Ushauri wa kitaalam kwa NEMC na Halmashauri ya Jiji la Dar

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Jiji la Dar es salaam linaendelea kukua kwa kasi ambayo imeweka rekodi si tu Afrika bali Duniani.
Halmashauri ya Jiji na Tume zake za Mipango Miji zimelemewa kabisa namna ya kudhibiti maendeleo ya Jiji letu la DSM, Jiji ambalo kama lingepangwa lingekuwa la mfano Barani Afrika.

Kutokana na Bomoa bomoa inayoendelea , ni wazi kuwa upande mmoja ni wa wananchi wnaojichukulia hatua zao wenyewe za kimaendeleo na upande wa pili ni Serkali inayoamka kila baada ya miaka mitani toka usingizi wa pono, huku ikiangalia Jiji linavyokua bila mpagilio wowote,

Leo nawapa NEMC/JIJI na hata mamlaka zilizopo sehemu chache tu ambazo zinaweza kushughulikiwa na Jiji linaweza kupendeza.
  1. Jiji liwe na Mamlaka ya Mito na Mabonde, kama ilivyo barabara. Mito na mabonde haya yalindwe kisheria ili yasivamiwe kwa hali yoyote ile.
  2. Mto Mkuu wa Msimbazi upate Mamlaka yake. Na mto na bonde hili lichimbwe na kupanuliwa toka Selander Bridge hadi Kigogo. Bonde hili laweza hata kutumika kama njia kuu ya usafiri wa majini. Hili limefanyika nchi nyingi , hata kule Singapore kuna bonde kama la Msimbazi ambalo bila hata kutumia msaada au ujuzi toka nje, wenzetu waliuchimba mkondo ule wa bahari na kuuwekea kina ili hata boti ziweze kuingia ndani ya Jiji na kuboresha mandhari ya Jiji kwa kuweka Sea Front businesses kama restaurants, maduka ya souvenirs na general leisure. Tatizo hapa kwetu wahandisi/viongozi wa Jiji hawawezi kuthink outside the box!! Eneo lote la Msimbazi kuanzia Selander/Upanga hadi Magomeni linaweza kuwa another business district ya kuwaondoa kabisa maachinga mtaa wa Congo!
  3. Drainage ya Jiji la Dar es salaam ni tatizo dogo sana kwa viongozi wa Jiji ambao watakuwa creative. Jiji linaweza kuchimba mtaro mkubwa sana (kama diameter ya mita 5)wa chini ya ardhi kuanzia pale Jangwani hadi Posta ya Zamani kutokea baharini. Maji yote ya mvua yanaelekezwa humo. Mtaro mwingine mkubwa kama huo wa mita 5 unaanzia sehemu za Upanga na kuishia sehemu za Kariakoo, mtaro huu ukiunganika na ule unaotoka Jangwani. Hapo habari ya mafuriko kati kati ya Jiji kwisha kabisa. Miji yote yenye uendelevu wa kimipango na fikra za utatuzi wa matatizo kama haya duniani yamefanya hivyo.
Wadau hii ni wazo la kuanzia tu kwa mwaka 2016, karibuni.
 
Last edited:
Nilivyokuwa nasoma naiona kabisa kiramani
Haya wenye mamlaka kaz kwenu
Bora muiache hizo mamlaka lkn mboreshe la pili
Bye
 
Nafikiri style ya elimu yetu inachangia. Tunatakiwa tubadili mfumo wa elimu.
"Aliyeleta wazo ni msomi wa tanzania tena vyuo vyetu hivihivi, nadhan tatizo liko kwenye kubebana...unamuweka KANDO aliyebora..unampa kiti cha kuzunguka MMBEA. Tunaitaji "institution Descipline Reform"(IDR) ..kipo kizaz kibovu na kichovu kimekalia mfumo....!! Nimewahi kuwaza vibaya kuwa.."pengine vita pekee km rwanda 94, inaweza kuleta fikra mpya...na eshima..." Ni jibu sana kusikia mtu DHAIFU. ..tena mbunge eti Tz tunapungukiwa na wataalamu,..SIO KWELI. ,baadhi ya watu wanachanganya "carrier & opportunity" ..wasomi tunao ili wanapungukiwa fursa...na fursa hupatikan kwa njia MBILI, ..
 
Hizo mamlaka za mabonde zipo labda swali liwe zinafanyaje kaz. Kwa ujumla ni mawazo mazuri lakina nakuhakikishia ukifatilia sana utakuta yalishawahi kuwepo yamehifadhiwa kwene mashelf yanapigwa na vumbi huko maofisini, tatizo letu ni utekelezaji.
 
Hizo mamlaka za mabonde zipo labda swali liwe zinafanyaje kaz. Kwa ujumla ni mawazo mazuri lakina nakuhakikishia ukifatilia sana utakuta yalishawahi kuwepo yamehifadhiwa kwene mashelf yanapigwa na vumbi huko maofisini, tatizo letu ni utekelezaji.
Tatizo kubwa la wafanyakazi serikalini siku hixi, hawafanyi kazi bika kuweka maslahi yao mbele kwanza.

Haya mawazo yaliyotolewa laiti kama tunawasomi wenye akili za kizalendo wangeytekeleza bila kumung'unya maneno.
Tujiulize , na haya mawazo ni lazima mtu mweupe toka World Bank au European Union watuelekeze ndio tuelewe?

Central Europe ilitengeneza mtandao wa mifereji kama inyopendekezwa zaidi ya miaka 300 iliyopita!
Sisi hapa tuna wasomi hadi ngazi ya PhD lakini akili yote imeelekezwa kwenye ile miradi ambayo mtu anachukua 10% mapemaa!

Watu wamekazana kubomoa nyumba zilizojengwa kutokana na kulala kwa wafanyakazi hao hao wanaoweka X.
Mawazo mbadala ya kuendeleza enviroment hakuna, utafikiri walisomea kuweka X na kubomoa, hadi ngazi ya PhD.

What a shame.
 
Last edited:
Jingine nafikiri kuna tatiz mahala flani kwene masuala ya ujenz utashangaa miundombinu ya wakoloni ipo ngangali hadi hiv leo lakn daraja au karavat lililowekwa juz limeshang'oka
 
Jiji la Dar es salaam linaendelea kukua kwa kasi ambayo imeweka rekodi si tu Afrika bali Duniani.
Halmashauri ya Jiji na Tume zake za Mipango Miji zimelemewa kabisa namna ya kudhibiti maendeleo ya Jiji letu la DSM, Jiji ambalo kama lingepangwa lingekuwa la mfano Barani Afrika.

Kutokana na Bomoa bomoa inayoendelea , ni wazi kuwa upande mmoja ni wa wananchi wnaojichukulia hatua zao wenyewe za kimaendeleo na upande wa pili ni Serkali inayoamka kila baada ya miaka mitani toka usingizi wa pono, huku ikiangalia Jiji linavyokua bila mpagilio wowote,

Leo nawapa NEMC/JIJI na hata mamlaka zilizopo sehemu chache tu ambazo zinaweza kushughulikiwa na Jiji linaweza kupendeza.
  1. Jiji liwe na Mamlaka ya Mito na Mabonde, kama ilivyo barabara. Mito na mabonde haya yalindwe kisheria ili yasivamiwe kwa hali yoyote ile.
  2. Mto Mkuu wa Msimbazi upate Mamlaka yake. Na mto na bonde hili lichimbwe na kupanuliwa toka Selander Bridge hadi Kigogo. Bonde hili laweza hata kutumika kama njia kuu ya usafiri wa majini. Hili limefanyika nchi nyingi , hata kule Singapore kuna bonde kama la Msimbazi ambalo bila hata kutumia msaada au ujuzi toka nje, wenzetu waliuchimba mkondo ule wa bahari na kuuwekea kina ili hata boti ziweze kuingia ndani ya Jiji na kuboresha mandhari ya Jiji kwa kuweka Sea Front businesses kama restaurants, maduka ya souvenirs na general leisure. Tatizo hapa kwetu wahandisi/viongozi wa Jiji hawawezi kuthink outside the box!! Eneo lote la Msimbazi kuanzia Selander/Upanga hadi Magomeni linaweza kuwa another business district ya kuwaondoa kabisa maachinga mtaa wa Congo!
  3. Drainage ya Jiji la Dar es salaam ni tatizo dogo sana kwa viongozi wa Jiji ambao watakuwa creative. Jiji linaweza kuchimba mtaro mkubwa sana (kama diameter ya mita 5)wa chini ya ardhi kuanzia pale Jangwani hadi Posta ya Zamani kutokea baharini. Maji yote ya mvua yanaelekezwa humo. Mtaro mwingine mkubwa kama huo wa mita 5 unaanzia sehemu za Upanga na kuishia sehemu za Kariakoo, mtaro huu ukiunganika na ule unaotoka Jangwani. Hapo habari ya mafuriko kati kati ya Jiji kwisha kabisa. Miji yote yenye uendelevu wa kimipango na fikra za utatuzi wa matatizo kama haya duniani yamefanya hivyo.
Wadau hii ni wazo la kuanzia tu kwa mwaka 2016, karibuni.
Ni wazo zuri kabisa. Kama ulivyosema watu hawafikiri "outside the box" Na kama wanafikiri hicho si kipaumbele chao kutokana na maslahi kwanza.
 
Wazo Zuri sana,10% za waheshimiwa Mawaziri na Wabunge na Viongozi watendaji ni Tatizo kubwa sana katika kutekeleza mawazo haya,labda Mzee wa Kutumbua majipu atawapa mtazamo mpya viongozi aliowateua.
Jiji la Dar es salaam linaendelea kukua kwa kasi ambayo imeweka rekodi si tu Afrika bali Duniani.
Halmashauri ya Jiji na Tume zake za Mipango Miji zimelemewa kabisa namna ya kudhibiti maendeleo ya Jiji letu la DSM, Jiji ambalo kama lingepangwa lingekuwa la mfano Barani Afrika.

Kutokana na Bomoa bomoa inayoendelea , ni wazi kuwa upande mmoja ni wa wananchi wnaojichukulia hatua zao wenyewe za kimaendeleo na upande wa pili ni Serkali inayoamka kila baada ya miaka mitani toka usingizi wa pono, huku ikiangalia Jiji linavyokua bila mpagilio wowote,

Leo nawapa NEMC/JIJI na hata mamlaka zilizopo sehemu chache tu ambazo zinaweza kushughulikiwa na Jiji linaweza kupendeza.
  1. Jiji liwe na Mamlaka ya Mito na Mabonde, kama ilivyo barabara. Mito na mabonde haya yalindwe kisheria ili yasivamiwe kwa hali yoyote ile.
  2. Mto Mkuu wa Msimbazi upate Mamlaka yake. Na mto na bonde hili lichimbwe na kupanuliwa toka Selander Bridge hadi Kigogo. Bonde hili laweza hata kutumika kama njia kuu ya usafiri wa majini. Hili limefanyika nchi nyingi , hata kule Singapore kuna bonde kama la Msimbazi ambalo bila hata kutumia msaada au ujuzi toka nje, wenzetu waliuchimba mkondo ule wa bahari na kuuwekea kina ili hata boti ziweze kuingia ndani ya Jiji na kuboresha mandhari ya Jiji kwa kuweka Sea Front businesses kama restaurants, maduka ya souvenirs na general leisure. Tatizo hapa kwetu wahandisi/viongozi wa Jiji hawawezi kuthink outside the box!! Eneo lote la Msimbazi kuanzia Selander/Upanga hadi Magomeni linaweza kuwa another business district ya kuwaondoa kabisa maachinga mtaa wa Congo!
  3. Drainage ya Jiji la Dar es salaam ni tatizo dogo sana kwa viongozi wa Jiji ambao watakuwa creative. Jiji linaweza kuchimba mtaro mkubwa sana (kama diameter ya mita 5)wa chini ya ardhi kuanzia pale Jangwani hadi Posta ya Zamani kutokea baharini. Maji yote ya mvua yanaelekezwa humo. Mtaro mwingine mkubwa kama huo wa mita 5 unaanzia sehemu za Upanga na kuishia sehemu za Kariakoo, mtaro huu ukiunganika na ule unaotoka Jangwani. Hapo habari ya mafuriko kati kati ya Jiji kwisha kabisa. Miji yote yenye uendelevu wa kimipango na fikra za utatuzi wa matatizo kama haya duniani yamefanya hivyo.
Wadau hii ni wazo la kuanzia tu kwa mwaka 2016, karibuni.
 
Wazo Zuri sana,10% za waheshimiwa Mawaziri na Wabunge na Viongozi watendaji ni Tatizo kubwa sana katika kutekeleza mawazo haya,labda Mzee wa Kutumbua majipu atawapa mtazamo mpya viongozi aliowateua.
Ni kweli kabisa , inabidi wazo kama hili Dr agufuli aliwekee kipaumbele, maana its an alternative way of thinking ambayo Magufuli anaonekana kuiweza sana.
Tukiwategemea hawa wataalam wetu wa kila siku huwa hawana jipya Zaidi ya kuamka asubuhi na kupekea mafaili ya jana yake-business as usual!
 
Very good thinking, tatizo watendaji wetu wengi wanafanya kazi kwa mazoea. Not creative.
Mbaya zaidi katika mada kama hizi creative , si wengi wenye ku think foward wenye uwezo wa kuchangia.
Hii ndiyo reflection ya society yetu ya kizazi hiki.
Hapa mtia mada angeandika Meya wa Jiji kaenda haja , Mto Msimbazi ungeona wachangiaji wanavyo miminika!
Dar es salaam ni Jiji la viongozi wagonjwa kiakili wakiongoza wananchi wangonjwa vile vile.
 
Wazo zuri sana hili,naamini ndicho kitakachofanyika pale baada ya watu wale kupisha
 
Back
Top Bottom