangu ambae tulikuwa na watoto 2 akakasirika sana,akaokoka.
Jambo la ajabu anaona wale walokole kama ndio ndugu kuliko hata watoto wake.
Mimi sina raha nyumbani,hatuongei mema,mapenzi nk.sisi maongezi yetu ni office type.Mtoto amelala,jibu ndio,basi.
Kwa ukweli kwa mke wa pili hajui suala hili ambalo limedumu zaidi ya miaka 3.
Nilifanya kosa nalikubali,lakini adhabu yake imenishinda!Na nimepata kijinafasi cha kuishi nje ya nchi(naweza niende au nisiende)je nimtoroke huyu mama watoto au kuna njia?
Kwa wachungaji,ndugu,wajumbe kote imeshindikana.
Natanguliza shukurani.

Bado kuna nafasi ya wake wengine wawili zaidi, ukiwanao wanne itakuwa rahisi kuwahandle.
 
bonyeza hapa utapata jibu. SHERIA KWA KISWAHILI hata hivyo, ulimkosea sana mkeo, huna budi kumlamba viatu na kujibembeleza hadi moyo wake uje urudi kama awali. Mungu awasaidie.
 
punguza hasira bana , mshauri aseeh! kuishi miaka mitatu na msongo wa mawazo ni mzigo mzito.

Unajua huyu Bwana anamemchanganya mkewe hadi mwanamke kaamua kuokoka. Badala ya kuachana na nyumba ndogo na kutubu kwa mkewe bado anawaza kumtoroka jambo ambalo si la kiungwana. Pamoja na hayo yote bado hajaonja joto ya jiwe ya huyo bi mdogo, asifikiri hapo ndio amefika ndio maana nikamwambie ajiandae kuongeza wengine maana kwake yeye kutatua tatizo ni kuoa mke mwingine.
 
Ndg zangu naomba niwasalimu na niwaulize.

Mimi nilimpenda mdada baada ya kuwa na ndoa na nikazaa nae. Mke wangu ambae tulikuwa na watoto 2 akakasirika sana,akaokoka.
Jambo la ajabu anaona wale walokole kama ndio ndugu kuliko hata watoto wake.

Mimi sina raha nyumbani,hatuongei mema,mapenzi nk.sisi maongezi yetu ni office type.Mtoto amelala,jibu ndio,basi. Kwa ukweli kwa mke wa pili hajui suala hili ambalo limedumu zaidi ya miaka 3. Nilifanya kosa nalikubali,lakini adhabu yake imenishinda!Na nimepata kijinafasi cha kuishi nje ya nchi(naweza niende au nisiende)je nimtoroke huyu mama watoto au kuna njia?

Kwa wachungaji,ndugu,wajumbe kote imeshindikana.

Natanguliza shukurani.
Pole ndugu, mkeo hapo mapenzi yamepungua kabisa, na nadhani ameokoka kimakusudi kabisa ili akukomoe hvyo ukidhan ndiyo ulokole wake kumbe anakufanyia kusudi. Sikiliza

Wewe kuwa mpole zaid, badilika jifanye mwenye mawazo mnyonge na huna amani, kila uwapo nyumbani kuwa hvyo, atajiuliza maswali mengi na atajirudi mwenyewe. Wala usimkimbie.
 
aslimia 90 wanawake wanakasirishwa na mahitaji ya nyumbani kuliko kama una mwanamke mwingine au la
sasa wewe inaonekana kipato kimeyumba toka uongeze mke
ndo maana mkeo hakuelewi.
rekebisha kipato cha mkeo utaona mambo yakibadilika
 
Kuzaa nje umeona haitoshi,unaamua sasa umtoroke!!!

womens bear alot,our smile hides alot of pain/grief
 
Umemkosea sana mkeo,badirika kitabia kaka vingnevyo utapata matatizo makubwa zaidi ya uliyonayo sasa
 
Ndg zangu naomba niwasalimu na niwaulize.

Mimi nilimpenda mdada baada ya kuwa na ndoa na nikazaa nae. Mke wangu ambae tulikuwa na watoto 2 akakasirika sana,akaokoka.
Jambo la ajabu anaona wale walokole kama ndio ndugu kuliko hata watoto wake.

Mimi sina raha nyumbani,hatuongei mema,mapenzi nk.sisi maongezi yetu ni office type.Mtoto amelala,jibu ndio,basi. Kwa ukweli kwa mke wa pili hajui suala hili ambalo limedumu zaidi ya miaka 3. Nilifanya kosa nalikubali,lakini adhabu yake imenishinda!Na nimepata kijinafasi cha kuishi nje ya nchi(naweza niende au nisiende)je nimtoroke huyu mama watoto au kuna njia?

Kwa wachungaji,ndugu,wajumbe kote imeshindikana.

Natanguliza shukurani.

Umtoroke mkeo ili ukazini?
Mbona mimi sijaliona kosa la mkeo katika maelezo yako!
Ni kweli wanadamu sote tunakosea na haina budi kusameheana. Lakini jee wewe ulitaka msamaha kwa mkeo?
Hawezi kukusamehe ikiwa haujawatayari kusamehewa! Ukitaka akusamehe muishi kwa amani kwanza umuache uyo m/ke.

Bila shaka wewe ni Mkiristo, na sidhani ukiristo unaruhusu polygamy......! Ndugu umejichanganya sana, sana, sana coz hata uyo m/ke mwengine uliezaa nae hajui kama wewe ni mme wa watu, naye ukimuacha... MUNGU ATAKUCHOMAJE....!
 
Tafuta mke wa tatu (KAUNTA BAR) huwa anajitahidi sana kupunguza mawazo
 
pole yako mchawi wa mtu ni mtu mwenyewe...ulilikoroga mwenyewe
 
Kumkimbia sio solutio itakuwa unaongeza matatizo. Ongea nae.
 
Sijaelewa hapo kuwa kwa mchungaji imeshindikana. So ni ndoa ya kanisani? Ulishawahi kumwomba msamaha wa dhati huyo mkeo mkubwa kwa kosa hilo? Nini lilikuwa tamko lake maana ni nadra sana akusamehe kasha akuruhusu uendelee nae huyo mwanamke mwingine (ambaye hapa unamwita mke wa pili)
 
Asanteni.Nawashukuru kwa muda wenu kunijibu vizuri na kwa walionikebehi. Mke wangu wa ndoa HANA kosa katu katu. Na wala siendi kwa mke wa mwingine.

Kwa binadamu aliyewahi kuwa na mke au girl friend anajua ninachomaanisha,kumpenda mke wa pili haikuwa plan,ni kitu kilitokea na mimi nalikubali kosa. Msamaha niliumomba mkubwa/dhati tena sana na magoti nilipiga,lakini kama mnajua watu waliokoka,si rahisi kusamehe kihivyo.

Si kutoroka kwenda kwa mke mwingine,nina maana kubaki na afya nikatoroka kwenda nchi ya kusini angalau nibaki na afya. Kiuchumi kwa bahati hilo si tatizo,anafanya kazi nzuri sana na mojawapo ya biashara zangu nilimpa,namuachia na gari zangu 3 na yeye ana gari 2 na nyumba 2 anazo yeye.

Stroke au magonjwa yatokanayo na stress za ndoa hii nahisi sitayapata kwa sababu nitakuwa huru na yeye atakuwa huru na kama na kule afya yangu italeta shida ,nitakuwa na bima ya kutosha.Mawazo ninayoomba tu,je nimwambie ukweli kuwa naondoka sitarudi nchi hii au niondoke nipotelee milele,kama wanavyoondoka watu kwenda Sumbawanga au Lindi na hawarudi wala kusikika hapa mjini tena.:help:
 
Usimtoroke, fikiria kwanza hao watoto 2 uliyezaa nae, isitoshe huyo ni mkeo Wa ndoa na huyo mwingine hatambuliki kokote...

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Asante, watoto watakua kielimu ,ingawa kitabia panaweza kuwa na utata.Shida ndio hiyo kutambulika au la kama kunasababisha nipate stroke au ukilema wa afya ya milele, je kuna haja ya kukaa nae.Nikiondoka nawaacha wote, sikai na hata mmoja wao.

Shida kubwa amabayo naiogopa na kuomba ushauri,endapo nitafurahisha jamii kwa kutambulishana na siku nikaugua ugonjwa eg stroke au BP, mke atakuwa na chaguo la kunifanya.Ndio maana nimekubali makosa lakini kifo nakiogopa cha kujitakia.

Usimtoroke, fikiria kwanza hao watoto 2 uliyezaa nae, isitoshe huyo ni mkeo Wa ndoa na huyo mwingine hatambuliki kokote...

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom