Ushauri wa kitaalamu tafadhali.

Ushauri wa kitaalamu tafadhali.

Majuto J.

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Nimekutana na rafiki yangu ambaye ni MWANANDOA wa miezi michache akaniomba USHAURI juu ya tatizo lake la kuwahi kupiga bao mapema sana wakati wa tendo la ndoa na kumfanya mwenzake ashindwe kuelewa shida ni nini ingawa huyu jamaa hakuwahi kukutana na mwanamke zaidi ya miaka 20. Mbali na hilo ni kwamba Mh. Akishapiga bao 1 ndo gem limeisha,shida ni nini na afanye nini ili kuinusuru NDOA YAKE?
 
kumbe kweli huu ni ugonjwa wa taifa!!
 
Mbona kimoja kina tosha sana, tatizo watu wanafanya kama starehe... wakati hiyo kitu ni kwa ajiri ya kutungisha mimba only

kumbe kweli huu ni ugonjwa wa taifa!!
 
Puli sio tatizo. But maisha magumu, stress, afya mbovu, maradhi..... watu hawana furaha kabisa.... kwanini isiwe hivyo?

meona eeh!! vijana puli zinawaharibu!! Loh!
 
Back
Top Bottom