ushauri wakuu!

ushauri wakuu!

mtimatawi

Senior Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
112
Reaction score
38
Kama ana kazi basi ujue ndio inayomtia kiburi.

Mkikorofishana usiende kushitaki kwa wakwe zako, wakwe zako hawatakusaidia kwani Huyo ni mtoto wao yaani nidamu yao hawawezi Kuwa upande wako wakasliti damu yao. Suluhu ya kweli Mkikorofishana name wako jioni we we mwache alale asubuhi baada yahasira kwisha , mkae ndani ya chumba chakulala nyingi wawili tu mshauriane na mwenye makosa akiri naiwe siri ya nyinyi wawili turn kwani mambo ya ndoa ni siri ya watu wawili tu. Nimwiko kumshauri mke mkiwa wote na hasira.
 
nina mke na mtoto mmoja kila kutokeapo kutokuelewana wife kauli yake kuu ni kwenda kusaka life kimpango wake nimezoea kuwaona wakongwe wake zao hushtaki ukweni huyu inakaaje hapa hii siielewi.......
 
Kama ana kazi basi ujue ndio inayomtia kiburi.
 
Back
Top Bottom