mbona nahisi kama uvumilivu wangu ulizaa matunda
au hiyo pia haijalishi
wanabakwa na kutukanwa daily....
au mwanaume anahamia kwa kimada
na kukaa miezi auu mwaka..
na wewe unavumilia eti atarudi tu....
ujinga huo ndo nauzungumzia hapa....
Hapo nimekwelewa, kuna mateso mengine hayavumiliki kabisa, ndio maana siku zote nasema navumilia mengi ila kipigo naona sitaweza kabisa, au jamaa anahama mie namsubiriawanabakwa na kutukanwa daily....
au mwanaume anahamia kwa kimada
na kukaa miezi auu mwaka..
na wewe unavumilia eti atarudi tu....
ujinga huo ndo nauzungumzia hapa....
Lakini pia tajiriba binafsi zinahusika katika msimamo mtu anaochukua
Wakati mwengine mtu role model wake ni baba yake kwa mfano, kwa hiyo anachukia kuwa mama yake alidai talaka akamkimbia baba yake japo kuwa alikuwa na vituko (labda ana wanawake anabadilisha kila siku).
Kwa hiyo na yeye anakuwa anamvumilia mwanamme (mume wake) afanye vituko as long as ni sawa na alivyokuwa anafanya baba yake. (Akikiri kuwa vituko vya mume havivumiliki na ni ushenzi, vitavunja mtizamo wake kwa baba yake)
Pili kwa vile yeye alichukia mama yake alipoondoka kwa baba yake, nae anaogopa kuwa labda watoto wake watamchukia, kwa hiyo anashindwa kudai talaka
Na wale ambao role models wao ni mama zao, na mama zao walivumilia kila aina ya kipondo, wao hutafsiri kuwa yale ni mapenzi ya kweli, kwa hiyo na wao wanastahamili adhabu zote wakiamini ni mapenzi ya kweli kama waliyokuwa nayo mama zao.
kila kitu ni wewe na principle zako
kama kwako ku cheat sio ishu,ni poa tu...
but mimi nazungumzia zaidi ndoa ambayo
'imeshakufa' lakini mwanamke hataki talaka
sisemi makosa yasisamehewe....nasema ni kuwa
umechoka na ndoa lakini unavumilia...why?
Kuna vitu Boss una mix hapa.
Maisha ya ndoa ni ku dance according to the tune.
Wewe unataka kila mwanamke/msichana achangie huu uzi.
Lakini nakwambia kuchangia ni one thing kutenda ni another.
Hao wanaosema wana support divorce 100% unaweza kuta ndio hawaachiki ng'o no matter what.
Ni ngumu ku predict future; ni very situational na watu tuna tofautiana.
Waweza kuta wale wanaodai talaka hawana hata sababu za msingi; kuna dada namjua aliomba talaka kwa kuwa mume kafulia na wao kwao mambo safi hawezi ishi kwenye shida.
No matter how well we will discuss this it wont change maamuzi ya mtu.
Ni wrong ku praize wale wanao dare kudai talaka au kubeza wavumilivu. Kila mtu ana way ya ku reason jinsi ya ku solve matatizo ya ndoa yake.
mimi kinachonishangaza ni woga wa hata kujadili....
yaani hapo nabaki mdomo wazi....kujadili tu woga
je kutenda?????
niliposema kujadili sikumaanisha sana uzi huu
nilimaanisha aliyoyasema NN kuhusu uzi uliowahi kuletwa na Mwanakijiji kuhusu
sheria za talaka....na zaidi namaanisha ile culture ya 'kutotaka kuitazama talaka'
kama one of the choices na options za 'ndoa mbovu'
kuhusu uzi huu nafurahi wanawake mliojitokeza kuchangia
thanx.....nyote....
Kuna vitu Boss una mix hapa.
Maisha ya ndoa ni ku dance according to the tune.
Wewe unataka kila mwanamke/msichana achangie huu uzi.
Lakini nakwambia kuchangia ni one thing kutenda ni another.
Hao wanaosema wana support divorce 100% unaweza kuta ndio hawaachiki ng'o no matter what.
Ni ngumu ku predict future; ni very situational na watu tuna tofautiana. Ndio maana kuna watu labda wanaona haina maana kuzungumzia matatizo ambayo hawana; that can even affect their health relationships. Divorce si kitu cha kushadadia wakati huko kwenye ndoa yenye neema. Speaking of a ghost....
Waweza kuta wale wanaodai talaka hawana hata sababu za msingi; kuna dada namjua aliomba talaka kwa kuwa mume kafulia na wao kwao mambo safi hawezi ishi kwenye shida.
No matter how well we will discuss this it wont change maamuzi ya mtu.
Ni wrong ku praize wale wanao dare kudai talaka au kubeza wavumilivu. Kila mtu ana way ya ku reason jinsi ya ku solve matatizo ya ndoa yake.
wanabakwa na kutukanwa daily....
au mwanaume anahamia kwa kimada
na kukaa miezi auu mwaka..
na wewe unavumilia eti atarudi tu....
ujinga huo ndo nauzungumzia hapa....
Sio lazima mtu awe na tatizo ndio alijadili. Kama ilivyokuwa kuwa ukiwa kwenye perfect health ndio wakati mzuri wa kujadili UKIMWI na VVU ni hivyo hivyo kwa masuala ya ndoa. Tunajadili options zilizopo katika ndoa mbovu na pia tunajadili sababu za kumfanya mtu aendelee kubaki kwenye ndoa hizo. Hiyo ya sijui "speaking of the devil ......." sidhani kama ina nafasi kwenye masuala kama haya
Naamini suala kama hili linapojadiliwa linaweza hata kuwapa moyo wale waliopo kwenye ndoa za mateso kuwa si lazima kuvumilia, na wapo watu watakao waelewa iwapo wataamua kutalikiana
exactly.....kusema watu wakichoka tu waondoke
hakuna sheria za kutosha bongo,hakuhalalishi
culture ya kuvumilia 'ndoa za mateso'
na vizuri watu wajadili hata kabla hawajaingia kwenye hizo 'ndoa'
exactly.....kusema watu wakichoka tu waondoke
hakuna sheria za kutosha bongo,hakuhalalishi
culture ya kuvumilia 'ndoa za mateso'
na vizuri watu wajadili hata kabla hawajaingia kwenye hizo 'ndoa'
Unadhani ni busara kujadili matatizo ya ndoa before marriage; What for? get prepared?
oooh yeah :]
Unadhani ni busara kujadili matatizo ya ndoa before marriage; What for? get prepared?
Nimekuwa nikijiuliza usemi huu "Tumechuma sote/ wote" na hii huwa inatokea
zaidi kwa wanawake pale wanapoachwa na waume zao wakitaka wapewe
mgao wa mali ambayo imepatikana kipindi cha ndoa yao!
Swali: Vipi iwapo umemuoa mwanamke halafu ndani ya ndoa yenu mambo
yakamnyookea na kumiliki mali ya kutosha, ikafikia kipindi huyu mwanamke
hataki kuwa nawe tena. JE! Kuna mgao mwanaume anaweza kudai hapo?
Kwa mtazamo huo ili kurahisisha kazi ya kuachana basi wanandoa wa jinsi hiyo kila mtu awekeze kivyake; gari yangu; nyumba yangu; only that is shared ni watoto wetu.
Maana naona mali ndio zawaweka watu roho juu.
Kwa mtazamo huo ili kurahisisha kazi ya kuachana basi wanandoa wa jinsi hiyo kila mtu awekeze kivyake; gari yangu; nyumba yangu; only that is shared ni watoto wetu.
Maana naona mali ndio zawaweka watu roho juu.