Ushauri wa wengi humu ukiachwa unambiwa tafuta hela

Inabidi tuelewe kuwa pesa haikufanyi ukapendwa bali pesa inakufanya yule unayemtaka awepo (abaki)! Kama ndicho unachokitaka basi tafuta pesa kwa nguvu zako zote!
Hahaha sasa kuna raha gani upo na mwanamke ila unajua hakupendi anaganda kwa sababu hela ipo tu. Aisee mie siwawezi hao wa hivyo, wacha nikomae na kimwali wangu wa ukweli tu ambae upendo ndio unatuunganisha sio hela
 
Hahaha sasa kuna raha gani upo na mwanamke ila unajua hakupendi anaganda kwa sababu hela ipo tu. Aisee mie siwawezi hao wa hivyo, wacha nikomae na kimwali wangu wa ukweli tu ambae upendo ndio unatuunganisha sio hela
Umejuaje kuwa hajapenda kipato chako??
Ulishawahi ugua kiasi cha kushindwa kwenda kazini kwa muda mrefu na ukamuona habadiliki tabia? Ulishawahi kufukuzwa kaz na kukaa jobless for a longtime and alikaa naww kama zmn??
Umepimaje yaan kuwa hupendewi mambo safi??
 
Kijana tafuta pesa usipotoshe watu, Maandiko yalisema wanaume tutakula kwa jasho...jasho ndo pesa yenyewe.Tafuta pesa mche Mungu wako...hao wanawake watakuja tu.....Usijifariji na kutaka kupendwa....Narudia tena...tafuta pesa..na wala usipoteze muda wako kutaka kuwaelewa wanawake...hakuna mtu aliwahi waelewa..Dont waste your valuable time..katafute pesa
 
Haya mambo hayana formula mm nikapuku napendwa kupitiliza hadi kutegewa mimba na mademu zaidi ya mmoja na wanajua kipato changu
 
Umejuaje kuwa hajapenda kipato chako??
Ulishawahi ugua kiasi cha kushindwa kwenda kazini kwa muda mrefu na ukamuona habadiliki tabia? Ulishawahi kufukuzwa kaz na kukaa jobless for a longtime and alikaa naww kama zmn??
Umepimaje yaan kuwa hupendewi mambo safi??
Nmeanza nae nikiwa sina kitu pamoja na mitihani yote niliopitia she z been the best woman for long
 
Mm nasema HV....mapenzi sio pesa ila pesa ikiwepo mapenzi huwa matamu zaidi na ikikosekana mapenzi kupungua radha
 
Back
Top Bottom