Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
Wanawake ni watu wa ajabu sana
tunajishaua na kupaka ma makeup na kuvaa manguo ya thamani ya kupendeza na wengine kuchomekea skintight wapate ma wowowo masaloon ya bei ghali kusuka nyele za bei ghali
Eti una attract / unavutia wanaume.
My sister, usihangaike sana, wanaume hawaangalii nywele wala sura wala nguo ghali sana sana unazidi kuwakimbiza tu maana wakikupigia hesabu juu mpaka chini wanaona duh huyu sitamweza wengine mpaka wanaishia kusema huyu sio wife material.
Jitahidini, wanaume wanatafutaga kitu kimoja tu ''tobo''.
Mavazi karingishie akina dada/mama wajisikie vibaya sio wanaume.
WANAUME MPO!
tunajishaua na kupaka ma makeup na kuvaa manguo ya thamani ya kupendeza na wengine kuchomekea skintight wapate ma wowowo masaloon ya bei ghali kusuka nyele za bei ghali
Eti una attract / unavutia wanaume.
My sister, usihangaike sana, wanaume hawaangalii nywele wala sura wala nguo ghali sana sana unazidi kuwakimbiza tu maana wakikupigia hesabu juu mpaka chini wanaona duh huyu sitamweza wengine mpaka wanaishia kusema huyu sio wife material.
Jitahidini, wanaume wanatafutaga kitu kimoja tu ''tobo''.
Mavazi karingishie akina dada/mama wajisikie vibaya sio wanaume.
WANAUME MPO!