Ndivyo mnavyosema!! Mbona mbowe alitupiwa makago yake nje kwa ajili tu ya chuki? Tena hadi mkavunja na nyumba kabisa ili kumkomoa! Na maccm yalichekelea tu! Mukamharibia hadi shamba lake kwa ajili tu ya chuki! Ila sisi tukichukia mnasema hatuna uzalendo,uzalendo uanzie ndani.Shetani at work
Aendelee.mara ya ngapi? Na media zipi? Labda aende CNN na BBC, lakini kwa hapa bongo alishamaliza.Kwa akili hizi lazima MKAPA aendelee kuwaita WAPUMBAVU na MALOFA,tena mbele ya media.
Hahahahaaa! Kumuita mtu majina uyapendayo hayabadilishi ukweli uliopo. Mbona yeye ni "Lodilofa" lakini sisi wala hatusemi? Be it!Kwa akili hizi lazima MKAPA aendelee kuwaita WAPUMBAVU na MALOFA,tena mbele ya media.
Wewe ni lumumba umetumwa kuchafua hali ya hewa!!!!!!Nashauri wale walioikamata bombadia wasikubali kulipwa hela nusu,hii kwao ni bahati ya mtende,wakomae mpaka walipwe zote,mkuu ameshasema nchi yetu ni tajiri
Pia nashauri hiyo hukumu waisajili mahakama zote za mataifa makubwa duniani ambako Tanzania ina Mali ili wazikamate kirahisi,kama ni mnada basi utangazwe laivu na BBC au CNN
Pia nashauri wafuatilie kule dreamliner inakotengenezwa ili likikamilika tu,kabla haijaletwa Tanzania pia ikamatwe na ipigwe mnada
Pia wafuatilie kama tuna deposit (akiba)benki ya dunia na IMF wakazikamate,
Najua Tanesco wanadaiwa na standard chartered bank ya Hong Kong .....ni wakati wao sasa nao kujikamatia dreamliner au kukamata meli itakayokuwa imebeba mabehewa kwa ajili ya reli mpya au mataruma ya reli
Lengo ni kuhakikisha tunalipa madeni yote haraka
Huyo ni kada wa ccm,anachafua hali ya hewa tu!JIpu la bavicha hili
Halafu mkuu, kuna deni kule Canada.Billions of money to pay for the "tt"! Lilipwe!
Hahahahaaa! Mkuu wangu, upo very emphatical... "KA-TA"!"Maneno ni mawili tu! Ka-Ta" au ina ubaguzi?
Yule mama hapana. Yeye mwenyewe ndiyo anapaswa kuwekwa pawn. Awekwe kizuizini hadi 2045.
Hahahahaaa! Ila inaumiza roho sana. Naona unatembea na hoja ya kihenga tu. Eti... "ma. vi ya kale hayanuki! Hebu yamwagie maji uusikie mziki wake! Lipeni deni!Wazee wa kudandia hoja, hiyo ishachuja
Hahahahaaa! Roho inakuuma Ng'wana Maria? Wasugunsu mnaharibu nchi. You better pack your "rambos" and go to "Pagak"! Boring!
Hahahahaaa! Mkuu wangu, tena apelekwe kwenye jiko la shule ya bweni awe anaosha vyombo na kufanya usafi hadi huo mwaka ufike.jaman nioneeeni huruma !nacheka had nakohoa haahhaha!dah kweli watanzania uvumilivu na uzalendo umetoka na kutuisha
Nashauri wale walioikamata bombadia wasikubali kulipwa hela nusu,hii kwao ni bahati ya mtende,wakomae mpaka walipwe zote,mkuu ameshasema nchi yetu ni tajiri
Pia nashauri hiyo hukumu waisajili mahakama zote za mataifa makubwa duniani ambako Tanzania ina Mali ili wazikamate kirahisi,kama ni mnada basi utangazwe laivu na BBC au CNN
Pia nashauri wafuatilie kule dreamliner inakotengenezwa ili likikamilika tu,kabla haijaletwa Tanzania pia ikamatwe na ipigwe mnada
Pia wafuatilie kama tuna deposit (akiba)benki ya dunia na IMF wakazikamate,
Najua Tanesco wanadaiwa na standard chartered bank ya Hong Kong .....ni wakati wao sasa nao kujikamatia dreamliner au kukamata meli itakayokuwa imebeba mabehewa kwa ajili ya reli mpya au mataruma ya reli
Lengo ni kuhakikisha tunalipa madeni yote haraka
Mkuu wewe ni Mtanzania?Nashauri wale walioikamata bombadia wasikubali kulipwa hela nusu,hii kwao ni bahati ya mtende,wakomae mpaka walipwe zote,mkuu ameshasema nchi yetu ni tajiri
Pia nashauri hiyo hukumu waisajili mahakama zote za mataifa makubwa duniani ambako Tanzania ina Mali ili wazikamate kirahisi,kama ni mnada basi utangazwe laivu na BBC au CNN
Pia nashauri wafuatilie kule dreamliner inakotengenezwa ili likikamilika tu,kabla haijaletwa Tanzania pia ikamatwe na ipigwe mnada
Pia wafuatilie kama tuna deposit (akiba)benki ya dunia na IMF wakazikamate,
Najua Tanesco wanadaiwa na standard chartered bank ya Hong Kong .....ni wakati wao sasa nao kujikamatia dreamliner au kukamata meli itakayokuwa imebeba mabehewa kwa ajili ya reli mpya au mataruma ya reli
Lengo ni kuhakikisha tunalipa madeni yote haraka
Poa mkuu. Usisahau tu kuvaa tisheti yako yenye id yako mgongoni.