Ushauri: Wabunge wa kuteuliwa na Rais wasiruhusiwe kugombea uongozi wowote wa kibunge

kibito

Member
Jul 12, 2015
49
26
1. Kwa vile wabunge wa kuteuliwa na Rais siyo wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, wasiruhusiwe kugombea uongozi wowote wa kibunge
2. Wabunge wa kuteuliwa na Rais wapewe vyeo vya serikalini tu kama vile mawaziri au manaibu.

Lengo la hayo mawili ni kujenga uhuru wa kutosha kwa bunge na wabunge kama chombo mahsusi cha kuwakilisha wananchi na kuisimamia serikali.

Maoni plz...
 
1. Kwa vile wabunge wa kuteuliwa na Rais siyo wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, wasiruhusiwe kugombea uongozi wowote wa kibunge
2. Wabunge wa kuteuliwa na Rais wapewe vyeo vya serikalini tu kama vile mawaziri au manaibu.

Lengo la hayo mawili ni kujenga uhuru wa kutosha kwa bunge na wabunge kama chombo mahsusi cha kuwakilisha wananchi na kuisimamia serikali.

Maoni plz...

Ndio na Hapana; Kuna nafasi za kibunge/ Baraza la mawaziri lazima tupate manguli (proffesional by merits) mfano fani ya Kisheria, Hapo brain hunting lazima ifanywe na Mwenye Kigoda. Aparently kuna baadhi ya post nyeti yamkini lazima aliyepo awe ana ridhaa ya wananchi.
 
kwanza kuna haja gani ya rais kuteua mbunge. Kujaza nafasi zipi. Hizi teuzi wingi wake ndio ule aliousema NYERERE kuwa mtawala anaweza kujitengezea himaya yake na kuwa Dictator.
Kwa stail hii sitashangaa hapo 2020 ikitokea hoja ya kubadili katiba MAGUFURI aendelee. Kwani hao wateuzi ndio namna ya kujitengezea ulaji wao.
KAMA UTAKI KUMEZA ACHA!
 
1. Kwa vile wabunge wa kuteuliwa na Rais siyo wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, wasiruhusiwe kugombea uongozi wowote wa kibunge
2. Wabunge wa kuteuliwa na Rais wapewe vyeo vya serikalini tu kama vile mawaziri au manaibu.

Lengo la hayo mawili ni kujenga uhuru wa kutosha kwa bunge na wabunge kama chombo mahsusi cha kuwakilisha wananchi na kuisimamia serikali.

Maoni plz...
Subiri matusi toka Lumumba. Huko ni kusifu na kuabudu
 
1. Kwa vile wabunge wa kuteuliwa na Rais siyo wabunge wa kuchaguliwa na wananchi, wasiruhusiwe kugombea uongozi wowote wa kibunge
2. Wabunge wa kuteuliwa na Rais wapewe vyeo vya serikalini tu kama vile mawaziri au manaibu.

Lengo la hayo mawili ni kujenga uhuru wa kutosha kwa bunge na wabunge kama chombo mahsusi cha kuwakilisha wananchi na kuisimamia serikali.

Maoni plz...
Naunga mkono hoja yako kwa asilimia 100.

Kwa kuwa tumeshuhudia teuzi zake 10 za wabunge wake Mkulu, namna ilivyosababisha Bunge kugeuzwa kutoka kuwa chombo cha sauti ya wananchi na badala yake kugeuzwa 'personal property' ya mzee wa kutumbua majipu, chini ya usimamizi wa yule mdada ambaye hajatulia!
 
Hata hivyo dawa ya yote hayo ni Taifa kuwa na Katiba mpya ya nchi yenye maoni ya wananchi ambayo ni Rasimu ya Tume ya Warioba na siyo ile Katiba pendekezwa ya Sisiem.
 
ni pointi nzuri ukiiangalia kwa haraka na i do appreciate it lakini kuna baadhi ya nyazifa zingne inabidi tyuu kufanya maamuzi magumu lakini si kwa kiti kile cha bunge....pale inabidi watu wenye busara zaidi ya Tulia ackson na waelevu zaidi ya mh.job ndugai
 
kwa sababu uwakilishi wote na wawakilishi wote wanatagemea opportunities kutoka kwenye kile kiti....so mtu makini ambae ni less-biased na alihangaika kufanya kampeni na anaejua jinsi gani wabunge wote waliopo pale wametaabika kufika pale walipo na wamebeba shida za watanzania anahitajika
 
uzuri ni kwamba kuna nafasi kama za uspika,mtu yeyote hata kutoka nje mwenye sifa anaweza kugombea sio lazima ateuliwe na rais mfano mzuri,ndugu ole medeye hakuwa mbunge wakuchaguliwa wala wakuteuliwa lakini aligombea uspika,na hizo ndizo post za muhimu katika bunge.kwahiyo ndugu yangu hata hiyo hoja yako ikipita bado wakitaka kumuweka mtu wao kuwa spika watamuweka tu.
 
Back
Top Bottom