Ushauri wa bure kwa wanaume

Ushauri wa bure kwa wanaume

Joined
Aug 6, 2014
Posts
7
Reaction score
3
IMG_0584.JPG

Msanii wa muziki wa Bongo Flava Meniah Atick aka Meninah hivi karibuni ameachia Track yake mpya ya ‘Pipi Ya Kijiti' ni track inayozungumzia mapenzi na kuwapa somo wanaume, Akiongea kwenye cha E News' Meninah alifuguka hivi .

"Kwenye hii wimbo wangu mpya nimezungumzia wanaume waweze kuwa na mapenzi ya kweli na wapenzi wao coz wanaume kibao wanakuwa hawana Mapenzi ya Kweli kwa Wapenzi wao, wanataka kuwatumuia alafu wanaawaacha na kutafuta msichana mwingine, hiyo ndo sababu ya mimi kutunga ngoma hiyo so ushauri kwa wanaume waweze kutulia coz maradhi ni mengi sasa ni vizuri kuwa na mpenzi mmoja ambaye ni muaminifu ".
 
huyo masnii mwenyewe ana wanaume wengi.....
 
hili neno linanikera.... "wanaume wanatutumia alafu wanatuacha" utumiwe wewe umekuwa chakula?
wakati unatumiwa wewe ulikuwa unafanyeje?

sema TUMETUMIANA TUKAKOSEANA TUKAACHANA..

2. Hutaki mwenzio atoke nje ya mahusiano kwa sababu ya wivu au magonjwa?
kama magonjwa huko nje si tunatumia kinga? narudi kwako bila kukuletea magonjwa.. shida ni nini?
 
ajihoji kwanza yeye je anajua kupenda na kutulia sio kuongea tu huku ana mabwana kibao ndo wanamwezesha
 
hili neno linanikera.... "wanaume wanatutumia alafu wanatuacha" utumiwe wewe umekuwa chakula?
wakati unatumiwa wewe ulikuwa unafanyeje?

sema TUMETUMIANA TUKAKOSEANA TUKAACHANA..

2. Hutaki mwenzio atoke nje ya mahusiano kwa sababu ya wivu au magonjwa?
kama magonjwa huko nje si tunatumia kinga? narudi kwako bila kukuletea magonjwa.. shida ni nini?

lingine utasikia eti umenipotezea muda huku wao wanaharibia watu wengi future na kubaki kuwatumia kisha wanakimbilia kwenye unafuu.
 
Nikitoka mimi utanisamehe?
hili neno linanikera.... "wanaume wanatutumia alafu wanatuacha" utumiwe wewe umekuwa chakula?
wakati unatumiwa wewe ulikuwa unafanyeje?

sema TUMETUMIANA TUKAKOSEANA TUKAACHANA..

2. Hutaki mwenzio atoke nje ya mahusiano kwa sababu ya wivu au magonjwa?
kama magonjwa huko nje si tunatumia kinga? narudi kwako bila kukuletea magonjwa.. shida ni nini?
 
pesa zetu mzitumie tu bila huruma, raha tuckie wote halafu saivi ndo mtulaumu???this is not fair!
 
Uyo msanii!!!!!
Ayo ni maneno tu ila ye hana/si mfano wa kuigwa coz ni mchepukaji tu
 
hili neno linanikera.... "wanaume wanatutumia alafu wanatuacha" utumiwe wewe umekuwa chakula?
wakati unatumiwa wewe ulikuwa unafanyeje?

sema TUMETUMIANA TUKAKOSEANA TUKAACHANA..

2. Hutaki mwenzio atoke nje ya mahusiano kwa sababu ya wivu au magonjwa?
kama magonjwa huko nje si tunatumia kinga? narudi kwako bila kukuletea magonjwa.. shida ni nini?

hahaha..ahsante boss
 
ila mwisho wa siku anaepoteza ni mwanamke...... kisa cha kuharibiwa whuchiiii!!!?

Unapoteza nini hasa kiuhalisia? Huo whuchii kwani unaisha au una speed meter? Hizi ni kasumba tu kuwa mwanamke anatumika, kwanza nyie ndo mnatunyonya ma-protein yetu.
 
Back
Top Bottom