Ushauri wa bure kwa wakili Ndug. Awadh Ali Said, CUF baada ya mahojiano Azam TV

ray jay

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
1,084
485
USHAURI WA BURE KWA WAKILI AWADH ALI SAID.

Wakili Awadh tumeona mahojiano yako ya usiku huu na mwandishi wa Azam TV ambacho hakuna asiejua ni TV yenu na CUF na ndio kimbilio lenu kwa muda huu kwenda kulalamika na kutoa mnayoyataka yasikike ambayo ni uongo tena uongo wa mchana.

Bwana Awadh Wakili leo umebugi tena, umebugi maana kwanza umeanza kwa kumshambulia Januari Makamba kwamba kakosea kauli yake aliyoitoa Bungeni kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar na kurejewa kwa uchaguzi. Haya twambie basi wewe wakili na hao mawakili wenzako makanjanja Jee Maalim Seif kujitangazia ushindi ni sahihi?

Katika maelezo yako ya leo ukaendelea kusema uongo wa kipemba mtoto wa kiume bila ya junaha wala nakisi pale uliposema huna imani na mahakama! Hata wewe useme hayo?

Ina maana hata mpenzi wako Abduhakim Makamu Mwenyekiti wa ZEC nae pia anakutia kichefuchefu maana na yeye Jaji wa Mahakama ya Zanzibar nani cuf mwenzako na ndie anakusadieni mambo yenu ndani ya ZEC. Ukisema Awadh mengine ubakishe Kaka.!U CUF usikutie upofu fungua ubongo wako na akili yako mengine uyachuje.

Siasa imekufanya hujijui hujitambui unakaa kwenye TV eti huna imani na Mahakama.Kwanza nikuulize mwenye Imani na wewe nani? Wakili kila ukinyamaziwa unazidi tu.Huo uwakili umesoma pekeyako? Au ndio kosa kupelekwa kwenye Tume ya Warioba ndio umeota manywele bado kwa kutaka sifa.

Mengine punguza kaka hayakusaidii kabisa. Na lazima utubu tena maana kila ulilolisimamia limefeli Awadh kaa chini ujitathmini, ujipeleleze na ujiulize unakosea wapi acha jazba.

Tukuelewe vipi Awadh?Umesahau wewe Awadh ulikuwa mjumbe wa Judicial Services Commission kwa miaka 6. Wewe na Wakili mwenzako Nassor Khamis. Majaji takribani wote waliochaguliwa na walioko kwenye mahakama kuu ya Zanzibar umeshiriki kwa njia moja au nyengine kwenye uteuzi wao. Leo unasimama kwenye TV unasema nini?Au kwasababu mlitaka Jaji Mkuu awe Wakili Othman masoud na hakuwa! ndio mumechanganyikiwa?

Unaogopa kivuli chako Baba?.Nakwambia tena Awadh umebugi maana kwa suala la kutokuwa na imani na mahakama huna sera katika hilo. Kwanza unaogopa kwenda mahakamani maana huna kesi ya kufungua. ukamshtaki nani Maalim aliejitangazia ushindi kinyume na katiba au Sir Jecha alietangaza tarehe ya uchaguzi March 20?

Hivi nikuulize katika hawa wawili nani ana kesi ya kujibu?Sishangai wewe Awadh ni mmoja wa waliompeleka mchomo Maalim Seif kwa kumpa ushauri mbovu hadi mkamuingiza kwenye mkenge Baba wa watu maskini.Sasa mumemwacha kwenye mashaka makubwa.Shauri lenu nyie mawakili mabusha na makanjanja.

Nawaumbua tena mmebugi maana!Awadh nikukumbushe wakati wewe ni mjumbe wa Judicial si uliweza kusimamia hadi kusajiliwa majaji na CUF wenzio akina Ishaq Mwanae Maalim Seif, Adam Mshibe. Yahya wa Baraza la Wawakilishi. Ukawafanyia choko choko na kuifanya mahakama tawi la CUF hadi wenzio wakatimuliwa na kupoteza sifa zao kwa siasa chafu halafu leo Mahakama mbaya?

Ninachokushauri usikate tamaa Awadh, endelea kutumika kupiga kelele na kupiga debe, umeanza Azam TV kesho nakushauri wende ITV kesho kutwa Star Tv ukitoka hapo nenda london BBC ukitoka hapo nenda hadi TV Emanuel. Lakini Buno la mbwa mnalo cuf mtake msitake march 20 inawasubiri.

Kwanza hizo nchi mnazoringia Awadh kuwaunga mkono za Magharibi zinakujueni kama nyinyi ni CUF Magaidi Ma terrorists, si mmarekani si muingereza atakae waunga mkono nani mna elements za ugaidi! na hilo haliwaepuki.

Zanzibar mtaifanya Al shabab Base IS na uchafu mwengine mnajulikana mko tayari ki fund magaidi, kutoa training kwao na mnamahusiano nao, sasa wewe hata ukisema hadi . Lakini unachokitaka hukipati wala sioni dalili ya mafanikio.

Ushauri wa bure jipange upya. Kwanza mmegoma sasa tena malumbano ya TV ya nini. Aliegoma hukaa kimya akafanya mengine sio uchuro huo ulioenda kuuonesha leo Awadh.
maskini Wakili Mhemko Awadh bado unaendelea kuhemka tuu pole sana.

Imeandikwa na Mtandao wa Wanyonge Waliowengi
Zanzibar
 
CCM ni bora mukawapeleka shule hawa vijana wenu ili wapate elimu ya kufikiri kama binadamu wanavyofikiri. Tafadhali wapelekeni vijana wenu shule labda wataondokana na adui Ujinga. Mimi nilidhani munajibu hoja kum be ni personal attack kwa Wakili Awadh. Vijana wenzangu nakusihni sana mwende shule kwanza
 
USHAURI WA BURE KWA WAKILI MHEMKO AWADH ALI SAID.

Wakili Mhemko Awadh tumeona mahojiano yako ya usiku huu na mwandishi wa Azam TV ambacho hakuna asiejua ni TV yenu Ma cuf na ndio kimbilio lenu kwa muda huu kwenda kulalamika na kutoa mnayoyataka yasikike ambayo ni Uongo tena Uongo wa mchana.

Bwana Awadh Wakili Mhemko leo umebugi tena, Umebugi maana
Kwanza umeanza kwa kumshambulia Januari Makamba kwamba kakosea kauli yake aliyoitoa Bungeni kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar na kurejewa kwa uchaguzi. Haya twambie basi wewe wakili mhemko na hao mawakili wenzako makanjanja Jee Maalim Seif kujitangazia ushindi ni sahihi????

Katika maelezo yako ya leo ukaendelea kusema Uongo wa kipemba mtoto wa kiume bila ya junaha wala nakisi pale uliposema huna imani na mahakama! ama kweli umenitia kichefuchefu awadh. Hata wewe useme hayo??
Ina maana hata mpenzi wako Abduhakim Makamu Mwenyekiti wa ZEC nae pia anakutia kichefuchefu maana na yeye Jaji wa Mahakama ya Zanzibar nani cuf mwenzako na ndie anakusadieni mambo yenu ndani ya ZEC. Ukisema Awadh mengine ubakishe Kaka...! U cuf usikutie upofu fungua Ubongo wako na akili yako mengine uyachuje.
Siasa imekufanya majnuni hujijui hujitambui!!!!! Maskini mtoto wa kiume Awadh unakaa kwenye TV unaregeza mzizi wa pua eti huna imani na Mahakama.

Kwanza nikuulize mwenye Imani na wewe nani? Wakili Kisebengo????

Huachi yakhe! kila ukinyamaziwa unazidi tuuu. huo uwakili umesoma pekeyako?? Au ndio kosa kupelekwa kwenye Tume ya warioba ndio umeota manywele bado kwa kutaka sifa.
Mengine punguza Kaka hayakusaidii kabisa. Na lazima utubu tena. maana kila ulilolisimamia limefeli Awadh kaaa chini ujitathmini, ujipeleleze na ujiulize unakosea wapi. Wacha Jazba mtoto wa kiume.
Tukuelewe vipi wewe popo au ndege Awadh??? Umesahau wewe Awadh ulikuwa Mjumbe wa Judicial Services Commission kwa miaka 6. Wewe na Wakili kifudu mwenzako Nassor Khamis. Majaji takriban wote waliochaguliwa na walioko kwenye mahakama kuu ya zanzibar umeshiriki kwa njia moja au nyengine kwenye uteuzi wao. Leo unasimama kwenye TV unasema nini?????
Au kwasababu mlitaka Jaji Mkuu awe Wakili Busha Othman masoud na hakuwa! ndio mumechanganyikiwa???

Unaogopa kivuli chako Baba???. Nakwambia tena Awadh umebugi maana kwa suala la kutokuwa na iman na mahakama huna sera katika hilo. Kwanza unaogopa kwenda mahakamani maana huna kesi ya kufungua. ukamshtaki nani Maalim aliejitangazia ushindi kinyume na katiba au Sir Jecha alietangaza tarehe ya uchaguzi March 20???

Hivi nikuulize katika hawa wawili nani ana kesi ya kujibu???

Sishangai wewe Awadh ni mmoja wa waliompeleka mchomo Maalim Seif kwa kumpa ushauri mbovu hadi mkamuingiza kwenye mkenge Baba wa watu maskini.
Sasa mumemwacha kwenye mashaka makubwa.
Shauri lenu nyie mawakili mabusha na makanjanja.
Nawaumbua tena Mumebugiiii Maaaaanna....!
Awadh nikukumbushe wakati wewe ni mjumbe wa Judicial si uliweza kusimamia hadi kusajiliwa majaji ma cuf wenzio akina Ishaq Mwanae Maalim Seif, adam Mshibe. Yahya wa Baraza la Wawakilishi. Ukawafanyia choko choko na kuifanya mahakama tawi la cuf hadi wenzio wakatimuliwa na kupoteza sifa zao kwa siasa chafu halafu leo Mahakama mbaya??
Abaa wee jamaaa kunzidi walahi.
Ninachokushauri usikate tamaa Awadh, endelea kutumika kupiga kelele na kupiga debe, umeanza Azam TV kesho nakushauri wende ITV kesho kutwa Star Tv ukitoka hapo nenda london BBC ukitoka hapo nenda hadi TV Emanuel. Lakini Buno la mbwa mnalo cuf mtake msitake march 20 inawasubiri.
Kwanza hizo nchi mnazoringia Awadh kuwaunga mkono za magharibi zinakujueni kama nyinyi ni Cuf Magaidi Ma terrorists, si mmarekani si muingereza atakae waunga mkono nani mna elements za ugaidi! na hilo haliwaepuki. Zanzibar mtaifanya Al shabab Base IS na uchafu mwengine. mnajulikana mko tayari ki fund magaidi, kutoa training kwao na mna mahusiano nao, sasa wewe hata ukisema hadi ukitoka povu la mdomo awadh wewe endelea piga guitar mabwana zako wacheze. Lkn unachokitaka hukipati wala sioni dalili ya mafanikio.
Ushauri wa bure jipange upya. Kwanza mmegoma sasa tena malumbano ya tv ya nini. Aliegoma hukaa kimya akafanya mengine sio uchuro huo ulioenda kuuonesha leo Awadh.
Maskini Wakili Mhemko Awadh bado unaendelea Kuhemka tuu. pole sana.

Imeandikwa na Mtandao wa Wanyonge Waliowengi
Zanzibar
Nina hakika huo mtandao wa wanyonge ni mtandao wa wanawake, kama utakuwa una wanaume pia basi watakuwa sio riziki, mwanaume rijali hawezi kuandika hivi da!! kweli unapoteza muda kuandika utumbo hivi??!! kweli vita ya ndoa za jinsia moja ngumu sana!!
 
Nina hakika huo mtandao wa wanyonge ni mtandao wa wanawake, kama utakuwa una wanaume pia basi watakuwa sio riziki, mwanaume rijali hawezi kuandika hivi da!! kweli unapoteza muda kuandika utumbo hivi??!! kweli vita ya ndoa za jinsia moja ngumu sana!!


Mkuu hapo bold basi sikubaliani nawe. Wanawake ni viumbe jasiri kabisa na ndio maana wakaweza kutuzaa mimi na wewe. Mimi nadhani kwa muandiko huuu huyu atakuwa si binadaamu kabisa. Kule unyakusani kuna mdudu mmoja kwa tabia zake chafu huwa tunamwita Vutu nadhani huyu mwandishi atakuwa ni Vutu Mkubwa!
 
Nina hakika huo mtandao wa wanyonge ni mtandao wa wanawake, kama utakuwa una wanaume pia basi watakuwa sio riziki, mwanaume rijali hawezi kuandika hivi da!! kweli unapoteza muda kuandika utumbo hivi??!! kweli vita ya ndoa za jinsia moja ngumu sana!!
Nimemkumbuka mama mmoja aliyefariki majuzi. Akiwa kwenye bunge la katiba lugha yake wakati akichangia hoja ni kama hii ya mleta uzi.
 
Mimi nilidhani mleta Uzi analeta hoja za kumjibu Ndg. Awadh kumbe kaja na matusi, kejeli na vijembe kupitia siasa za kizamani za chuki na ubaguzi. Unashusha hadhi ya jukwaa.
 
USHAURI WA BURE KWA WAKILI MHEMKO AWADH ALI SAID.


Imeandikwa na Mtandao wa Wanyonge Waliowengi
Zanzibar
Hivi wanaCCM ndio wanyonge walio wengi? Si wana dola hawa? Si ndio serikali yenyewe? Sasa huo 'unyonge' wao unatoka wapi?
 
Tuna Watanzania kama hawa halafu tutarajie maendeleo?.Badala ya kujikita kwenye hoja wewe unamshambulia mtu binafsi..Jinga kabisa gamba mkubwa
 
Nanukuu

"Ina maana hata mpenzi
wako Abduhakim Makamu
Mwenyekiti wa ZEC nae pia
anakutia kichefuchefu
maana na yeye Jaji wa
Mahakama ya Zanzibar
nani cuf mwenzako na ndie
anakusadieni mambo yenu
ndani ya ZEC."





Haya maneno sijayaelewa.
 
Tuna Watanzania kama hawa halafu tutarajie maendeleo?.Badala ya kujikita kwenye hoja wewe unamshambulia mtu binafsi..Jinga kabisa gamba mkubwa


.Hili Jamaa litakuwa Choko kwa Mujibu wa Muandiko wake.
 
I think this time around Maalim really destroyed the party kwa kujitangazia matokeo. Na i think nilishawahi andika humu ndani kuwa if Maalim had no winning figures basi hata angeenda kujitangazia Matokeo CNN..Isingekua big deal... the Numbers favored him Big time... Nchi ilikua inaelekea kutoka kwa karatasi.. and than yakatokea yalotokea...
 
I think this time around Maalim really destroyed the party kwa kujitangazia matokeo. Na i think nilishawahi andika humu ndani kuwa if Maalim had no winning figures basi hata angeenda kujitangazia Matokeo CNN..Isingekua big deal... the Numbers favored him Big time... Nchi ilikua inaelekea kutoka kwa karatasi.. and than yakatokea yalotokea...

Mkuu. Amini usiamini Jecha huyu asingeweza kumtangaza Seif kwani alikuwa akifanya kazi chini ya kitengo. Na ndani ya kitengo hakuna nje ya CCM!!!!

Hilo linaloitwa kosa la kujitangaza lina adhabu yake (faini au kifungo) si kufuta uchaguzi wote . HII YA KWETU NI MAKUSUDI.
 
USHAURI WA BURE KWA WAKILI AWADH ALI SAID.

Wakili Awadh tumeona mahojiano yako ya usiku huu na mwandishi wa Azam TV ambacho hakuna asiejua ni TV yenu na CUF na ndio kimbilio lenu kwa muda huu kwenda kulalamika na kutoa mnayoyataka yasikike ambayo ni uongo tena uongo wa mchana.

Bwana Awadh Wakili leo umebugi tena, umebugi maana kwanza umeanza kwa kumshambulia Januari Makamba kwamba kakosea kauli yake aliyoitoa Bungeni kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar na kurejewa kwa uchaguzi. Haya twambie basi wewe wakili na hao mawakili wenzako makanjanja Jee Maalim Seif kujitangazia ushindi ni sahihi?

Katika maelezo yako ya leo ukaendelea kusema uongo wa kipemba mtoto wa kiume bila ya junaha wala nakisi pale uliposema huna imani na mahakama! Hata wewe useme hayo?

Ina maana hata mpenzi wako Abduhakim Makamu Mwenyekiti wa ZEC nae pia anakutia kichefuchefu maana na yeye Jaji wa Mahakama ya Zanzibar nani cuf mwenzako na ndie anakusadieni mambo yenu ndani ya ZEC. Ukisema Awadh mengine ubakishe Kaka.!U CUF usikutie upofu fungua ubongo wako na akili yako mengine uyachuje.

Siasa imekufanya hujijui hujitambui unakaa kwenye TV eti huna imani na Mahakama.Kwanza nikuulize mwenye Imani na wewe nani? Wakili kila ukinyamaziwa unazidi tu.Huo uwakili umesoma pekeyako? Au ndio kosa kupelekwa kwenye Tume ya Warioba ndio umeota manywele bado kwa kutaka sifa.

Mengine punguza kaka hayakusaidii kabisa. Na lazima utubu tena maana kila ulilolisimamia limefeli Awadh kaa chini ujitathmini, ujipeleleze na ujiulize unakosea wapi acha jazba.

Tukuelewe vipi Awadh?Umesahau wewe Awadh ulikuwa mjumbe wa Judicial Services Commission kwa miaka 6. Wewe na Wakili mwenzako Nassor Khamis. Majaji takribani wote waliochaguliwa na walioko kwenye mahakama kuu ya Zanzibar umeshiriki kwa njia moja au nyengine kwenye uteuzi wao. Leo unasimama kwenye TV unasema nini?Au kwasababu mlitaka Jaji Mkuu awe Wakili Othman masoud na hakuwa! ndio mumechanganyikiwa?

Unaogopa kivuli chako Baba?.Nakwambia tena Awadh umebugi maana kwa suala la kutokuwa na imani na mahakama huna sera katika hilo. Kwanza unaogopa kwenda mahakamani maana huna kesi ya kufungua. ukamshtaki nani Maalim aliejitangazia ushindi kinyume na katiba au Sir Jecha alietangaza tarehe ya uchaguzi March 20?

Hivi nikuulize katika hawa wawili nani ana kesi ya kujibu?Sishangai wewe Awadh ni mmoja wa waliompeleka mchomo Maalim Seif kwa kumpa ushauri mbovu hadi mkamuingiza kwenye mkenge Baba wa watu maskini.Sasa mumemwacha kwenye mashaka makubwa.Shauri lenu nyie mawakili mabusha na makanjanja.

Nawaumbua tena mmebugi maana!Awadh nikukumbushe wakati wewe ni mjumbe wa Judicial si uliweza kusimamia hadi kusajiliwa majaji na CUF wenzio akina Ishaq Mwanae Maalim Seif, Adam Mshibe. Yahya wa Baraza la Wawakilishi. Ukawafanyia choko choko na kuifanya mahakama tawi la CUF hadi wenzio wakatimuliwa na kupoteza sifa zao kwa siasa chafu halafu leo Mahakama mbaya?

Ninachokushauri usikate tamaa Awadh, endelea kutumika kupiga kelele na kupiga debe, umeanza Azam TV kesho nakushauri wende ITV kesho kutwa Star Tv ukitoka hapo nenda london BBC ukitoka hapo nenda hadi TV Emanuel. Lakini Buno la mbwa mnalo cuf mtake msitake march 20 inawasubiri.

Kwanza hizo nchi mnazoringia Awadh kuwaunga mkono za Magharibi zinakujueni kama nyinyi ni CUF Magaidi Ma terrorists, si mmarekani si muingereza atakae waunga mkono nani mna elements za ugaidi! na hilo haliwaepuki.

Zanzibar mtaifanya Al shabab Base IS na uchafu mwengine mnajulikana mko tayari ki fund magaidi, kutoa training kwao na mnamahusiano nao, sasa wewe hata ukisema hadi . Lakini unachokitaka hukipati wala sioni dalili ya mafanikio.

Ushauri wa bure jipange upya. Kwanza mmegoma sasa tena malumbano ya TV ya nini. Aliegoma hukaa kimya akafanya mengine sio uchuro huo ulioenda kuuonesha leo Awadh.
maskini Wakili Mhemko Awadh bado unaendelea kuhemka tuu pole sana.

Imeandikwa na Mtandao wa Wanyonge Waliowengi
Zanzibar
Nyie ndio wanyonge mlio wengi?Daah
 
Back
Top Bottom