Bedui la bongo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 297
- 306
Habari wakuu wanaJF, nahitaji ushauri kwa wajuzi wa jambo hili
Mimi niliishia form 2 nilikatiza shule kutokana ugumu wa maisha ya wazazi wangu hivyo sikubahatika kuendelea na masomo nikaingia kwenye utafutaji wa maisha mtaani sasa nahitaji kujiendeleza kupitia hizi shule za Qt.
Msaada wangu ninaoomba ni masomo gani ambayo huwa wanajifunza kwa mwaka wa kwanza ili nianze kujifunza huku mtaani ili ikifika mwakani panapo uhai nikianza QT iwe rahisi kuanza kupambana juu ya utafutaji wangu wa elimu
Ahsanteni sana kwa watakaonipa moyo na ushauri pia
Mimi niliishia form 2 nilikatiza shule kutokana ugumu wa maisha ya wazazi wangu hivyo sikubahatika kuendelea na masomo nikaingia kwenye utafutaji wa maisha mtaani sasa nahitaji kujiendeleza kupitia hizi shule za Qt.
Msaada wangu ninaoomba ni masomo gani ambayo huwa wanajifunza kwa mwaka wa kwanza ili nianze kujifunza huku mtaani ili ikifika mwakani panapo uhai nikianza QT iwe rahisi kuanza kupambana juu ya utafutaji wangu wa elimu
Ahsanteni sana kwa watakaonipa moyo na ushauri pia