FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,067
- 40,727
Hii itasaidia huko mbeleni tusiwe tunaingia mikataba ya kishenzi shenzi ambayo baadaye tulazimika kuivunja kishenxi shenxi na hatimaye tunapigwa faini za ajabu ajabu, tulipe haraka ili madeni haya yaishe!