USHAURI WAKO TAFADHARI!!

USHAURI WAKO TAFADHARI!!

Mkwaha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
1,732
Reaction score
3,267
Miaka kadhaa iliyopita nilisafiri kibiashara nchini msumbiji. Katika pilika pilika za biashara nilibahatika kukutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana tuliazisha mahusiano ya kimapenzi. Baada ya penzi kukolea wazo la ndoa likanijia, hivyo baada ya ndoa kupita tulifanikiwa kurejea nyumbani tanzania. Maisha ya ndoa yaliendelea mungu akatujalia tukabahatika kupata watoto watatu. Kama mjuavyo tena ndoa ina raha na karaha, karaha zilizidi nikaona isiwe shida ni kheri kila mtu abaki na hamsini zake. Msingi wa kuandika ujumbe huu ni kwamba baada ya kutengana mwanamke anataka aondoke na watoto wote kitu ambacho binafsi sipo tayari. Baada ya mvutano huo family yake nayo inadai kama nitaendelea na msimamo wangu watanifungulia kesi uhamiaji ya kwamba nilikua naishi na mtoto wao kinyume cha sheria. Ikumbukwe sikufuata taratibu zozote za kuishi na raia wa kigeni, kifupi niseme nilikujanae kwa njia ya panya. Hivyo naomba kujua je sheria inasemaje juu ya hili?.
 
Miaka kadhaa iliyopita nilisafiri kibiashara nchini msumbiji. Katika pilika pilika za biashara nilibahatika kukutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana tuliazisha mahusiano ya kimapenzi. Baada ya penzi kukolea wazo la ndoa likanijia, hivyo baada ya ndoa kupita tulifanikiwa kurejea nyumbani tanzania. Maisha ya ndoa yaliendelea mungu akatujalia tukabahatika kupata watoto watatu. Kama mjuavyo tena ndoa ina raha na karaha, karaha zilizidi nikaona isiwe shida ni kheri kila mtu abaki na hamsini zake. Msingi wa kuandika ujumbe huu ni kwamba baada ya kutengana mwanamke anataka aondoke na watoto wote kitu ambacho binafsi sipo tayari. Baada ya mvutano huo family yake nayo inadai kama nitaendelea na msimamo wangu watanifunguliakesi uhamiaji ya kwamba nilikua naishi na mtoto wao kinyume cha sheria. Hivyo naomba kujua je sheria inasemaje juu ya hili?.
kimbia huo mtaa na watoto usiwaambie na laini ya cm badilisha labda kama anapajua unapofanyia kazi
 
Hakuna kesi hapo,kama vp chukua wanao ingia zako hata Kibaigwa hawezi fika au tafuta chaka la mbali kawapiie huko watoto.Sema ukishangaa siku moja hutamkuta mtu home.
 
Miaka kadhaa iliyopita nilisafiri kibiashara nchini msumbiji. Katika pilika pilika za biashara nilibahatika kukutana na mwanamke ambae baada ya kufahamiana tuliazisha mahusiano ya kimapenzi. Baada ya penzi kukolea wazo la ndoa likanijia, hivyo baada ya ndoa kupita tulifanikiwa kurejea nyumbani tanzania. Maisha ya ndoa yaliendelea mungu akatujalia tukabahatika kupata watoto watatu. Kama mjuavyo tena ndoa ina raha na karaha, karaha zilizidi nikaona isiwe shida ni kheri kila mtu abaki na hamsini zake. Msingi wa kuandika ujumbe huu ni kwamba baada ya kutengana mwanamke anataka aondoke na watoto wote kitu ambacho binafsi sipo tayari. Baada ya mvutano huo family yake nayo inadai kama nitaendelea na msimamo wangu watanifungulia kesi uhamiaji ya kwamba nilikua naishi na mtoto wao kinyume cha sheria. Ikumbukwe sikufuata taratibu zozote za kuishi na raia wa kigeni, kifupi niseme nilikujanae kwa njia ya panya. Hivyo naomba kujua je sheria inasemaje juu ya hili?.
Ikiwa bado una uwezo wa kufyatua watoto zaid kuna haja gani kubabaika na kupambana na mambo ambayo yanakuchelewesha kusonga mbele na maisha mengine gentleman?.

mwanaume kamili ni Lazima kua mtu wa kuchukua hatua na maamuzi magumu. Hakuna mwanadamu asiependa kua na baba na mama yake, watoto wako watakutafuta tu, acha kung'ang'ana na huyo mumama king'ag'anizi 🐒
 
Biti la kitoto wafungue case kama nani na case gani ? Mahakama na sheria sio za bibi yao ,
kwanza ita backfire yeye ndo ata bebwa mzobe mzobe we nae uwe unafikiria vitu vidogo kama hivi
 
Wakuu Naendelea kupitia maoni yenu, ahsante kwa michango yenu.
 
Tangu lini JOGOO akalea vifaranga? Siku zote mtetea ndio analea vifaranga.
Kwanza anakupunguzia gharama za maisha, wewe muachie watoto, tafuta wanawake wengine zaa nao.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom