kuwa makini na maduka ya pale stand na yale maduka madogomadogo.. wanauza samsung na LG. ambazo ni clone.
Bora ununue TCL au Singsung kwa bei poa sio mbaya. mimi nimetumia singsung Led haijaniangusha kabisa.
kuna TV za samsung clone huwezi kutambua kama ni feki tatizo lake kubwa hazina audio output.